Pre GE2025 Wananchi Wamchangia Mbunge Babu Tale Pesa Ya kuchukulia Fomu ya Ubunge Mwakani

Pre GE2025 Wananchi Wamchangia Mbunge Babu Tale Pesa Ya kuchukulia Fomu ya Ubunge Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lucaaaaa unampenda TAML hadi unabubujikwa na machozi.🤣🤣🤣
Sina huo muda mchafu kumuunga mkono mtu mweye mdomo mchafu na mbanguzi kama Lissu ,ambaye hata chama chake tu kimeamua kujitenga naye kiana. Si unaona anapambana kivyake na michango yake ya kuomba kununuliwa gari la kifahari la kupigia misele yake .nahapo bado wachangiaji wajiandae kuchangia tena mafuta ya gari na hela za chakula na vinywaji vyake.
 
Sina huo muda mchafu kumuunga mkono mtu mweye mdomo mchafu na mbanguzi kama Lissu ,ambaye hata chama chake tu kimeamua kujitenga naye kiana. Si unaona anapambana kivyake na michango yake ya kuomba kununuliwa gari la kifahari la kupigia misele yake .nahapo bado wachangiaji wajiandae kuchangia tena mafuta ya gari na hela za chakula na vinywaji vyake.
Ndiyo umuonee wivu sasa?Aaaa acha hizo wewe!
 
Back
Top Bottom