MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Hebu thibitisha kuwa ukila nyama unakua umetoa damu yote hadi seli ya mwisho.Wana wa Mungu tumekatazwa kula Damu ya mnyama Kwa kuwa ndani ya Damu ndipo penye uhai wa mnyama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu thibitisha kuwa ukila nyama unakua umetoa damu yote hadi seli ya mwisho.Wana wa Mungu tumekatazwa kula Damu ya mnyama Kwa kuwa ndani ya Damu ndipo penye uhai wa mnyama.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kodi inayopatikana kwenye pombe na sigara nayo ni haramu?
Vipi blood transfusion?Wana wa Mungu tumekatazwa kula Damu ya mnyama Kwa kuwa ndani ya Damu ndipo penye uhai wa mnyama.
Tuambie kwanini tulirithi dhambi ambayo ilitendwa tukiwa hatujazaliwa wakati huohuo utajiri wa Bakhresa hatujaurithi.Ulaji wa Damu ni chanzo Cha LAANA na magonjwa mengi yanayotaabisha watu kizazi Cha Leo.
Kunywa Damu ya Yesu ni ishara kushiriki kifo Cha Yesu, na Si Damu halisi inayonywewa, ni divai.
Acha mara Moja kula Damu, mboga za majani zatosha kuongeza Damu mwilini.
Chinja mnyama au ndege, elekeza Damu ardhini, hakikisha imeisha yote mwilini, fukia Damu,Hebu thibitisha kuwa ukila nyama unakua umetoa damu yote hadi seli ya mwisho.
Sasa wewe mtoto wa Chambusi urithi Kwa bakhresa ni Haki hiyo🤣Tuambie kwanini tulirithi dhambi ambayo ilitendwa tukiwa hatujazaliwa wakati huohuo utajiri wa Bakhresa hatujaurithi.
Hii mada IPO jukwaa la HOJA mchanganyiko,Dini ukiziendekeza unakula lijinga lijinga.
Tumia akili,wenzio wanatumia akili kwenye dini ndo maana wanatajirika
Atakuwa msabato huyu wazee wanaishi kwa sheria ila ni wabinafsi sanaSalaam, shalom!
Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kula Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo maana ndani ya Damu ya m yama, mna uhai. ( Mwanzo 9:4).
Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona wengi wameacha kula Damu ya mnyama, amegeuza Mpango, hivi sasa vyakula vya kuku vinachanganywa na damu wakileta sababu uchwara za kuwa Damu inaongeza Kasi ya ukuaji nk nk kumbe lao Moja, ni kutulisha Damu indirect, tukila kuku aliyekula Damu nasi tupatwe na adhabu ya Mungu Kwa kutotii.
Ushauri: Wafugaji tengenezeni vyakula vya kuku ninyi wenyewe mkiepuka kuweka au kuchanganya Damu kwenye vyakula vitumikavyo Kwa kuwapa mifugo kama kuku nk nk.
Karibuni 🙏
Mleta mada Si msabato ,Atakuwa msabato huyu wazee wanaishi kwa sheria ila ni wabinafsi sana
Mnywa Damu!Kiukweli nikichinja mbuzi bila kukinga dam sion kama mbuz amelika au ng'ombe, itakua hayo makatazo uchagani haya function
Kutana na nyama choma ichovyee kwenye dam yenye pilpil nying na chumv iwe imeiva kidogo ndipo utajua yakale sasa yamepitaMnywa Damu!
Mla/Mnywa Damu akikasirika, kuua mtu ni kugusa.Kutana na nyama choma ichovyee kwenye dam yenye pilpil nying na chumv iwe imeiva kidogo ndipo utajua yakale sasa yamepita
Amina mtumishiMla/Mnywa Damu akikasirika, kuua mtu ni kugusa.
Si vyema kugombea Damu na mapepo uchinjapo mbuzi au n'gombe.
Acha mara Moja, Mungu amekataza.
Acha kula kisusio broWalokole mfuge kuku zenu msichanganye na damu , ni nyie mmekatazwa sio kila mtu.
Jibu swaliSasa wewe mtoto wa Chambusi urithi Kwa bakhresa ni Haki hiyo🤣
Uliza swaliJibu swali