Pre GE2025 Wananchi Wamchangia Mbunge Babu Tale Pesa Ya kuchukulia Fomu ya Ubunge Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
this is probably kujibu uzi flan ulikuwa ukihamasisha chadema wakaze kuchukua jimbo ilo....child's play
 
Hivi Ubunge ungekua haulipi km Biashara zingine nani angeenda BUNGENI? Ushawahi kujiuliza hilo swali? Yaan Ubunge ingekua ni kazi ya kujitolea TU bila Malipo, nani angeenda BUNGENI?
Watu wanapiga pesa bungeni then tukutane jimboni wakati wa uchaguzi πŸ˜‚
 
Ubunge ingekua ni kazi ya kujitolea TU bila Malipo hivi hata wale Viti Maalumu 113 wasiomuwakilisha Mwananchi yoyote wangekubari kuingia BUNGENI na wasipate chochote KITU?
Ni utapeli tupu mtu anajitoelea kwa kulipwa 560,000 kwa siku nje na mshahara wa 18M?
 
Wajingawajinga hawaishi.Ila akichangiwa TAML inakuwa nongwa na si upendo?
 
Wajingawajinga hawaishi.Ila akichangiwa TAML inakuwa nongwa na si upendo?
Michango ya Lissu hata wanachadema wenyewe wameona haina maana ndio maana wamegoma kuchanga wala kusambaza habari zake hata za mikutano. Si unaona jana alikuwa na mkutano lakini wamegoma kuleta habari zake hata humu.hata Erythrocyte ameweka mgomo.
 
Michango ya Lissu hata wanachadema wenyewe wameona haina maana ndio maana wamegoma kuchanga wala kusambaza habari zake hata za mikutano. Si unaona jana alikuwa na mkutano lakini wamegoma kuleta habari zake hata humu.hata Erythrocyte ameweka mgomo.
Kumbe unapenda kuzijua taarifa zake?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…