nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Walikuwa wanyonya Damu mkuuKuna wale walichoma Gari la Ardhi kule Dodoma na kuua wale wataaalam kwa kisingizio cha Wanyonya damu. Aysee walijuta mpaka leo Kijiji kizima wamebaki na makovu watalipa hizo gari mara tatu yake