Wanaochanganya Damu mbichi ya n'gombe kwenye vyakula vya kuku wana nia ya kutufarakanisha na Mungu

Wanaochanganya Damu mbichi ya n'gombe kwenye vyakula vya kuku wana nia ya kutufarakanisha na Mungu

Afadhali hiyo damu kuliko booster za ARV
Umenikumbusha,

Kuna Jirani alipoona kuku wake wamezeeka, hawatagi tena,

Alienda nunua hiyo booster, kuku walirudi kutaga na alipiga pesa mingi akawa anajisifia,

Sasa walaji chips mayai kwanini Roho za USHOGA na usagaji zisiwaingie!
 
Acheni ujinga
Suala la vitoweo ni la kitamaduni. Asili ya waafrika koo nyingi zinakula kitimoto na Kila aina ya KASONGO, halikadhalika damu ya wanyama hunywewa mbichi kabisa. Haya msmila ya kiarabu na Kiyahudi mlioletewa nayo dini ndio yanawadanganya suala la haramu
 
Sasa hapo anayekula damu mbichi ni wewe au kuku? Unalishwaje damu mbichi hapo? Pia naomba kasome kwenye Biblia waraka wa mtume Paulo kwa Waebrania naamini utajifunza kitu kuhusu vyakula kwa Mkristo!!!
 
Umenikumbusha,

Kuna Jirani alipoona kuku wake wamezeeka, hawatagi tena,

Alienda nunua hiyo booster, kuku walirudi kutaga na alipiga pesa mingi akawa anajisifia,

Sasa walaji chips mayai kwanini Roho za USHOGA na usagaji zisiwaingie!
Jamaa yangu ni mfugaji kuku mkubwa lakini hali nyama yake wala mayai
 
Sasa hapo anayekula damu mbichi ni wewe au kuku? Unalishwaje damu mbichi hapo? Pia naomba kasome kwenye Biblia waraka wa mtume Paulo kwa Waebrania naamini utajifunza kitu kuhusu vyakula kwa Mkristo!!!
Kwamba ukimlisha kuku Sumu, Kisha ukamchinja kuku na kula nyama yake na vilivyo ndani,

Hutapata madhara?

Pia soma uelewe maandiko, vipo vyakula ukila vinakata connection ya kiroho ndani Yako na Mungu.

Mfano ukila mzoga nk nk
 
Kutokula chakula fulani hakuwezi kukufanya kuwa mwenye haki mbele za Mungu.
Kula chakula fulani hakuwezi kukupotezea cheo chako kama mwana wa Mungu
Kwamba ukila nyama ya binadamu haibadili chochote kwenye uhusiano wako na Mungu?

Au ukila vyakula vilivyotolewa sadaka Kwa miungu mingine vya makafara, hutogombana na Roho mtakatifu ndani Yako?

Unaelewa maandiko Kweli?
 
Hiyo kitu babu zetu walitumia na walifika mpaka miaka 100 na zaidi bibi yangu mpaka leo anatumia ana 107
Adam aliishi miaka mia Tisa tisini.

Bibi Yako anachelewa kufa labda sababu Bado hajamaliza kulipa UOVU alioutenda, maana Si Kila aishiye miaka mingi ni baraka, wengine ni LAANA wanaishi sana Ili wateseke na kulipia, mfano mzuri ni Caini aliyemuua Habili alitangatanga muda mrefu pasipo kufa.
 
Nataka kujua kuamini tu haitoshi, je unajua kutokunywa damu ni utamaduni tu na mila za watu wamashariki ya kati?
Kutokula Damu ni katazo la Mungu.

Hapa sijaandika habari za Mila na desturi za watu wa middle east.
 
Adam aliishi miaka mia Tisa tisini.

Bibi Yako anachelewa kufa labda sababu Bado hajamaliza kulipa UOVU alioutenda, maana Si Kila aishiye miaka mingi ni baraka, wengine ni LAANA wanaishi sana Ili wateseke na kulipia, mfano mzuri ni Caini aliyemuua Habili alitangatanga muda mrefu pasipo kufa.
Huu ni kati ya ujinga mnapenda kuaminishana humo makanisani inawezekana bibi yangu ana maisha mazuri kuliko ya wewe unaesema analipa uovu, kwa hiyo hawa walokole wanapita kila siku apeche alolo hawanakitu wanaomba mpaka pesa ya kula baada ya kutuhubiria wao wanalipa uovu upi
 
Kutokula Damu ni katazo la Mungu.

Hapa sijaandika habari za Mila na desturi za watu wa middle east.
Vitabu vya dini vyote asili yake ni mashariki ya kati ,zipo mila nyingi za kuchinja za hiyo jamii ila hata wewe unachagua za kufauata tu
 
Huu ni kati ya ujinga mnapenda kuaminishana humo makanisani inawezekana bibi yangu ana maisha mazuri kuliko ya wewe unaesema analipa uovu, kwa hiyo hawa walokole wanapita kila siki apeche alolo hawanakitu wanaomba mpaka pesa ya kula baada ya kutuhubiria wao wanalipa uovu upi
Nami nimesema Inawezekana,

HOJA hapo ni kuwa,

Si Kila anaishi miaka mingi ni baraka no!!

Yesu aliishi duniani miaka 33 tu akiwa na mwili huu.

Wachawi wengi hucheleweshewa kifo Ili walipe UOVU wao hapa hapa duniani, Kisha waende kuzimu kuendelea na adhabu.

Na sijasema bibi Yako ni MMOJA wao, yaezakuwa ni mtu Mwema mwenye uzee utokanao na baraka.

Usinielewe vibaya🙏
 
Nami nimesema Inawezekana,

HOJA hapo ni kuwa,

Si Kila anaishi miaka mingi ni baraka no!!

Yesu aliishi duniani miaka 33 tu akiwa na mwili huu.

Wachawi wengi huchekeweshewa kifo Ili walipe UOVU wao.

Na sijasema bibi Yako ni MMOJA wao, yaezakuwa ni mtu Mwema mwenye uzee utokanao na baraka.

Usinielewe vibaya🙏
Unazidi kutaja mambo ambayo hauwezi kuya thibitisha zaidi ya kubuni tu.
 
Vitabu vya dini vyote asili yake ni mashariki ya kati ,zipo mila nyingi za kuchinja za hiyo jamii ila hata wewe unachagua za kufauata tu
Mungu alimkataza Adam kula Damu ya mnyama bustani ya Eden Kwa kuongea nae live,

Hakumsomea kwenye kitabu. Hivyo Ujue Mungu ni halisi, huongea live, Si katika neno lake pekee.

Umeelewa?
 
Back
Top Bottom