Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Acha kiumane.Hizo ni stress zinazotokana na maisha magumu !!! Waliambiwa wakiondoa wapinzani watapata maendeleo sasa wapinzani hawapo bungeni hali imezidi kuwa ngumu !!! Sasa ni vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kiumane.Hizo ni stress zinazotokana na maisha magumu !!! Waliambiwa wakiondoa wapinzani watapata maendeleo sasa wapinzani hawapo bungeni hali imezidi kuwa ngumu !!! Sasa ni vita
Hapo napo kuna shidaSehemu yenye mgogoro ilikuaje hao wapima ardhi kwenda bila ya kua na ulinzi?
Soon watakuja kwako endelea kudhani tu kua MAVI ni chakulaDuh, wameenda mbali zaidi, akili haikutumika, jela inawasubiri. Ujinga una gharama kubwa
Sita mbaroni wakidaiwa kuchoma moto gari la Halmashauri Mlimba Sita mbaroni wakidaiwa kuchoma moto gari la Halmashauri MlimbaDuh, wameenda mbali zaidi, akili haikutumika, jela inawasubiri. Ujinga una gharama kubwa
Hapana..lakini wakifanya vurugu katikati ya utatuzi wa huo mgogoro ambazo zina hatarisha uhai wa watu wengine lazima polisi waingilie kati hata kwa kuwavunja miguu.Kuwapiga risasi ndiyo kutamaliza mgogoro?
washukuru MUNGU hawakuuwawa. Je wangeuwawa?Wananchi wenye hasira wamewashambulia watumishi wa Ardhi kutoka wilaya ya Mlimba na kuchoma magari, pikipiki pamoja na vifaa vyao vingine wakati wakiendelea na zoezi la uhakiki wa mipaka ya mashamba yanayogambaniwa na muwekezaji na wananchi wilaya ya Mlimba, Morogoro.
Watumishi wa ardhi waliokua kwenye hilo zoezi wamejeruhiwa vibaya, japokua hakuna kifo kilichorpotiwa hadi sasa.
View attachment 1885041View attachment 1885043View attachment 1885046View attachment 1885047
Nyie ndio mtu anaharibu mali za uma mnasema asikilizwe ana tatizo gani.DC yupo, DED yupo, OCD yupo wote wanazingizia wananchi hawana matatizo huko Mlimba. Mlimba Kuna matatizo makubwa,badala ya kwenda kuwasikiliza wananchi watatumwa polisi kuwakamata.
Wananchi ni vichaa kwenda kuchoma magari moto? Iundwe time kuchunguza tukio hilo. Sio kuanza kamata kamata mkifanya hivyo mlimba nyumba zitabakia na yatima wananchi watatimkia mikoani serikali itaanza kupeleka misaada ya kwenda kutunza teza raia.
Kuna watu wenye hasira walichoma kituo cha Polisi - Bunju DSM... kama masihara sasa watumikia kifungo cha maisha
Kuna wale walichoma Gari la Ardhi kule Dodoma na kuua wale wataaalam kwa kisingizio cha Wanyonya damu. Aysee walijuta mpaka leo Kijiji kizima wamebaki na makovu watalipa hizo gari mara tatu yakeKuna watu wenye hasira walichoma kituo cha Polisi - Bunju DSM... kama masihara sasa watumikia kifungo cha maisha
Majukumu gani ya kuwahujumu wananchi na kumpendelea mchina?Trust me , punde si punde kuna majitu yatalia na kusaga meno fasi ya mlimba wamechoma ndinga ya serikali, bodaboda ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na tripod stand ya serikali pia wamewadunda watumishi wa umma wakiwa wanatimiza majukumu yao
Wananchi wakiamua hizo bunduki wataziweka chini na kutimua mbio, hapa ni maamuzi tu. Wewe Kama ni mumoja wa hao wenye bunduki usijivune na kujiamini sana tenda haki. Maana usipotenda haki ipo siku bunduki unayoibeba ndiyo itakayokuua. Weka kumbukumbu ya maneno yangu dogo.Sawa captain kinjekitile ngwale unaamini utaweza kupambana na mwenye bunduki wewe ukiwa na rungu,
Hapo najua lazima polis wataenda kutembezea jando wakaz wa hilo bushi ili next time wajue nini maana ya mali za serikali na watumishi wake
Walipangiwa hivyo pindi tu walipozaliwa. Kwa iyo huko kwenda kuchoma kituo cha polisi ni forces of nature iliwasukumiza hili jinsi walivyopangiwa watumike vifungo vya maisha itimie na itiki.Kuna watu wenye hasira walichoma kituo cha Polisi - Bunju DSM... kama masihara sasa watumikia kifungo cha maisha
Zingine Zimeshindikana wakaamua watumie hiyo nyingineNdio mkuu inabidi iwe hivyo..yaani wewe mwananchi unaona polisi wenye silaha kali wanakuambia tulia wataalamu wafanye kazi lakini wewe kwa ujeuri wako hutaki,wewe unachotaka ni kuwavamia na kuwatwanga hao wataalamu..ni haki yako kula risasi ya kichwa.
Hatuwezi kuwa na Taifa ambalo kila raia ana uwezo wa kumvamia tu yoyote ili aonyeshe ana hasira..watumie njia nyingine.
Mkuu pole sanaDah haya mambo sio kabisa nakumbuka vizuri nilimpoteza kijana alikua mwanafunzi wangu kutoka chuo cha madini alikua field kwenye hicho Kituo cha Utafiti was Udongo Selian Arusha
Alifariki mtoto wa wait
![]()
Maofisa wa Serikali wachomwa moto - Mtanzania
Mtanzania Maofisa wa Serikali wachomwa moto -mtanzania.co.tz