Namaanisha baada ya muda wa hawa watu kuishi huku Duniani kuisha na wakaondoka. Huko watakapokwenda watakuwa na maisha mazuri au mabaya ?
Imekuwa kawaida ya watu kila kitu wanachoambiwa wao ni kupinga tu. Hawatengi muda wa kutafakari, Hawatengi muda wa kujiuliza kwanini mtu ameamua kuacha muda wa kufanya mambo yake hadi akawaambia hicho kitu, Hawatengi muda wa kufanya utafiti ,Hawatengi muda wa kusoma kitabu cha KWELI ambacho atapata majibu ya kweli.
Wao wanachojua ni kupinga tu .
Enyi wanadamu mnao sikia sauti hii naomba mzingatie jambo hili .Mtafakari , mpeleleze, muulize kwenye chanzo cha KWELI ambacho hutoa taarifa za kweli .Kisha mjiulize je wanadamu wote wanao fanya mambo haya Je wataweza kuwa na mwisho mzuri baada ya muda wao hapa Duniani kuisha.?
1) Wanaosuka kwa kuweka nywele bandia.
2) Wanaotumia vipodozi kubadili ngozi zao.
3) Wanaosikiliza nyimbo mbaya za kidunia.
4) Wasichana na wanawake wanao vaa nguo za kikahaba.Zinazo bana
5) Wanaovaa mapambo mbalimbali kwenye viungo vya miili yao.
6) Wanaopaka rangi tatoos na kuchora michoro mbalimbali kwenye miili yao.
7) Watu wanaowaomba watu walio kufa wakiitwa watakatifu
8) Watu wanaoomba kupitia bikira Maria.
9) Watu wanaopinga ubatizo wa maji mengi wakisema hauna umuhimu wowote ule.
10) Ubatizo wa watoto wachanga.
11) Ubatizo wa kunyunyizia maji.
12) Watu wanaotizama movies mbaya za ukatili za kutisha na uchawi.
13) Watu wanaopinga Karama ya kunena kwa lugha.
14) Watu wanaopuuza mambo ya IMANI YA KWELI . Wao wana amini katika sayansi pekee na akili za kibinadamu. Hawa amini chochote.
15) Watu wasiotenga muda wa kutosha wa kuwasiliana na Yule aliye waleta huku Duniani.Wao wanacho jali ni kazi na pesa tu na starehe na anasa na tamaa na majivuno .
NAAMINI UKIZINGATIA USHAURI HUU UTAWEZA KUFAHAMU KWELI ITAKAYO KUWEKA HURU.
TAFAKARI HAYO NA CHUKUA HATUA SAHIHI.
ASANTE NA NAKUTAKIA SIKU NJEMA
Imekuwa kawaida ya watu kila kitu wanachoambiwa wao ni kupinga tu. Hawatengi muda wa kutafakari, Hawatengi muda wa kujiuliza kwanini mtu ameamua kuacha muda wa kufanya mambo yake hadi akawaambia hicho kitu, Hawatengi muda wa kufanya utafiti ,Hawatengi muda wa kusoma kitabu cha KWELI ambacho atapata majibu ya kweli.
Wao wanachojua ni kupinga tu .
Enyi wanadamu mnao sikia sauti hii naomba mzingatie jambo hili .Mtafakari , mpeleleze, muulize kwenye chanzo cha KWELI ambacho hutoa taarifa za kweli .Kisha mjiulize je wanadamu wote wanao fanya mambo haya Je wataweza kuwa na mwisho mzuri baada ya muda wao hapa Duniani kuisha.?
1) Wanaosuka kwa kuweka nywele bandia.
2) Wanaotumia vipodozi kubadili ngozi zao.
3) Wanaosikiliza nyimbo mbaya za kidunia.
4) Wasichana na wanawake wanao vaa nguo za kikahaba.Zinazo bana
5) Wanaovaa mapambo mbalimbali kwenye viungo vya miili yao.
6) Wanaopaka rangi tatoos na kuchora michoro mbalimbali kwenye miili yao.
7) Watu wanaowaomba watu walio kufa wakiitwa watakatifu
8) Watu wanaoomba kupitia bikira Maria.
9) Watu wanaopinga ubatizo wa maji mengi wakisema hauna umuhimu wowote ule.
10) Ubatizo wa watoto wachanga.
11) Ubatizo wa kunyunyizia maji.
12) Watu wanaotizama movies mbaya za ukatili za kutisha na uchawi.
13) Watu wanaopinga Karama ya kunena kwa lugha.
14) Watu wanaopuuza mambo ya IMANI YA KWELI . Wao wana amini katika sayansi pekee na akili za kibinadamu. Hawa amini chochote.
15) Watu wasiotenga muda wa kutosha wa kuwasiliana na Yule aliye waleta huku Duniani.Wao wanacho jali ni kazi na pesa tu na starehe na anasa na tamaa na majivuno .
NAAMINI UKIZINGATIA USHAURI HUU UTAWEZA KUFAHAMU KWELI ITAKAYO KUWEKA HURU.
TAFAKARI HAYO NA CHUKUA HATUA SAHIHI.
ASANTE NA NAKUTAKIA SIKU NJEMA