Wanandoa kununiana mwisho inatakiwa kuwa siku ngapi?

Wanandoa kununiana mwisho inatakiwa kuwa siku ngapi?

Maudhi tu afsa
Yanasameheka mkuu! Kupigana makofi siyo fresh kabisa! Kumbuka ulipoapa madhabuhuni ulisema huyu ni nyama katika nyama zangu na mifupa katika mifupa yangu. Sasa unapomdhaba makofi maanake unajipiga mwenyewe!
 
Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?

KAMA KOSA LILIKUA LAKE FANYA HIVI, USIJISHUSHE KAMWE MWACHE YEYE AKUANZE.

acha matumizi kama kawaida weka mezani usiongee chochote wala usiage zunguka zunguka hapo nje ashtukie umeshaondoka. Chelewa kurudi nyumbani, na usiwe unakula chakula chake, usiwe na time nae kabisa hata tamuu usimwambie akupe piga kimnya kama unamchepuko kula huko urudi umeshiba, pia siku moja moja uwe unarudi nyumbani huku umevaa nguo ambayo haijui. Hapo asipo ongea tafuta namna ulale nje ya nyumba siku kadhaa na ujiamini hata akiuliza ulikua wapi usimjibu
 
Shuka tu mkuu kwa maana mafahari wawili hawawezi kukaa zizi moja, so wewe tafuta namna umsemeshe tu ila pia unashindwa basi fuata ushauri wa jamaa aliyesema yeye alitafuta safari ya angalau wiki then from there mambo yakarudi kuwa sawa.
Lakini asiende safari ya kwa mchepuko!
 
KAMA KOSA LILIKUA LAKE FANYA HIVI, USIJISHUSHE KAMWE MWACHE YEYE AKUANZE.

acha matumizi kama kawaida weka mezani usiongee chochote wala usiage zunguka zunguka hapo nje ashtukie umeshaondoka. Chelewa kurudi nyumbani, na usiwe unakula chakula chake, usiwe na time nae kabisa hata tamuu usimwambie akupe piga kimnya kama unamchepuko kula huko urudi umeshiba, pia siku moja moja uwe unarudi nyumbani huku umevaa nguo ambayo haijui. Hapo asipo ongea tafuta namna ulale nje ya nyumba siku kadhaa na ujiamini hata akiuliza ulikua wapi usimjibu
Ushauri gani huu!
 
Shuka tu mkuu kwa maana mafahari wawili hawawezi kukaa zizi moja, so wewe tafuta namna umsemeshe tu ila pia unashindwa basi fuata ushauri wa jamaa aliyesema yeye alitafuta safari ya angalau wiki then from there mambo yakarudi kuwa sawa.

Usije kujichanganya kumuomba Msamaha mwanamke hata kama umekosea .

Huwa yanamalizwa bila hata kutamka Samahani .
 
Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Piga miti ndio utakuwa mwisho wa kununa.. piga miti kutwa mala tatu.. siku moja tu kwisha habari yake.. ataanza vicheko
 
Udhaifu mkubwa wa Mwanamke na Uimara wake unategemea AFYA YA SAIKOLOJIA YAKE KUHUSU HISIA NA MWILI WAKE.
Ooh, kwahiyo hapo jamaa anapaswa afanyeje ili kurudisha hali ikae sawa?

Sema hawa viumbe nao hawaeleweki, kwa maana unaweza kujishusha kwa Nia njema ila yeye anaweza akaitafsiri kama point ya udhaifu so kosa lile lile ulilomkanya nalo anaweza akaendelea nalo coz anajua mtu wenyewe mdhaifu anakupiga mwenyewe halafu anakuomba msamaha yeye mwenyewe 😂😂😂.
 
maliza ugomvi kwa vitendo, wanaume huwa hatuongei sana bali hutenda. Kamata piga pumbu haswaaa kisha kaa nae mbali kwa masaa kadhaa uone kama hajaanza kutuma vi-sms.
Hii mbinu alinifundishaga uncle wangu na kweli imenisaidia sana.
 
Huwagaa sijui ni siku ngapi ila huwa tunajikuta tu tunaongea tenaa as iff hakijatokea kituu alafu fresh tuu.
 
Back
Top Bottom