mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 1,065
- 365
this is probably kujibu uzi flan ulikuwa ukihamasisha chadema wakaze kuchukua jimbo ilo....child's play
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeo huko ARUSHA MAJI ya shingoNa wewe nenda uchangiwe.
Watu wanapiga pesa bungeni then tukutane jimboni wakati wa uchaguzi 😂Hivi Ubunge ungekua haulipi km Biashara zingine nani angeenda BUNGENI? Ushawahi kujiuliza hilo swali? Yaan Ubunge ingekua ni kazi ya kujitolea TU bila Malipo, nani angeenda BUNGENI?
Ubunge ingekua ni kazi ya kujitolea TU bila Malipo hivi hata wale Viti Maalumu 113 wasiomuwakilisha Mwananchi yoyote wangekubari kuingia BUNGENI na wasipate chochote KITU?Watu wanapiga pesa bungeni then tukutane jimboni wakati wa uchaguzi 😂
Ni upumbavu tu pekee unasumbua huwezi kumchangia mtu analipwa 560000 kwa siku nje na mshahara wakeWatu wanapiga pesa bungeni then tukutane jimboni wakati wa uchaguzi 😂
Ni utapeli tupu mtu anajitoelea kwa kulipwa 560,000 kwa siku nje na mshahara wa 18M?Ubunge ingekua ni kazi ya kujitolea TU bila Malipo hivi hata wale Viti Maalumu 113 wasiomuwakilisha Mwananchi yoyote wangekubari kuingia BUNGENI na wasipate chochote KITU?
Wala hakuna la maana anafanya zaidi ya wizi wa mali za ummaHuyo tale nae ni msanii kama chalamila!
Wajingawajinga hawaishi.Ila akichangiwa TAML inakuwa nongwa na si upendo?Ndugu zangu Watanzania,
Napenda kuwasogezeeni taarifa hii ya kuwa wananchi wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki linaloongozwa na Mheshimiwa Babu Tale yaani Khamisi TaleTale wameamua kwa umoja wao na kwa hiyari ya mioyo yao kumchangia Mbunge wao pesa ya kuchukulia Fomu ya Ubunge hapo mwakani katika uchaguzi Mkuu.
Tukio hilo limefanyika siku ya leo katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM 2020-2025,Tukio ambalo lilihudhuriwa na kushuhudiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Mheshimiwa Kanali Mstaafu Abrahaman Kinana.
Wamefanya hivyo kama sehemu ya kuonyesha upendo,kumuunga mkono na kumtia moyo Mbunge wao kwa kazi nzuri aliyoifanya katika ubunge wake iliyogusa Maisha yao na kuleta tabasamu na matumaini.wamefanya hivyo pia baada ya kukoshwa na uchapakazi wake na kukata kiu yao waliyokuwa nayo na kuona namna Mbunge wao anavyozungumza Lugha yao kwa kueleza matatizo na kero za jimbo lao, pamoja na kuzitafutia ufumbuzi kwa kushirikiana na serikali yao.
Wanatambua ukweli kwamba ni kweli kero zote hazijakwisha lakini wameona juhudi na jitihada kubwa zinazofanywa na Mbunge wao katika kuzitafutia Majibu.hii ndio sababu wamemua kumtia moyo na kuonyesha kumuunga mkono na kuhitaji kuendelea kuwa naye katika awamu nyingine tena .ndio maana ya kuamua kujichanga kidogo kidogo kwa kila mtu kwa kadri ya uwezo wake na alivyojaliwa na Mwenyezi Mungu, kupata pesa itakayomsaidia kuchukulia Fomu hapo mwakani.
Najuwa wengine hasa CHADEMA wanaweza kuanza kuuliza inakuwaje achangiwe wakati anapokea mshahara mnono? Jibu ni kuwa ni katika kumpa hamasa mbunge wao,kumtia moyo, kumuunga mkono na kumkumbusha kuwa yupo bungeni kwa ajili yao na wao ndio mabossi wake na chochote afanyacho au kupitisha Bungeni ni lazima atangulize mbele na kuzingatia maslahi ya wapiga kura wake.asipitishe au kuunga mkono jambo lolote au sheria itakayokuwa mateso na maumivu kwa wapiga kura wake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Michango ya Lissu hata wanachadema wenyewe wameona haina maana ndio maana wamegoma kuchanga wala kusambaza habari zake hata za mikutano. Si unaona jana alikuwa na mkutano lakini wamegoma kuleta habari zake hata humu.hata Erythrocyte ameweka mgomo.Wajingawajinga hawaishi.Ila akichangiwa TAML inakuwa nongwa na si upendo?
Dah, nashindwa kuwaelewa hawa watu wanatoa wap akili za kifala hvyNi upumbavu tu pekee unasumbua huwezi kumchangia mtu analipwa 560000 kwa siku nje na mshahara wake
Jibu lipo hapo kwenye ujingaHivi kwanini huu ujinga upo Tanzania pekee?
Kumbe unapenda kuzijua taarifa zake?😂😂😂Michango ya Lissu hata wanachadema wenyewe wameona haina maana ndio maana wamegoma kuchanga wala kusambaza habari zake hata za mikutano. Si unaona jana alikuwa na mkutano lakini wamegoma kuleta habari zake hata humu.hata Erythrocyte ameweka mgomo.
Ni utapeli tupuHaya maigizo ndiyo yanawakosti Watanzania, kwasababu ukienda eneo husika unaweza kuta kuna umaskini wa kutupwa
Anaitwa Dokta Tale.Kama babu tale ni mjinga vile hao wapiga kura wake sijui ni mazwazwa kiasi gani!
Hapana.Kumbe unapenda kuzijua taarifa zake?😂😂😂
Lucaaaaa unampenda TAML hadi unabubujikwa na machozi.🤣🤣🤣Hapana.