Wananchi wanategemea kuona ukali wa Rais Samia katika kikao cha dharura cha Baraza la Mawaziri leo


Hamna lolote pale.
 
Adolph Hittler akiwa Rais wa wa Germany powefull sijui kwenye kikao na mawaziri alikuwa anaongea nini.
 
Sahau.

Hii awamu ni ya kufyonza tu.

Don't expect anything out of it.
 
Kama ana nia njema aanze kuvunja baraza la mawaziri lote na ikiwezekana na yeye mwenyewe ajiuzuru na kuvunjilia mbali Serikali yenyewe akitoa tamko la chama na serikali kushindwa kuongoza nchi na baadala yake liundwe baraza la mpito kutoka kona mbalimbali za mtaa na jeshini.

Uchaguzi uitishwe chini ya tume iliyoundwa kupitia baraza la mpito ili sasa Taifa lirudi kuwa mali wananchi na kutoka kwenye kikundi cha watu wachache.
 
Hana ukali wowote
 
Labda afanye hivyo ndotoni ila in reality hawezi
 
Yaani baada ya kupitia changamoto kedekede kama nchi tukae tukae tutegemee ukali kwenye Baraza la mawaziri. As a nation inatusaidia nini kuona pasi amepewa mwingine? Bado tuna miaka 200 ya kuwa nchi inayojielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…