Wanandoa kununiana mwisho inatakiwa kuwa siku ngapi?

Wanandoa kununiana mwisho inatakiwa kuwa siku ngapi?

Mi ilikua siku mbili nikaona hasira hazipoi, nikafunga safari ya wiki moja, nikiwa huko mapenzi yakarudi. Nimerudi nyumbani hapa mahaba ndi ndi ndi.
Some times give yourselves a space to heal.
Jibu ili hapa fuata huu ushauri
 
Hajanuna huyo, kanunue jogoo mkubwa pita kwa jiko mkaangie mpelekee awe ànanukia vizuri.
Halafu akiipata harufu mshike tako ulipige busu! Atakufyoñya halafu utaona anajifanya hajaelewa, hakikisha unamla kabla ya kuku. Utaona jinsi mtàkavyo enjoy huyo kuku.
Hii mbinu nimeipenda
 
Mfungie booster ya makofi
Watu wanafki sana humu wanajidai ooh mwanamke hapigwi ooooh kesi hiyooo,
Kumbe wengi wao mpaka wake zao vibogoyo kwa vipigo na minundu

Kipigo hiko mimi kwa kweli pia nakipinga sana sana lakini kumlamba kofi moja na makonzi mawili hiyo lazima bi must ,

Wanawake wana mdomo sana ukijitia baby baby sanaaa anakutia kidole cha macho kwahiyo kadiria dozi mpe sio umvimbishe jicho mtoto wa watu hapana, au umrukie mateke kama unacheza mieleka hapana,
Kwenye kikao cha mwisho tulikubalina ni kofi moja na makonzi mawili

Na mkwara mzito sanaa, tuache unafki huko vijijini tulipokulia chumbani kwa mzee unakuta bakora kabisaa mnajua ni ya watoto hii kumbe ya watoto na mama yao.
 
Atakaa sawa inategemeana ila usimuombe akae sawa we endelea na mishe zako
Nb:sijui kipato chako na mji unaoishi ila ni vizuri kuwa na chumba kizuri Cha kupanga mahali mbali kidogo weka kitanda TV ndogo sofa ndogo na ka radio mahali ambapo utaenda na kupumzika nje ya nyumbani uwaze mambo Yako taratibu
 
Watu wanafki sana humu wanajidai ooh mwanamke hapigwi ooooh kesi hiyooo,
Kumbe wengi wao mpaka wake zao vibogoyo kwa vipigo na minundu

Kipigo hiko mimi kwa kweli pia nakipinga sana sana lakini kumlamba kofi moja na makonzi mawili hiyo lazima bi must ,

Wanawake wana mdomo sana ukijitia baby baby sanaaa anakutia kidole cha macho kwahiyo kadiria dozi mpe sio umvimbishe jicho mtoto wa watu hapana, au umrukie mateke kama unacheza mieleka hapana,
Kwenye kikao cha mwisho tulikubalina ni kofi moja na makonzi mawili

Na mkwara mzito sanaa, tuache unafki huko vijijini tulipokulia chumbani kwa mzee unakuta bakora kabisaa mnajua ni ya watoto hii kumbe ya watoto na mama yao.
Duh kwel mkuu,wanawake sio wa kuchekeachekea kindezi
 
Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?

Masaa 6
 
Njoo huku tukeshe.....
GQxzdnKWwAEDezo.jpg
 
Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Sikiliza kijana wewe ulikuwa refa ukamaliza mpira wako kwa Kibao na yeye yupo kwenye VAR anaangalia makosa yako mwacheeee mpaka apige filimbi or else utakula njano ya onyo, huwa wana njano za hatari hao 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom