Pre GE2025 Wananchi Wamchangia Mbunge Babu Tale Pesa Ya kuchukulia Fomu ya Ubunge Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama ambayo kakuhonga wewe kuja kuweka huu Uzi hapa, hata hizo pesa za kuchukulia fomu, kawapa hao wananchi na kawahonga wajitokeze na kupandikiza hilo tukio.
Weka ushahidi wa mimi kuhongwa pesa hapa kwa ajili ya kuleta taarifa hii.
 
Yale yale maigizo ya kwenye maombolezo ya jiwe, ambapo sukuma gang waliigiza kuzimia lkn wakasahau kutupa mifuko ya plastic waliokuwa wamebebea viatu vyao.
Nani mwenye akili timamu anaweza kumchangia fedha Babu Tale?
Wenye akili Timamu na wanaojitambua na wanaothamini mchango Chanya wa Mbunge wao wameamua kwa umoja wao na kwa hiyari yao kumchangia pesa mbunge wao ili achukulie Fomu hapo mwakani.
 
 
Hao wanachi wanatapeliwa,

Katoa elfu 50 kwa wajumbe 800 kwa kila kichwa
Alafu wananchi wanamchangia

Hao wananchi hakika wataingia mbinguni moja kwa moja kabla jata hawajafa na kugufuka
 
Wananchi siyo wajinga bali wanatambua kazi kubwa iliyofanywa na mbunge wao.ndio maana wameamua kumchangia pesa ya kuchukulia Fomu .kama sehemu ya kumtia moyo ya kuendelea mbele kwa kasi na kwamba wapo pamoja naye wakati wote.
Tuna uhakika kuwa ni wananchi wa huko jimboni kwake? Usikute ni watu wa manzese hapo
 
Hiyo ni yenusisi ya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…