Wananchi wa Rorya watakiwa kushiriki shughuli za maendeleo baada ya Rais Samia kutoa Tsh Milioni 540

Wananchi wa Rorya watakiwa kushiriki shughuli za maendeleo baada ya Rais Samia kutoa Tsh Milioni 540

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mkuu wa Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, Juma Chikoka amewataka wananchi wa vijiji vya Mkengwa na Kibuyi kushiriki katika shughuli za maendeleo kutokana na Serikali kutoa kiasi cha shilingi milioni 540 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Msingi katika Kijiji cha Mkengwa.

Juma Chikoka, DC Rorya amesema “Mhe. Rais Dkt. Suluhu Samia ametunusuru na kadhia za kukamatiwa vitu vyetu ikiwemo mifugo kwa ajili ya ujenzi wa shule, tuumuungeni mkono maana Serikali yake imetoa fedha nyingi mno ili Watoto wetu wasome, tutoieni nguvu zetu katika kufanya kazi.”

FyBMTTVWIAICxLv.jpg

FyBMUxrWcAMLq7f.jpg

FyBMTGQXwAIJ0De.jpg
FyBMUB3WwAAJ736.jpg
 
Acheni ujinga, Samia hana hela ya kutoa kama yeye, ni pesa ya umma zinazotokana na kodi zetu. Watanzania mtaacha lini uchawa?
 
Back
Top Bottom