Salaam, shalom!
Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kula Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo maana ndani ya Damu ya m yama, mna uhai. ( Mwanzo 9:4).
Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona wengi wameacha kula Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.
Ushauri: Wafugaji tengenezeni vyakula vya kuku ninyi wenyewe mkiepuka kuweka au kuchanganya Damu kwenye vyakula vitumikavyo Kwa kuwapa mifugo kama kuku nk nk.
Karibuni 🙏
Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kula Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo maana ndani ya Damu ya m yama, mna uhai. ( Mwanzo 9:4).
Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona wengi wameacha kula Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.
Ushauri: Wafugaji tengenezeni vyakula vya kuku ninyi wenyewe mkiepuka kuweka au kuchanganya Damu kwenye vyakula vitumikavyo Kwa kuwapa mifugo kama kuku nk nk.
Karibuni 🙏