Wanandoa ni Lazima Wa-share Password za Akaunti Benki na Simu.

Wanandoa ni Lazima Wa-share Password za Akaunti Benki na Simu.

Ndoa haina maana mtu avunje individuality yake yote kabisa.

Mwanamme unatakiwa hata ukimpa simu mkeo aangalie mwenyewe aogope kupofuka macho, aseme hapana baba.

Akaunti ya Benki unampa card na PIN ajichotee anavyotaka.

Siyo unaanguka unaumwa, hela zipo, lakini hakuna anayeweza kuzitoa.
Ewaaah'...!
Now you're talking..!!

Hii copy ifike mezani kwa Mac Alpho 😂😂, kama namuona atakavyonisimanga..!!
 
Na ndio maana nimetumia terminology “Muhimu” kwa maana nothing is important all the time. Umuhimu ni relative terminology, inategemea na muda, sababu na muktadha unaozunguka kitu fulani. To be on safe side, kila mtu akae na passwords zake unless kuna umuhimu. Ya Mungu mengi, kesho utapigwa tukio na ukose la kufanya sababu sheria won't be on your side, weird times.

Kuliko nipigwe tukio na kuishi na mtu nisiyemuamini ni Bora niwe pekeangu. Lakini kuishi kinafiki na MTU ninayemuita MKE na Mwenza wangu nikijidai nampenda ilhali ni Uongo hiyo kwangu haifanyi Kazi.
Hiyo ni kwetu Watibeli.
Hai-apply Kwa Watu wote. Kila jamii inanamna Yao ya kuishi. Sio kosa
 
Mimi maoni yangu.

1. Kwenye ndoa kuwe na account ya pamoja ya familia yaani mke na mume wote wawe na haki na hiyo account. Password iwe wazi kwa wote. Na wote wanapaswa kuweka pato la familia kwenye hii account kila mwezi kwa kiwango walichokubaliana.

2. Mume awe na account yake binafsi . Hii itasaidia ku cover matumizi yake binafsi, pesa za kuendesha biashara zake, na hata kusaidia ndugu zake bila kubugudhi familia. Kuna wanaume wanaendesha biashara za ukoo wao wote kama Mo dewji mfano. Sizani kama ni sahihi mke wake ajue passwords za account zote za mo dewji

3. Mke na yeye awe na account yake binafsi. Hii itamsaidia mke pia kusaidia ndugu zake bila kubugudhi pato la familia

Ndoa iwe treated kama partnership
 
Ewaaah'...!
Now you're talking..!!

Hii copy ifike mezani kwa Mac Alpho [emoji23][emoji23], kama namuona atakavyonisimanga..!!
Mwaka juzi baba yangu alinitafuta.

Kuna familia ya mbunge mmoja maarufu, RIP, aliyekuwa na pesa ndefu sana, jamaa alikuwa ni millionaire wa ukweli (in US dollars) ilikuwa imeingia katika matatizo.

Hii familia ni family friends wa miaka mingi sana. Kama miaka 40 sasa.

Baba yao alikuwa anaumwa sana, hajiwezi, jamaa alikuwa kapoteza fahamu.

Halafu, licha ya kuwa na hela nyingi sana, huyo mzee hakumuamini mtu yeyote, kila kitu ilikuwa anafanya yeye. Akaunti zote kashika yeye.

Mzee wangu aliniomba niwasaidie.

Nikawatumia hela fulani ya kuwasaidia kumsitiri yule mzee mpaka baadaye kidogo walipojipanga.

Nikaona funzo kubwa sana, mzee ana hela mpaka alikuwa anaisaidia serikali. Sitanii, ningemtaja hapa wengine aliowasaidia wangetoa ushahidi.

Lakini licha ya kuwa na hela zote hizo, ilikuwa tabu kuzitoa, kwa sababu hakuiamini familia yake.
 
Mimi maoni yangu.

1. Kwenye ndoa kuwe na account ya pamoja ya familia yaani mke na mume wote wawe na haki na hiyo account. Password iwe wazi kwa wote. Na wote wanapaswa kuweka pato la familia kwenye hii account kila mwezi kwa kiwango walichokubaliana.

2. Mume awe na account yake binafsi . Hii itasaidia kusaidia ndugu zake bila kubugudhi familia.

3. Mke na yeye awe na account yake binafsi. Hii itamsaidia mke pia kusaidia ndugu zake bila kubugudhi pato la familia
Kimbembe kinakuja account ya mke lazma hela uiweke wewe. 🤣
 
Namba za siri za benki na mobile money naweza mpa,ila Kuna vitu vyangu private ambavo havihusiani na usaliti wa ndoa au kuhatarisha ndoa yetu. Mfano vitu vya kazi,siri za watu wengine na mambo yangu binafsi zaidi.
 

Attachments

  • Screenshot_20230703-092006_Google.jpg
    Screenshot_20230703-092006_Google.jpg
    37.3 KB · Views: 4
Mwaka juzi baba yangu alinitafuta.

Kuna familia ya mbunge mmoja maarufu, RIP, aliyekuwa na pesa ndefu sana, jamaa alikuwa ni millionaire wa ukweli (in US dollars) ilikuwa imeingia katika matatizo.

Hii familia ni family friends wa miaka mingi sana. Kama miaka 40 sasa.

Baba yao alikuwa anaumwa sana, hajiwezi, jamaa alikuw kapoteza fahamu.

Halafu, licha ya kuwa na hela nyingi sana, huyo mzee hakumuamini mtu yeyote, kila kitu ilikuwa anafanya yeye. Akaunti zote kashika yeye.

Mzee wangu aliniomba niwasaidie.

Nikawatumia hela fulani ya kuwasaidia kumsitiri yule mzee mpaka baadaye kidogo walipojipanga.

Nikaona funzo kubwa sana, mzee ana hela mpaka alikuwa anaisaidia serikali. Sitanii, ningemtaja hapa wengine aliowasaidia wangetoa ushahidi.

Lakini licha ya kuwa na hela zote hizo, ilikuwa tabu kuzitoa, kwa sababu hakuiamini familia yake.
Inahuzunisha hakika, tunapaswa kuingia ndoani na watu tunaowaamini hii itasaidia sana uwazi baina yetu..!!
Naomba na wanaume wanaobisha hili wajifunze pia..!!

Nilikuwa nina rafiki yangu enzi za Chuo baada ya Baba yake kufariki maisha ya familia yao yakawa magumu sana, na hapo Mama yao alikuwa ni Mama wa nyumbani, unajua zile familia wanajiweza kidogo ndugu huwa wanakuwa wengi hapo ndivyo ilivyokuwa kwao,

Baba hakuwa anamshirikisha Mama mali za familia, hivyo uwekezaji wanafahamu baadhi ya kaka wa marehemu na rafiki zake wa karibu, baada ya msiba vitu vikaanza binafsishwa moja baada ya kingine..!!

Huwezi amini yule binti alikuja hadi kuacha chuo kabisa kisa maisha yamekuwa magumu mno baada ya Mzee kuondoka, wanaume wanapaswa wajifunze hili,

'Endapo' ikatokea mwanaume katangulia kabla ya mkewe basi daima wanaoteseka ni wanae wasohatia pamoja na mkewe..!!
 
Inahuzunisha hakika, tunapaswa kuingia ndoani na watu tunaowaamini hii itasaidia sana uwazi baina yetu..!!
Naomba na wanaume wanaobisha hili wajifunze pia..!!

Nilikuwa nina rafiki yangu enzi za Chuo baada ya Baba yake kufariki maisha ya familia yao yakawa magumu sana, na hapo Mama yao alikuwa ni Mama wa nyumbani, unajua zile familia wanajiweza kidogo ndugu huwa wanakuwa wengi hapo ndivyo ilivyokuwa kwao,

Baba hakuwa anamshirikisha Mama mali za familia, hivyo uwekezaji wanafahamu baadhi ya kaka wa marehemu na rafiki zake wa karibu, baada ya msiba vitu vikaanza binafsishwa moja baada ya kingine..!!

Huwezi amini yule binti alikuja hadi kuacha chuo kabisa kisa maisha yamekuwa magumu mno baada ya Mzee kuondoka, wanaume wanapaswa wajifunze hili,

'Endapo' ikatokea mwanaume katangulia kabla ya mkewe basi daima wanaoteseka ni wanae wasohatia pamoja na mkewe..!!
Inasikitisha sana.

Pole kwa binti na familia.
 
Kuna vitu vinawezekana kwa kiasi chake tu.Vingine hata iweje,hawezi mke kujua.Ukiniuliza kwa nini?Nitakuambia ni hivyo tu instinct inaniongoza.
Mke anatakiwa apewe taarifa kwa mafungu! Na ikitokea kuna taarifa anaitaka kwa shauku hiyo taarifa usimpe, hata kama ni jina tu.
Ukiona mwanamke anahitaji kitu kwa shauku tambua kuna mchakato unaendelea.
 
WANANDOA NI LAZIMA WA-SHARE PASSWORD ZA AKAUNTI ZA BENKI NA SIMU

Anaandika, Robert Heriel
MTIBELI.

Dunia ya kitapeli huzalisha ndoa za kitapeli, Wanandoa matapeli, Watoto na kizazi cha kitapeli.

Kama mnafichiana namba za Siri za BENKI na akaunti na bado mnadanganyana ni MKE na Mume basi ninyi ni matapeli na Wanafiki Kwa kiwango cha juu. Hakunaga ndoa Hapo. Ni ujanja ujanja. Watibeli ni Bora kuishi mwenyewe kuliko kuishi na mtu ambaye humuamini au hakuamini.

Uaminifu ndani ya Ndoa ni moja ya Nguzo muhimu Baada ya upendo.

Kama MTU hajawa tayari kukupenda, kukuamini na hujawa tayari kumpenda na kumuamini ni Bora kila MTU apite kivyake.
Hakunaga ndoa ya Aina hiyo.
Hapo kitakachofuata ni ubinafsi wa kushangazaa.

Watibeli, naam Mimi kama Mtibeli ninawaagiza Vijana na mabinti, ili ndoa zenu ziwe ndoa kweli basi itahitaji mambo Makubwa yafuatayo;
1. Upendo, hapa tutazungumzia Moyo.
Ishu za kujali, kuthamini, kutunza na kuhudumia na mambo yote yahusuyo Hisia.

2. Imani, Hapa tunazungumzia Roho.
Hapa tunazungumzia ishu za Uaminifu, maadili na uadilifu, Tabia, kusamehe, na mambo yote yahusuyo Imani.

3. Utashi, hapa tunazungumzia Nafsi.
Mambi yahusuyo utambuzi, Akili, mtazamo, hasira, chuki, Mema na mabaya, n.k.

Hayo mambo Matatu lazima mkaribiane Kwa kiwango kikubwa. Kama mnapishana Sana basi hapo hakuna Ndoa. Lazima Haki za mmoja wenu zikanyagwe, na maumivu lazima yatokee. Hatimaye ndoa inakua ndoano.

Hakuna sababu yoyote ya maana hata Moja ya kumzuia Mwenza wako asijue Mambo yako nyeti kama Password ikiwa kweli mnasema mnapendana. Penye upendo hakuna sababu ya namna hiyo.

Unapoamua kuoa au kuolewa unaamua kuyafanya Maisha yako kuwa ya mwingine na Yale ya mwingine kuwa Maisha yako.
Mwili wako kuwa mwili wa mwingine, na wake kuwa wako
Siri zako kuwa siri za mwingine, na zake kuwa zako.
Madhaifu yako kuwa madhaifu ya mwingine, na yake kuwa yako.
Mali za mwingine kuwa zako, na zake kuwa zako.
Hiyo ndio ndoa.

Mwenza wako anapoficha Mambo yake ikiwemo namba za Siri anajaribu kueleza Jambo moja kuu kuwa Hakuamini, na kama Hakuamini basi ni kuwa Hakupendi Ile yenyewe.

Mtu Mwema na mwenye Upendo WA dhati haoni shida ku-share vitu na MTU anayempenda,

Ingawaje Kutokana na dunia hii kuwa na matapeli wengi, hasa Wanawake wanaopenda wanaume Kwa sababu ya Mali. Basi ni akheri
Umeoa lakini au unashauri tu??

Usione majumba yapo kimya, mambo ni mengi
 
Watu wanaishi Kama housemates tu🤣🤣🤣 Mume anategea mke atunze nyumba, mke anategea mume Kama mlinzi, Yani Ile Bora nyumba ionekane ina mwanaume vibaka waogope🤣
Acha tu wanawake wezi sana they never marry for unionification. They Mary for their own personal welfare. It reaches a point Wanawake wanaani watoto ni wao peke yao.

Kataa ndoa ni ufala ni uchuro
 
Back
Top Bottom