Wanaochanganya Damu mbichi ya n'gombe kwenye vyakula vya kuku wana nia ya kutufarakanisha na Mungu

Wanaochanganya Damu mbichi ya n'gombe kwenye vyakula vya kuku wana nia ya kutufarakanisha na Mungu

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!

Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kula Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo maana ndani ya Damu ya m yama, mna uhai. ( Mwanzo 9:4).

Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona wengi wameacha kula Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.

Ushauri: Wafugaji tengenezeni vyakula vya kuku ninyi wenyewe mkiepuka kuweka au kuchanganya Damu kwenye vyakula vitumikavyo Kwa kuwapa mifugo kama kuku nk nk.

Karibuni 🙏
 
Salaam,shalom!

Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kila Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo.

Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona wengi wameacha kula Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.

Ushauri: Wafugaji tengenezeni vyakula vya kuku ninyi wenyewe mkiepuka kuweka au kuchanganya Damu kwenye vyakula vitumikavyo Kwa kuwapa mifugo kama kuku nk nk.

Karibuni 🙏
Keanu sisi ni Walawi?
 
Walokole mfuge kuku zenu msichanganye na damu , ni nyie mmekatazwa sio kila mtu.
Uzao wa Nephilim KAZI yenu ni kupingana na Mungu Kwa Kila namna,

Ungekuwa mwanadamu, ungemsikiza nini Mungu amekataza,

Anyway, naongea na Wana wa Mungu.
 
Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.
Nikupe tafsiri ndogo ya andiko lako , binafsi nimesoma falsafa na TaariMungu kwa kiasi fulani nang’amua yaguatayo!..
👉🏾sheria ya kutokula damu inahusiana na heshima kwa uhai, kwani damu inatambuliwa kama chanzo cha maisha, na ni ya Mungu. Hii ilitolewa kwa Waisraeli kama amri ya kuepuka uchafu wa kiroho na kumheshimu Mungu. REF :Mambo ya Walawi 17:11 na kuendelea

👉🏾Hata hivyo, katika Agano Jipya, damu ya Yesu inahusishwa na wokovu, na ina maana ya agano jipya la neema. Kwa hivyo, muktadha wa kula damu unahusisha zaidi maadili ya kiroho na uhusiano wa watu na Mungu kuliko matumizi ya chakula cha kimwili. REJEA Yohana 6:53-56 na Mathayo 26:28
👉🏾binafsi naona kula damu kuna faida kama vile kutoa madini ya chuma, vitamini B12, na protini muhimu kwa uzalishaji wa seli nyekundu za damu. Hata hivyo, kuna hatari za maambukizi ya magonjwa, sumu za kemikali, na mzigo kwa figo na ini. Hivyo, kula damu inapaswa kufanywa kwa tahadhari na usafi ili kuepuka matatizo ya kiafya.
 
Wana wa Mungu tumekatazwa kula Damu ya mnyama Kwa kuwa ndani ya Damu ndipo penye uhai wa mnyama.
Mimi sisubiri ichanganywe kwenye chakula cha kuku, Ile damu yenyewe inapikwa na ninaila vizuri tu, hasa ya ng'ombe na nguruwe
 
Nikupe tafsiri ndogo ya andiko lako , binafsi nimesoma falsafa na TaariMungu kwa kiasi fulani nang’amua yaguatayo!..
👉🏾sheria ya kutokula damu inahusiana na heshima kwa uhai, kwani damu inatambuliwa kama chanzo cha maisha, na ni ya Mungu. Hii ilitolewa kwa Waisraeli kama amri ya kuepuka uchafu wa kiroho na kumheshimu Mungu. REF :Mambo ya Walawi 17:11 na kuendelea

👉🏾Hata hivyo, katika Agano Jipya, damu ya Yesu inahusishwa na wokovu, na ina maana ya agano jipya la neema. Kwa hivyo, muktadha wa kula damu unahusisha zaidi maadili ya kiroho na uhusiano wa watu na Mungu kuliko matumizi ya chakula cha kimwili. REJEA Yohana 6:53-56 na Mathayo 26:28
👉🏾binafsi naona kula damu kuna faida kama vile kutoa madini ya chuma, vitamini B12, na protini muhimu kwa uzalishaji wa seli nyekundu za damu. Hata hivyo, kuna hatari za maambukizi ya magonjwa, sumu za kemikali, na mzigo kwa figo na ini. Hivyo, kula damu inapaswa kufanywa kwa tahadhari na usafi ili kuepuka matatizo ya kiafya.
Ulaji wa Damu ni chanzo Cha LAANA na magonjwa mengi yanayotaabisha watu kizazi Cha Leo.

Kunywa Damu ya Yesu ni ishara kushiriki kifo Cha Yesu, na Si Damu halisi inayonywewa, ni divai.

Acha mara Moja kula Damu, mboga za majani zatosha kuongeza Damu mwilini.
 
Uzao wa Nephilim KAZI yenu ni kupingana na Mungu Kwa Kila namna,

Ungekuwa mwanadamu, ungemsikiza nini Mungu amekataza,

Anyway, naongea na Wana wa Mungu.
Ndio umefunuliwa unabiii sio ? Ukiweka uzi humu wa imani lazima tuhoji, ukiweka jukwaa la dini wala hautakaa niona humo.
 
Mimi sisubiri ichanganywe kwenye chakula cha kuku, Ile damu yenyewe inapikwa na ninaila vizuri tu, hasa ya ng'ombe na nguruwe
Unakaribisha LAANA ya UMWAGAJI DAMU katika uzao wako utokanao na hasira za kipepo ziingiazo kupitia ulaji wa Damu.
 
Ndio umefunuliwa unabiii sio ? Ukiweka uzi humu wa imani lazima tuhoji, ukiweka jukwaa la dini wala hautakaa niona humo.
Ndio nasema usile Damu ya mnyama Kwa faida ya ubinadamu na kumcha Mungu Kwa Wana wa Mungu.
 
Ulaji wa Damu ni chanzo Cha LAANA na magonjwa mengi yanayotaabisha watu kizazi Cha Leo.

Kunywa Damu ya Yesu ni ishara kushiriki kifo Cha Yesu, na Si Damu halisi inayonywewa, ni divai.

Acha mara Moja kula Damu, mboga za majani zatosha kuongeza Damu mwilini.
Babu zetu wakichaga na kimasai ni maarafu kati ya watu waliokunywa damu, na ni kati ya jamii zilizokua zinaishi miaka mingi .
 
Salaam, shalom!

Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kula Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo.

Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona wengi wameacha kula Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.

Ushauri: Wafugaji tengenezeni vyakula vya kuku ninyi wenyewe mkiepuka kuweka au kuchanganya Damu kwenye vyakula vitumikavyo Kwa kuwapa mifugo kama kuku nk nk.

Karibuni 🙏
Afadhali hiyo damu kuliko booster za ARV
 
Babu zetu wakichaga na kimasai ni maarafu kati ya watu waliokunywa damu, na ni kati ya jamii zilizokua zinaishi miaka mingi .
Hao mababu waliopewa maagizo na Mizimu ya nakabula Yao Ili kufanya hayo kama sehemu za Ibada za kimila.
 
Ndio nasema usile Damu ya mnyama Kwa faida ya ubinadamu na kumcha Mungu Kwa Wana wa Mungu.
Thibitisha kwanza uwepo wa Mungu , sio damu tu hata nyama situmii, ila haina uhusiano na imani ni hobi yangu tu.
 
Back
Top Bottom