Wananchi wenye uelewa mdogo hawataacha kumsifia Magufuli aliyeua uchumi wao

Wananchi wenye uelewa mdogo hawataacha kumsifia Magufuli aliyeua uchumi wao

wewe ndio kilaza na mjinga ndio maana nchi haisongi mbele ,unaweza kuwa vyeti feki pia .
M
Mtu mwenye akili ndogo, mwenye roho ya umaskini ni kama mchawi tu.

Furaha yake ni kuona tajiri anashuka sio yeye kupanda. Maskini wa akili na kipato waliufurahia sana utawala wa Magufuli maana walikuwa wanaamini matajiri wanakomeshwa na wataishi katika wimbi la ufukara kama wao kitu ambacho ni impossible.

Maskini ambaye mwingine hata cheti cha kidato cha 4 hana anapata raha akisikia kuwa boss ambaye ana PhD katumbuliwa, hajui kuwa huyu msomi bado ataendelea kutafuna Kodi zao mpaka afe.

Maskini wa akili na mali anaamini kila tajiri ni mwizi wa mali za umma.
Maskini wa akili na mali waliufurahia sana sakata la vyeti fake, baadaye zahanati zingine zikakosa wahudumu wakafia kwenye mabenchi. Kama mtu ana cheti cha taaluma na anafanya vizuri kulikuwa na ulazima wa cheti cha kidato cha nne? Magufuli aliwaweza sana maskini wa akili na mali.

Viwanda viliyumba na vingine kufungwa, kampuni nyingi viliyumba na zingine kufungwa masking wa akili na mali waliufurahia sana wakasahau kuwa huko sekta binafsi ndiko kunakotoa ustawi kwa wananchi.

Maskini wa akili na mali wanafurahi sana kumwona mtoto wa jirani mwenyewe degree au diploma hana kazi eti kwakuwa yeye watoto wake wote ni wavuta bange na wacheza singeli.
Team Magu watakwambia wewe ni vyeti feki😅 unamsema vibaya mungu wao. Hii nchi imepitia upambavu mwingi sana
 
Ko ulifurahia vyet feki kuwa na ajira na kutohudumia watu Kwa ufanisi coz hakuna professional ili halal wenye vyet orgnal na wasomi wapo tu wamekaaa??? Matango nyanya kbsa ww,, sijuw na familia yako unaileaje,, tupo weng matajili na wasomi na still tulimpenda magu,,, yule ni mwamba usimulinganishe na vilaza wenzio mkuu
Haya nitajie mwajiri aliyefungwa au kufutwa kazi kwa kuajiri mtu mwenye sifa hafifu?
Yake ni maigizo kama maigizo mengine kwa watu wajinga kama wewe.
Barua za placement zina saini za mwajiri na tarehe. Kwanini hawakufungukwa kwanza waajiri wazembe waliolipwa kwa kazi ya kuhakikisha wanaajiri mtu sahihi?
 
Mimi
M

Team Magu watakwambia wewe ni vyeti feki😅 unamsema vibaya mungu wao. Hii nchi imepitia upambavu mwingi
Hawa vijana ni wehu. Mimi sio vyeti fake, zoezi la vyeti fake linadanyika ndo kwanza nina mwaka mmoja kwenye utumishi wa umma.
Ni mtumishi bora, miaka 9 ya utumishi wangu sina hata onyo la mdomo au barua.
Ninaongea ukweli na uhalisia.
 
Ko ulifurahia vyet feki kuwa na ajira na kutohudumia watu Kwa ufanisi coz hakuna professional ili halal wenye vyet orgnal na wasomi wapo tu wamekaaa??? Matango nyanya kbsa ww,, sijuw na familia yako unaileaje,, tupo weng matajili na wasomi na still tulimpenda magu,,, yule ni mwamba usimulinganishe na vilaza wenzio mkuu
Msomi wa kuandika KO, matajili?
Wewe kama una cheti cha kidato cha nne unyang'anywe.
Upuuzi uliouandika ni wa kijana aliyemaliza darasa la saba.
Kama una stashahada au shahada, wewe pamoja na mwalimu wako munastahili kufungwa.
 
Mtu mwenye akili ndogo, mwenye roho ya umaskini ni kama mchawi tu.

Furaha yake ni kuona tajiri anashuka sio yeye kupanda. Maskini wa akili na kipato waliufurahia sana utawala wa Magufuli maana walikuwa wanaamini matajiri wanakomeshwa na wataishi katika wimbi la ufukara kama wao kitu ambacho ni impossible.

Maskini ambaye mwingine hata cheti cha kidato cha 4 hana anapata raha akisikia kuwa boss ambaye ana PhD katumbuliwa, hajui kuwa huyu msomi bado ataendelea kutafuna Kodi zao mpaka afe.

Maskini wa akili na mali anaamini kila tajiri ni mwizi wa mali za umma.
Maskini wa akili na mali waliufurahia sana sakata la vyeti fake, baadaye zahanati zingine zikakosa wahudumu wakafia kwenye mabenchi. Kama mtu ana cheti cha taaluma na anafanya vizuri kulikuwa na ulazima wa cheti cha kidato cha nne? Magufuli aliwaweza sana maskini wa akili na mali.

Viwanda viliyumba na vingine kufungwa, kampuni nyingi viliyumba na zingine kufungwa masking wa akili na mali waliufurahia sana wakasahau kuwa huko sekta binafsi ndiko kunakotoa ustawi kwa wananchi.

Maskini wa akili na mali wanafurahi sana kumwona mtoto wa jirani mwenyewe degree au diploma hana kazi eti kwakuwa yeye watoto wake wote ni wavuta bange na wacheza singeli.
Umeandika upuuzi tupu

Kwa hiyokwa sasa hivi unafurahishwa mno na kukosekana kwa umeme na shida na bidhaa kama sukari n.k?
 
Haha. Hebu nendeni mmbuni matusi mengine.

Mna ropoka ropoka tu na makasiriko yenu. Mipovu

Mtaota vibiongo nyinyi mawakala wa mabeberu na Chuki zenu. Haya

Magulification will go on, at all costs.
🤣🤣🤣🎤🔊
 
Magufuli alikuwa anajua matatizo mengi yanayoikabili nchi yetu ila tatizo lake ni alikuwa ana deal na ''dalili'' na siyo ''ugonjwa'' wenyewe. Hebu tuchukuwe kwa mfano ufisadi, uvivu na uzembe. Tukubali kuwa Tanzania ufisadi, uvivu na uzembe ni matatizo makubwa sana. Kosa alilokuwa anafanya Magufuli ni kushughulikia watu, tena mmoja mmoja, badala ya kurekebisha mifumo iliyokuwa inafanya watu wavutiwe kuwa mafisadi, wawe wazembe na wavivu. Hivyo basi alijikuta anahangaika kushughulikia watu, na hii ikafanya wengi kumuona kama anachukia matajiri. Ni kama maigizo anayofanya Makonda sasa hivi. Nchi haiendeshwi namna hii. Huwezi ku-deal na tatizo la mtu mmoja mmoja na ukafanikiwa kuleta mabadiliko. Nyumba yako ikiwa inaingiza mbu kwa wingi, utakuwa unapoteza muda kujaribu kuua mbu mmoja mmoja, unachotakiwa kufanya ni kuziba zile sehemu ambazo mbu wanaingilia.
👍👏🤝🆒
 
Siyo kweli. Nchi ilikuwa inaliwa na Magufuli na kakikundi kake kalikokukuwa kanafanya ufisadi na wale waliokubali kuitwa "wanyonge" huku wana vichwa na Mungu kawapa akili.

Magufuli alikuwa na characters za UDIKTETA na aliishia kujilimbikizia yeye na koikundi chake kidogo. Wao akina Magufuli, Biswalo Mganga, Makonda, Sabaya, Kabudi, Dotto James, Polepole ndiyo walikuwa wanaruhusiwa kufanya UFISADI.

Waliunda mifumo ya dhuluma kupitia TRA Task force, Plea Bargain na kikundi cha WASIOJULIKANA kwa ajili ya kunyan'anya fedha za matajiri.


Waafrika hatuhitaji watu wenye nguvu bali tunahutaji Taasisi zenye nguvu kupitia Katiba Nzuri
🗼📌🔨👍👌👏🤝🙏🆒🔊
 
Bila shaka wewe ni mwizi na mkwepa kodi, JPM aikuwa anaikomboa nchi hii kutoka katika lindi la umasikini wa kutengenezwa.

Leo hii kila kitu ovyo, umeme shida, maji shida, vitu bei juu. Ujinga ujinga tu.
🤣🤣🤣🎤🔊
 
Ko ulifurahia vyet feki kuwa na ajira na kutohudumia watu Kwa ufanisi coz hakuna professional ili halal wenye vyet orgnal na wasomi wapo tu wamekaaa??? Matango nyanya kbsa ww,, sijuw na familia yako unaileaje,, tupo weng matajili na wasomi na still tulimpenda magu,,, yule ni mwamba usimulinganishe na vilaza wenzio mkuu
🤣🤣🤣😅🎤🔊
 
Alikuwa ni Muongo sana eti "tunatumia fedha zetu za ndani..." huku Mazezeta yakishangilia kwa nguvu huku mengine yakizimia na mifuko ya Rambo.

Zote hizi ni tamthilia za CCM katika hadaa zao.

Lowassa asingezulumiwa USHINDI angekuwa Raisi bora.
 
Mlidhani kazi itakua nyepesi na kumnanga kila siku sasa maji yamewafikia shingoni.
 
Alikuwa ni Muongo sana eti "tunatumia fedha zetu za ndani..." huku Mazezeta yakishangilia kwa nguvu huku mengine yakizimia na mifuko ya Rambo.

Zote hizi ni tamthilia za CCM katika hadaa zao.

Lowassa asingezulumiwa USHINDI angekuwa Raisi bora.
🗼💐🎁🆒
 
nadhani wewe ndio kilaza na mjinga ndio maana nchi haisongi mbele ,unaweza kuwa vyeti feki pia .
Vp nyie wenyeuelewa mkubwa mnasifia Nini acheni kujifanya mnaakili kumbe zero brain katika nchi hii hakuna wenye akili Kuna wahuni tu
 
nadhani wewe ndio kilaza na mjinga ndio maana nchi haisongi mbele ,unaweza kuwa vyeti feki pia .
Hili neno vyeti feki haki ya mungu lile lijamaa liliwashika sana nyie wenye uelewa mdogo. Hakukuwa na cheti feki Tanzania Bali jpm alitaka kupunguza wafanyakazi tu mana asingeweza kuwalipa wote uchumi ulikuwa umekufa na unaelekea ICU
 
Back
Top Bottom