Wanandoa wapya wafariki kwa ajali Iringa

Dah tumepoteza Watanzania wenzetu. So sad

Alisema Magufuli matuta yaondolewe highway....

Zipo njia mbadala za kupunguza speed za madereva bila matuta
 
Ndoa siku 4 unasafiri vipi?
Ilipaswa wakae sehemu kwanza ajili ya mapumziko mafupi baada ya kufunga ndoa.
 
Wachawi watu wabaya sana hawafai kuishi hapa duniani....
 
Wazungu wanavofundisha adabu madereva barabarani, HAWANA HAJA YA TUTA

Sehemu ya 80km/h ukaenda +100km/h
1. Wanakunyang'anya leseni wiki 2
2. Wanakupiga faini $450
3. Insurance company zinakucharge pesa ndefu ya bima inaweza toka 300$ to 700$ per year

Wanaheshimu barabara kuliko chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…