Wanaofanya haya, mwisho wa maisha yao utakuwa mzuri au mbaya?

Wanaofanya haya, mwisho wa maisha yao utakuwa mzuri au mbaya?

Kufall in love na Msabato heri nidondokee islamic 😒


Nyie ndugu zetu Mbingu ni yenu,, kaeni hapo msubiri bus la kuwapeleka huko.
 
16. Watu wanaopiga nyeto(nikiwemo mimi)
17. Watu wanaopenda kupiga chabo(ndo ulevi wangu)
18.Watu wanaoombea wenzao wafe ili wapige hela(mimi ni mmoja wao nauzaga majeneza na sanda)
 
Ongezea na hizi:

1. Wanaokunywa soda na pombe
2. Wasiosali siku ya Sabato
3. Wanaomuita Papa Baba Mtakatifu
4. Wanaokula nguruwe
5. Wanaokula wanyama wasiokuwa na kwato
6. Wanaokula samaki wasio na magamba
7. Wanaokula wanyama wasiocheua
8. Wasioamini katika roho ya unabii
9. Wasiompenda Nabii mkuu Ellen G. White
10. Wasioamini kuwa Papa ndiye yule Mpinga Kristo na Kahaba wa Babiloni aliyetajwa katika kitabu cha Ufunuo


Waadventista Wasabato bwana [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo namba 7 eleza kidogo wanyama gani Mana wapo wengi kweli wanaoliwa 😁😁
 
Kabla hujaanza kutuhukumu je huyo atakae hukumu unamjuwa?

Na je hujui kila mtu na imani yake? Yaan imani yangu kuna mambo imehalalisha ambayo kwako ni haram[emoji23] na vise versa halali kwako kwangu n haram, so usiforce kufanana.

Subiri kihama kila mtu atahukumiwa kutokana na imani yake[emoji23][emoji23], kwanza huko mnakokuota hukumuni hakupo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ongezea na hizi:

1. Wanaokunywa soda na pombe
2. Wasiosali siku ya Sabato
3. Wanaomuita Papa Baba Mtakatifu
4. Wanaokula nguruwe
5. Wanaokula wanyama wasiokuwa na kwato
6. Wanaokula samaki wasio na magamba
7. Wanaokula wanyama wasiocheua
8. Wasioamini katika roho ya unabii
9. Wasiompenda Nabii mkuu Ellen G. White
10. Wasioamini kuwa Papa ndiye yule Mpinga Kristo na Kahaba wa Babiloni aliyetajwa katika kitabu cha Ufunuo


Waadventista Wasabato bwana [emoji16][emoji16][emoji16]
Usabato ni genge la Roman catholic, tofaut yenu ni ndogo sana na wao, mkitaka muwe watakatifu basi acheni kutumia kalenda iliyohasisiwa na mrumi, acheni kutumia biblia maana nayo iliandikwa na wahuni wa kirumi,

Kuna mengi hamyajui mnafuata mkumbo tu, dini na madhehebu yote yako chini ya mkatoric, hakuna aliye sahihi maana nyote mnatumia uongo ule ule[emoji23][emoji23].

Ukitaka ujitenge na Upapa basi ikane dini na mafundisho yake, or otherwise unapoteza muda
 
Usabato ni genge la Roman catholic, tofaut yenu ni ndogo sana na wao, mkitaka muwe watakatifu basi acheni kutumia kalenda iliyohasisiwa na mrumi, acheni kutumia biblia maana nayo iliandikwa na wahuni wa kirumi,

Kuna mengi hamyajui mnafuata mkumbo tu, dini na madhehebu yote yako chini ya mkatoric, hakuna aliye sahihi maana nyote mnatumia uongo ule ule[emoji23][emoji23].

Ukitaka ujitenge na Upapa basi ikane dini na mafundisho yake, or otherwise unapoteza muda
Waambie!
 
Namaanisha baada ya muda wa hawa watu kuishi huku Duniani kuisha na wakaondoka. Huko watakapokwenda watakuwa na maisha mazuri au mabaya ?

Imekuwa kawaida ya watu kila kitu wanachoambiwa wao ni kupinga tu. Hawatengi muda wa kutafakari, Hawatengi muda wa kujiuliza kwanini mtu ameamua kuacha muda wa kufanya mambo yake hadi akawaambia hicho kitu, Hawatengi muda wa kufanya utafiti ,Hawatengi muda wa kusoma kitabu cha KWELI ambacho atapata majibu ya kweli.
Wao wanachojua ni kupinga tu .

Enyi wanadamu mnao sikia sauti hii naomba mzingatie jambo hili .Mtafakari , mpeleleze, muulize kwenye chanzo cha KWELI ambacho hutoa taarifa za kweli .Kisha mjiulize je wanadamu wote wanao fanya mambo haya Je wataweza kuwa na mwisho mzuri baada ya muda wao hapa Duniani kuisha.?

1) Wanaosuka kwa kuweka nywele bandia.
2) Wanaotumia vipodozi kubadili ngozi zao.
3) Wanaosikiliza nyimbo mbaya za kidunia.
4) Wasichana na wanawake wanao vaa nguo za kikahaba.Zinazo bana
5) Wanaovaa mapambo mbalimbali kwenye viungo vya miili yao.
6) Wanaopaka rangi tatoos na kuchora michoro mbalimbali kwenye miili yao.
7) Watu wanaowaomba watu walio kufa wakiitwa watakatifu
8) Watu wanaoomba kupitia bikira Maria.
9) Watu wanaopinga ubatizo wa maji mengi wakisema hauna umuhimu wowote ule.
10) Ubatizo wa watoto wachanga.
11) Ubatizo wa kunyunyizia maji.
12) Watu wanaotizama movies mbaya za ukatili za kutisha na uchawi.
13) Watu wanaopinga Karama ya kunena kwa lugha.
14) Watu wanaopuuza mambo ya IMANI YA KWELI . Wao wana amini katika sayansi pekee na akili za kibinadamu. Hawa amini chochote.
15) Watu wasiotenga muda wa kutosha wa kuwasiliana na Yule aliye waleta huku Duniani.Wao wanacho jali ni kazi na pesa tu na starehe na anasa na tamaa na majivuno .

NAAMINI UKIZINGATIA USHAURI HUU UTAWEZA KUFAHAMU KWELI ITAKAYO KUWEKA HURU.

TAFAKARI HAYO NA CHUKUA HATUA SAHIHI.

ASANTE NA NAKUTAKIA SIKU NJEMA
Jeeeeesuuuus is loooooord ...receiiiiveeeee receive. Receive ya nyoko.... Mpeni Kaizari yaliye yake kaisari mpeni Mungu yaliye yake Mungu. Na hakuna aliyeenda huko akarudi hata wewe hujui hilo .... Maneno meeeengi hata jirani yako tu haumjali kumbaafu.
 
Vipi kuhusu wanaomcheka mleta mada? 😂😂😂
 
Aaaah wapi ....nakaaa nao mtaa Mmoja hapa kanisa lao ndio utachoka hayo mavazi yao kwanza siku hizi wasabato hawanyoi tena kama POLICE COLLEGE
Ni rahisi Sheikh kchangamana na mkatoliki kuliko Msabato
 
Kufall in love na Msabato heri nidondokee islamic [emoji19]


Nyie ndugu zetu Mbingu ni yenu,, kaeni hapo msubiri bus la kuwapeleka huko.
Utaweza kuvaa juba bibie maana unywele wako anatakiwa auone mume tu

Hakuna kuringishia tena mashosti msuko ulionyoa
 
Baada ya kusoma hiyo list na kujua imenigusa kwa asilimia 80% kila baadhi ya vipande nipo au sipo

Namalizia kusema tukutana motoni wanangu wote

Yule baliega wa gomzi najua nitamkuta huko hilo halina ubishi pamoja na mzabzab
 
Back
Top Bottom