Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Hivi ni sheria ama mmejipangia hii ya kulala bila nguo πππNdio ilivyo, tena mlale uchi ili mpatane usiku huo huo. Hakuna tendo linalofanyika bila nafsi kuridhia, ukisharidhia mkimaliza tu mtayajenga na mnuno utaisha.
Ikitokea emergency usiku inakuwaje ππ