Wanaochanganya Damu mbichi ya n'gombe kwenye vyakula vya kuku wana nia ya kutufarakanisha na Mungu

Wanaochanganya Damu mbichi ya n'gombe kwenye vyakula vya kuku wana nia ya kutufarakanisha na Mungu

Ulaji wa Damu ni chanzo Cha LAANA na magonjwa mengi yanayotaabisha watu kizazi Cha Leo.

Kunywa Damu ya Yesu ni ishara kushiriki kifo Cha Yesu, na Si Damu halisi inayonywewa, ni divai.

Acha mara Moja kula Damu, mboga za majani zatosha kuongeza Damu mwilini.
Tuambie kwanini tulirithi dhambi ambayo ilitendwa tukiwa hatujazaliwa wakati huohuo utajiri wa Bakhresa hatujaurithi.
 
Hebu thibitisha kuwa ukila nyama unakua umetoa damu yote hadi seli ya mwisho.
Chinja mnyama au ndege, elekeza Damu ardhini, hakikisha imeisha yote mwilini, fukia Damu,

Andaa kitoweo chako Kwa chakula,

Hayo mambo ya seli ya mwisho ni ujuaji mwingi.
 
Dini ukiziendekeza unakula lijinga lijinga.
Tumia akili,wenzio wanatumia akili kwenye dini ndo maana wanatajirika
 
Tuambie kwanini tulirithi dhambi ambayo ilitendwa tukiwa hatujazaliwa wakati huohuo utajiri wa Bakhresa hatujaurithi.
Sasa wewe mtoto wa Chambusi urithi Kwa bakhresa ni Haki hiyo🤣
 
Dini ukiziendekeza unakula lijinga lijinga.
Tumia akili,wenzio wanatumia akili kwenye dini ndo maana wanatajirika
Hii mada IPO jukwaa la HOJA mchanganyiko,

Ingekuwa inahusiana na Dini, ungeikuta jukwaa la dini.

Sijui unaelewa?
 
Salaam, shalom!

Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kula Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo maana ndani ya Damu ya m yama, mna uhai. ( Mwanzo 9:4).

Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona wengi wameacha kula Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.

Ushauri: Wafugaji tengenezeni vyakula vya kuku ninyi wenyewe mkiepuka kuweka au kuchanganya Damu kwenye vyakula vitumikavyo Kwa kuwapa mifugo kama kuku nk nk.

Karibuni 🙏
Atakuwa msabato huyu wazee wanaishi kwa sheria ila ni wabinafsi sana
 
Atakuwa msabato huyu wazee wanaishi kwa sheria ila ni wabinafsi sana
Mleta mada Si msabato ,

Habari ya Mungu kukataza watu kula Damu au kunywa limo ndani ya BIBLIA.
 
Kiukweli nikichinja mbuzi bila kukinga dam sion kama mbuz amelika au ng'ombe, itakua hayo makatazo uchagani haya function
 
Kutana na nyama choma ichovyee kwenye dam yenye pilpil nying na chumv iwe imeiva kidogo ndipo utajua yakale sasa yamepita
Mla/Mnywa Damu akikasirika, kuua mtu ni kugusa.

Si vyema kugombea Damu na mapepo uchinjapo mbuzi au n'gombe.

Acha mara Moja, Mungu amekataza.
 
Back
Top Bottom