Huo ndio ukweli, kwa sasa wanasiasa ndio wanataka katiba mpya kwa lengo lao moja tu tamaa ya kushika DOLA lakini sisi wananchi kwa sasa tunataka maendeleo kwanza, tunataka maisha yetu duni ya kimasikini yakwamuliwe, kwa sasa tunataka elimu bora kwa watoto wetu, tunataka maji safi na salama, tunataka umeme wa uhakika, tunataka huduma za afya bora.
Kwa sasa tunaye Rais aliye na dhamira ya dhati kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kisasa hivyo tumpe muda kama alivyo sema ili aweze kujipanga na kushughulikia jambo moja baada ya jingine, tusilazimishe mambo twendeni kwa busara, wanasiasa acheni jazba, wananchi tumemuelewa vizuri Rais wetu Samia.
Kila mwananchi anafahamu umuhimu wa katiba mpya baada ya zoezi la Jaji warioba, ila kwa sasa Rais wetu katumia kauli ya kiungwana huvyo na sisi tuwe waungwana, tusijifanye wajuaji sana, tusiwe wabinafsi, tuache kejeli,tusimbananishe, kila jambo lina muda wake,tuwe wavumilivu kwani mvumilivu hula mbivu.
kazi iendelee.
Kwa sasa tunaye Rais aliye na dhamira ya dhati kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kisasa hivyo tumpe muda kama alivyo sema ili aweze kujipanga na kushughulikia jambo moja baada ya jingine, tusilazimishe mambo twendeni kwa busara, wanasiasa acheni jazba, wananchi tumemuelewa vizuri Rais wetu Samia.
Kila mwananchi anafahamu umuhimu wa katiba mpya baada ya zoezi la Jaji warioba, ila kwa sasa Rais wetu katumia kauli ya kiungwana huvyo na sisi tuwe waungwana, tusijifanye wajuaji sana, tusiwe wabinafsi, tuache kejeli,tusimbananishe, kila jambo lina muda wake,tuwe wavumilivu kwani mvumilivu hula mbivu.
kazi iendelee.