Wananchi wenye uelewa mdogo hawataacha kumsifia Magufuli aliyeua uchumi wao

wewe ndio kilaza na mjinga ndio maana nchi haisongi mbele ,unaweza kuwa vyeti feki pia .
M
Team Magu watakwambia wewe ni vyeti fekiπŸ˜… unamsema vibaya mungu wao. Hii nchi imepitia upambavu mwingi sana
 
Haya nitajie mwajiri aliyefungwa au kufutwa kazi kwa kuajiri mtu mwenye sifa hafifu?
Yake ni maigizo kama maigizo mengine kwa watu wajinga kama wewe.
Barua za placement zina saini za mwajiri na tarehe. Kwanini hawakufungukwa kwanza waajiri wazembe waliolipwa kwa kazi ya kuhakikisha wanaajiri mtu sahihi?
 
Mimi
M

Team Magu watakwambia wewe ni vyeti fekiπŸ˜… unamsema vibaya mungu wao. Hii nchi imepitia upambavu mwingi
Hawa vijana ni wehu. Mimi sio vyeti fake, zoezi la vyeti fake linadanyika ndo kwanza nina mwaka mmoja kwenye utumishi wa umma.
Ni mtumishi bora, miaka 9 ya utumishi wangu sina hata onyo la mdomo au barua.
Ninaongea ukweli na uhalisia.
 
Msomi wa kuandika KO, matajili?
Wewe kama una cheti cha kidato cha nne unyang'anywe.
Upuuzi uliouandika ni wa kijana aliyemaliza darasa la saba.
Kama una stashahada au shahada, wewe pamoja na mwalimu wako munastahili kufungwa.
 
Umeandika upuuzi tupu

Kwa hiyokwa sasa hivi unafurahishwa mno na kukosekana kwa umeme na shida na bidhaa kama sukari n.k?
 
Haha. Hebu nendeni mmbuni matusi mengine.

Mna ropoka ropoka tu na makasiriko yenu. Mipovu

Mtaota vibiongo nyinyi mawakala wa mabeberu na Chuki zenu. Haya

Magulification will go on, at all costs.
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸŽ€πŸ”Š
 
πŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ†’
 
πŸ—ΌπŸ“ŒπŸ”¨πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€πŸ™πŸ†’πŸ”Š
 
Bila shaka wewe ni mwizi na mkwepa kodi, JPM aikuwa anaikomboa nchi hii kutoka katika lindi la umasikini wa kutengenezwa.

Leo hii kila kitu ovyo, umeme shida, maji shida, vitu bei juu. Ujinga ujinga tu.
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸŽ€πŸ”Š
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸŽ€πŸ”Š
 
Alikuwa ni Muongo sana eti "tunatumia fedha zetu za ndani..." huku Mazezeta yakishangilia kwa nguvu huku mengine yakizimia na mifuko ya Rambo.

Zote hizi ni tamthilia za CCM katika hadaa zao.

Lowassa asingezulumiwa USHINDI angekuwa Raisi bora.
 
Mlidhani kazi itakua nyepesi na kumnanga kila siku sasa maji yamewafikia shingoni.
 
Alikuwa ni Muongo sana eti "tunatumia fedha zetu za ndani..." huku Mazezeta yakishangilia kwa nguvu huku mengine yakizimia na mifuko ya Rambo.

Zote hizi ni tamthilia za CCM katika hadaa zao.

Lowassa asingezulumiwa USHINDI angekuwa Raisi bora.
πŸ—ΌπŸ’πŸŽπŸ†’
 
nadhani wewe ndio kilaza na mjinga ndio maana nchi haisongi mbele ,unaweza kuwa vyeti feki pia .
Vp nyie wenyeuelewa mkubwa mnasifia Nini acheni kujifanya mnaakili kumbe zero brain katika nchi hii hakuna wenye akili Kuna wahuni tu
 
nadhani wewe ndio kilaza na mjinga ndio maana nchi haisongi mbele ,unaweza kuwa vyeti feki pia .
Hili neno vyeti feki haki ya mungu lile lijamaa liliwashika sana nyie wenye uelewa mdogo. Hakukuwa na cheti feki Tanzania Bali jpm alitaka kupunguza wafanyakazi tu mana asingeweza kuwalipa wote uchumi ulikuwa umekufa na unaelekea ICU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…