Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Ah Wapi! Hakuna kitu kama hicho, ndio ni mkataba wa kuishi pamoja na kutengeneza familia tu, hakuna kuaminiana wala hakuna kitu kinaitwa mapenzi, kuna kitu maslahi tu. Ndio yanayotufanya kua pamoja na maslahi yakiisha kila mmoja ataelekea upande wake.
Mshahara ukishaanza kumwagika anakaa pembeni sio 😄Akaunti ya benki anaijua namba ya Siri, mshahara wenyewe mbuzi nimfiche nini?🤣🤣🤣
Ila Password ya simu hapana, asubiri kidogo...
Mnaweka tu utaratibu kuwa kuna mambo ya kimuungano na yasiyo ya kimuungano 😄Yaan katika kitu inanifanya niogope kuoa ni sera kama hizi
Ukitaka kukosa hata hela ya Kununua fegi mpe wife access ya pesa zako zote! Labda kama una pesa ndefu ila hizi za kuunga unga hapana hapana
Akaunti ya benki anaijua namba ya Siri, mshahara wenyewe mbuzi nimfiche nini?🤣🤣🤣
Ila Password ya simu hapana, asubiri kidogo...
Yaan katika kitu inanifanya niogope kuoa ni sera kama hizi
Watu wanaishi Kama housemates tu🤣🤣🤣 Mume anategea mke atunze nyumba, mke anategea mume Kama mlinzi, Yani Ile Bora nyumba ionekane ina mwanaume vibaka waogope🤣
Hii imeenda kwa wale wenye mpango wa kuoa na kuolewa sisi wengne haituhusu mkuu kila lakheri na ndoa zenu
Hao ni malaika tu
kwako kuvaa nguo kunamaanisha nini?Passwords ni zaidi ya kuvua nguo uonwe tupu.Hata mtoni watu huvua nguo kwa sababu wavuaji wanajua huwezi "kudukua" wala kutwaa viungo vyake.
Ndoa haina maana mtu avunje individuality yake yote kabisa.
Mwanamme unatakiwa hata ukimpa simu mkeo aangalie mwenyewe aogope kupofuka macho, aseme hapana baba.
Akaunti ya Benki unampa card na PIN ajichotee anavyotaka.
Siyo unaanguka unaumwa, hela zipo, lakini hakuna anayeweza kuzitoa.
Hapana, sio lazima ila ni muhimu. Btw, sheria ya mitandao inakataza sharing of passwords.
Kivyao.Watu wanawaita wasiooa wahuni lakini ukichunguza Kwa umakini hakuna Watu wahuni kama waliopo kwenye Ndoa.
Utapeli mtupu.
Mume Tapeli
MKE Tapeli.
Alafu walivyo wanafiki wanakuambia wao ni mwili mmoja. Utapeli mtupu!
Mambo wanayofanyiana Watu walioko kwenye Ndoa ni mara elfu ya ubaya ukilinganisha na waseja
Kivyao.
Ukianza kufuatilia sana ndoa za watu unaweza kuzushiwa una wivu, unataka kuolewa wewe.
Na ndio maana nimetumia terminology “Muhimu” kwa maana nothing is important all the time. Umuhimu ni relative terminology, inategemea na muda, sababu na muktadha unaozunguka kitu fulani. To be on safe side, kila mtu akae na passwords zake unless kuna umuhimu. Ya Mungu mengi, kesho utapigwa tukio na ukose la kufanya sababu sheria won't be on your side, weird times.Hata sheria za BENKI na mitandao ya simu.
Lakini Kwa upande wa Ndoa na mapenzi hakuna hiyo sheria.
😲Unaongeaga vitu vya maana leo umepuyanga kabisa..
Hii haijaenda