nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Walikuwa wanyonya Damu mkuuKuna wale walichoma Gari la Ardhi kule Dodoma na kuua wale wataaalam kwa kisingizio cha Wanyonya damu. Aysee walijuta mpaka leo Kijiji kizima wamebaki na makovu watalipa hizo gari mara tatu yake
Tena haina dhamana. Hasira hasara mambo mengine bana ni kupuuza tu na hii serekali ya mrs diktetaArson inamdondokea mtu
Asante bwana nyangumiMkuu pole sana
Unawatisha na jelaDuh, wameenda mbali zaidi, akili haikutumika, jela inawasubiri. Ujinga una gharama kubwa
Hata wewe una udikteta ujueWe mpuuzi udikiteta sio Jina wala jinsia, Bali ni vitendo, so kwa kuwa jpm alikuwa dikiteta ndo ulitaka Jina la udikiteta kiwe hatimiliki yake? Hata marais watakaofuata baada ya dikiteta samia, kama nao watakuwa na elements za udikiteta pia nao tutawaita madikiteta Sawa.
mpk kumenuka hivyo ujue hakuna hakiKabisa Wakiamua Lao Halishindikani
Kabisampk kumenuka hivyo ujue hakuna haki
tusubiri tuoneKabisa
Ila Serikali Itafukia Hili Jambo
Uone Nini Tayari Wamekamatwa 😶😑tusubiri tuone
hata wakiwafunga tayari wananchi wameonyesha msimamo wao.Uone Nini Tayari Wamekamatwa 😶😑
Kwa Tukio Hilo Ni Wazi Wananchi Wamewaonya Watawala!!!hata wakiwafunga tayari wananchi wameonyesha msimamo wao.
hii serikali haisomi alama za nyakati kabisa.Kwa Tukio Hilo Ni Wazi Wananchi Wamewaonya Watawala!!!
Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikionihii serikali haisomi alama za nyakati kabisa.
wananchi wa sasa si sawa na jana, ipo siku hakuna rangi wataacha ona.Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
Mpaka Kijijini Vijana Wengi Wana Uelewa Mkubwa Sana Wa Mambowananchi wa sasa si sawa na jana, ipo siku hakuna rangi wataacha ona.
Watanganyika tu wavumilivu sana ila wakati unaokuja ni wamashaka kwa serikali ya sasa.Mpaka Kijijini Vijana Wengi Wana Uelewa Mkubwa Sana Wa Mambo
wananchi wa eneo husika walishirikishwa?Mimi naona hasira za hao wananchi zimeishia tu sehemu ambayo sio sahihi. Hao wataalam wao wana kosa lipi? Wao walienda tu kupima hiyo mipaka.
Japokua pia nadhani ni muhimu kwenye ishu kama hii, wakienda next time waende na ulinzi wa polisi wenye silaha za kutosha.