Wanandoa wapya wafariki kwa ajali Iringa

Wanandoa wapya wafariki kwa ajali Iringa

Amesema miili ya askari hao imehifadhiwa Hospitali ya Mkoa wa Iringa na kesho Alhamisi, itasafirishwa kwenda Makongorosi, Mkoa wa Mbeya kwa maziko.
Wale wa Mikumi ni kutoka Mbeya na ni askari, hawa nao ni Mbeya na ni askari, Mbeya mmeanza madudu yenu huko
 
Hizi ajali zinazidi kumaliza watu. Ajali hiyo imetokea Iringa ambapo watu 3 wakiwemo wanandoa ambao wamefunga ndoa siku 4 zilizopita.

View attachment 2454492

======

Noah na Agnes wamefikwa na mauti katika ajali hiyo ikiwa ni siku nne zimepita tangu walipofunga ndoa, Desemba 17, 2022 jijini Arusha.

Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi akizungumza na Mwananchi Digital amesema, waliofariki katika ajali hiyo ni watatu wakiwemo askari wawili wa Polisi, Mkoa wa Arusha, Noah Semfukwe (30) aliyekuwa dereva na mkewe, Agnes Kiyeyeu (27).

ajaali-pic2.jpg


Gari lililopata ajali na kusababisha vifo vya watu watatu wakiwemo wanandoa Noah Semfukwe (30) na Agnes Kiyeyeu (27). Mwingine aliyekuwa kwenye gari dogo ni, Enocka Mbata (35), mkazi wa Iringa aliyekuwa kwenye gari hilo ambaye mwili wake umezikwa leo mkoani humo.

Kamanda huyo amesema, ajali hiyo ilitokea saa 3:05 asubuhi wakati gari hilo dogo aina ya Vits kulipiga katika tuta kubwa, ikaenda kwa kasi mbele na kukawa na lori mbeye yake, ikamlazimu kulipita, “ndipo akakutana na basi la Luwinzo uso kwa uso.”

Amesema miili ya askari hao imehifadhiwa Hospitali ya Mkoa wa Iringa na kesho Alhamisi, itasafirishwa kwenda Makongorosi, Mkoa wa Mbeya kwa maziko.
Pole yao
 
Ila hili vibe kwenye sherehe sijui wanalipataga wapi 😃
Rip makamanda
Vitu vikali vinakua KICHWANI from know where Mimi sinaga Hilo vibe yaani nijikute na cheza ivyo.
Siku ya send off yangu nilichekesha watu Ila kwenye harusi nilichangamka nikafukia mashino yotee
 
Hizi ajali zinazidi kumaliza watu. Ajali hiyo imetokea Iringa ambapo watu 3 wakiwemo wanandoa ambao wamefunga ndoa siku 4 zilizopita.

View attachment 2454492

======

Noah na Agnes wamefikwa na mauti katika ajali hiyo ikiwa ni siku nne zimepita tangu walipofunga ndoa, Desemba 17, 2022 jijini Arusha.

Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi akizungumza na Mwananchi Digital amesema, waliofariki katika ajali hiyo ni watatu wakiwemo askari wawili wa Polisi, Mkoa wa Arusha, Noah Semfukwe (30) aliyekuwa dereva na mkewe, Agnes Kiyeyeu (27).

ajaali-pic2.jpg


Gari lililopata ajali na kusababisha vifo vya watu watatu wakiwemo wanandoa Noah Semfukwe (30) na Agnes Kiyeyeu (27). Mwingine aliyekuwa kwenye gari dogo ni, Enocka Mbata (35), mkazi wa Iringa aliyekuwa kwenye gari hilo ambaye mwili wake umezikwa leo mkoani humo.

Kamanda huyo amesema, ajali hiyo ilitokea saa 3:05 asubuhi wakati gari hilo dogo aina ya Vits kulipiga katika tuta kubwa, ikaenda kwa kasi mbele na kukawa na lori mbeye yake, ikamlazimu kulipita, “ndipo akakutana na basi la Luwinzo uso kwa uso.”

Amesema miili ya askari hao imehifadhiwa Hospitali ya Mkoa wa Iringa na kesho Alhamisi, itasafirishwa kwenda Makongorosi, Mkoa wa Mbeya kwa maziko.
Nasikia wazee wa zamani walikuwa wanaogopa sana kusafiri kifamilia kwa sababu hizi hizi. Hata mimi naunga mkono, tupunguze kusafiri kifamilia kwa kutumia magari binafsi.

Mnajigawa mnapanda mabasi tofauti tofauti mana dunia imechafuka hii. Unaenda kijijini kwenu kwa private car kusalimia kwa lengo zuri, wakati wa kurud wanawategeshea ajali.
 
Back
Top Bottom