Wanandoa wanatakiwa wafanye tendo la ndoa mara ngap kwa siku?

Unamaanisha excess mkuu?
 
jaman naomba mnisaidie mawazo,maana ndoa yangu bado changa

Fanya kadri kibamia chako kinavyokuruhusu...maanake huko mbeleni...utatujia na swali lingine...nifanye mara ngapi kama nimemchoka mke wangu...jibu utaambiwa...usimle hata mara moja acha mashababi wakusaidie kufua...
 
jaman naomba mnisaidie mawazo,maana ndoa yangu bado changa

Mbona wakati mnaanza kudandia kabla ya ndoa haukuuliza...nenda kamuulize mlezi wako wa kidini acha kutuchosha sisi...papuch yakwako ratiba tukupangie sisi...umeona wapi kitu kama hiki
 
Kwa wiki Mara mbili au tatu lakin ile show yenyewe yenyewe mpka makalio anageuzia pembeni

kilicho akilini kitumie
 
Kama hujaolewa nakuomba inbox
 
Kuna mwana nilimpangisha alioa mwaka jana aah mwana anapiga mishe za bodaboda mwana hana muda maalumu muda wote alikuwa anafanya yake hata mara 5 kwa siku alikuwa anapiga tu.
 

me sijui kingereza ila hapo ni excess which is an amount of something that is more than necessary, permitted, or desirable, nadhani access ni kitu kingine kabisa eti mkuu ??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…