Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 345
- 548
Wewe unahukumu kama nani? Utakuta yote uliyoandika hufanyi ila unao Uzinzi, unafiki, umbea, unafitini watu je utaenda mbinguni? Usijihesabie haki mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 9 tu ndo inanitoaga nje ya reliOngezea na hizi:
1. Wanaokunywa soda na pombe
2. Wasiosali siku ya Sabato
3. Wanaomuita Papa Baba Mtakatifu
4. Wanaokula nguruwe
5. Wanaokula wanyama wasiokuwa na kwato
6. Wanaokula samaki wasio na magamba
7. Wanaokula wanyama wasiocheua
8. Wasioamini katika roho ya unabii
9. Wasiompenda Nabii mkuu Ellen G. White
10. Wasioamini kuwa Papa ndiye yule Mpinga Kristo na Kahaba wa Babiloni aliyetajwa katika kitabu cha Ufunuo
Waadventista Wasabato bwana [emoji16][emoji16][emoji16]
ndio nashangaa anakashifu imani za watuMlokole huyo ndio wanazo hizo pigo za kiwaki
Huo wivu na wewe kuwa mcha Mungu.Hakuna watu wanafki Kama Hawa wanaojiita wacha Mungu
Msabato bogusNamaanisha baada ya muda wa hawa watu kuishi huku Duniani kuisha na wakaondoka. Huko watakapokwenda watakuwa na maisha mazuri au mabaya ?
Imekuwa kawaida ya watu kila kitu wanachoambiwa wao ni kupinga tu. Hawatengi muda wa kutafakari, Hawatengi muda wa kujiuliza kwanini mtu ameamua kuacha muda wa kufanya mambo yake hadi akawaambia hicho kitu, Hawatengi muda wa kufanya utafiti ,Hawatengi muda wa kusoma kitabu cha KWELI ambacho atapata majibu ya kweli.
Wao wanachojua ni kupinga tu .
Enyi wanadamu mnao sikia sauti hii naomba mzingatie jambo hili .Mtafakari , mpeleleze, muulize kwenye chanzo cha KWELI ambacho hutoa taarifa za kweli .Kisha mjiulize je wanadamu wote wanao fanya mambo haya Je wataweza kuwa na mwisho mzuri baada ya muda wao hapa Duniani kuisha.?
1) Wanaosuka kwa kuweka nywele bandia.
2) Wanaotumia vipodozi kubadili ngozi zao.
3) Wanaosikiliza nyimbo mbaya za kidunia.
4) Wasichana na wanawake wanao vaa nguo za kikahaba.Zinazo bana
5) Wanaovaa mapambo mbalimbali kwenye viungo vya miili yao.
6) Wanaopaka rangi tatoos na kuchora michoro mbalimbali kwenye miili yao.
7) Watu wanaowaomba watu walio kufa wakiitwa watakatifu
8) Watu wanaoomba kupitia bikira Maria.
9) Watu wanaopinga ubatizo wa maji mengi wakisema hauna umuhimu wowote ule.
10) Ubatizo wa watoto wachanga.
11) Ubatizo wa kunyunyizia maji.
12) Watu wanaotizama movies mbaya za ukatili za kutisha na uchawi.
13) Watu wanaopinga Karama ya kunena kwa lugha.
14) Watu wanaopuuza mambo ya IMANI YA KWELI . Wao wana amini katika sayansi pekee na akili za kibinadamu. Hawa amini chochote.
15) Watu wasiotenga muda wa kutosha wa kuwasiliana na Yule aliye waleta huku Duniani.Wao wanacho jali ni kazi na pesa tu na starehe na anasa na tamaa na majivuno .
NAAMINI UKIZINGATIA USHAURI HUU UTAWEZA KUFAHAMU KWELI ITAKAYO KUWEKA HURU.
TAFAKARI HAYO NA CHUKUA HATUA SAHIHI.
ASANTE NA NAKUTAKIA SIKU NJEMA
yaani unataka usikilizwe wewe tuuu?? Mtu akipinga ana sababu wewe pia msikilize...acha udikiteta wa kizamani huo........Namaanisha baada ya muda wa hawa watu kuishi huku Duniani kuisha na wakaondoka. Huko watakapokwenda watakuwa na maisha mazuri au mabaya ?
Imekuwa kawaida ya watu kila kitu wanachoambiwa wao ni kupinga tu. Hawatengi muda wa kutafakari, Hawatengi muda wa kujiuliza kwanini mtu ameamua kuacha muda wa kufanya mambo yake hadi akawaambia hicho kitu, Hawatengi muda wa kufanya utafiti ,Hawatengi muda wa kusoma kitabu cha KWELI ambacho atapata majibu ya kweli.
Wao wanachojua ni kupinga tu .
Enyi wanadamu mnao sikia sauti hii naomba mzingatie jambo hili .Mtafakari , mpeleleze, muulize kwenye chanzo cha KWELI ambacho hutoa taarifa za kweli .Kisha mjiulize je wanadamu wote wanao fanya mambo haya Je wataweza kuwa na mwisho mzuri baada ya muda wao hapa Duniani kuisha.?
1) Wanaosuka kwa kuweka nywele bandia.
2) Wanaotumia vipodozi kubadili ngozi zao.
3) Wanaosikiliza nyimbo mbaya za kidunia.
4) Wasichana na wanawake wanao vaa nguo za kikahaba.Zinazo bana
5) Wanaovaa mapambo mbalimbali kwenye viungo vya miili yao.
6) Wanaopaka rangi tatoos na kuchora michoro mbalimbali kwenye miili yao.
7) Watu wanaowaomba watu walio kufa wakiitwa watakatifu
8) Watu wanaoomba kupitia bikira Maria.
9) Watu wanaopinga ubatizo wa maji mengi wakisema hauna umuhimu wowote ule.
10) Ubatizo wa watoto wachanga.
11) Ubatizo wa kunyunyizia maji.
12) Watu wanaotizama movies mbaya za ukatili za kutisha na uchawi.
13) Watu wanaopinga Karama ya kunena kwa lugha.
14) Watu wanaopuuza mambo ya IMANI YA KWELI . Wao wana amini katika sayansi pekee na akili za kibinadamu. Hawa amini chochote.
15) Watu wasiotenga muda wa kutosha wa kuwasiliana na Yule aliye waleta huku Duniani.Wao wanacho jali ni kazi na pesa tu na starehe na anasa na tamaa na majivuno .
NAAMINI UKIZINGATIA USHAURI HUU UTAWEZA KUFAHAMU KWELI ITAKAYO KUWEKA HURU.
TAFAKARI HAYO NA CHUKUA HATUA SAHIHI.
ASANTE NA NAKUTAKIA SIKU NJEMA
Loool baby love!! Uko sahihi kabisa..... njoo kwangu utaenda mbinguni tu nakuhakikishia....usiiepuuze neema hii ya sauti ikuitayo nyikani......mda ni sasa usije juta!Kufall in love na Msabato heri nidondokee islamic 😒
Nyie ndugu zetu Mbingu ni yenu,, kaeni hapo msubiri bus la kuwapeleka huko.
Ukienda tubali na fiji utashangaa sana. Wanaume wote wanavaa sketiNamaanisha baada ya muda wa hawa watu kuishi huku Duniani kuisha na wakaondoka. Huko watakapokwenda watakuwa na maisha mazuri au mabaya ?
Imekuwa kawaida ya watu kila kitu wanachoambiwa wao ni kupinga tu. Hawatengi muda wa kutafakari, Hawatengi muda wa kujiuliza kwanini mtu ameamua kuacha muda wa kufanya mambo yake hadi akawaambia hicho kitu, Hawatengi muda wa kufanya utafiti ,Hawatengi muda wa kusoma kitabu cha KWELI ambacho atapata majibu ya kweli.
Wao wanachojua ni kupinga tu .
Enyi wanadamu mnao sikia sauti hii naomba mzingatie jambo hili .Mtafakari , mpeleleze, muulize kwenye chanzo cha KWELI ambacho hutoa taarifa za kweli .Kisha mjiulize je wanadamu wote wanao fanya mambo haya Je wataweza kuwa na mwisho mzuri baada ya muda wao hapa Duniani kuisha.?
1) Wanaosuka kwa kuweka nywele bandia.
2) Wanaotumia vipodozi kubadili ngozi zao.
3) Wanaosikiliza nyimbo mbaya za kidunia.
4) Wasichana na wanawake wanao vaa nguo za kikahaba.Zinazo bana
5) Wanaovaa mapambo mbalimbali kwenye viungo vya miili yao.
6) Wanaopaka rangi tatoos na kuchora michoro mbalimbali kwenye miili yao.
7) Watu wanaowaomba watu walio kufa wakiitwa watakatifu
8) Watu wanaoomba kupitia bikira Maria.
9) Watu wanaopinga ubatizo wa maji mengi wakisema hauna umuhimu wowote ule.
10) Ubatizo wa watoto wachanga.
11) Ubatizo wa kunyunyizia maji.
12) Watu wanaotizama movies mbaya za ukatili za kutisha na uchawi.
13) Watu wanaopinga Karama ya kunena kwa lugha.
14) Watu wanaopuuza mambo ya IMANI YA KWELI . Wao wana amini katika sayansi pekee na akili za kibinadamu. Hawa amini chochote.
15) Watu wasiotenga muda wa kutosha wa kuwasiliana na Yule aliye waleta huku Duniani.Wao wanacho jali ni kazi na pesa tu na starehe na anasa na tamaa na majivuno .
NAAMINI UKIZINGATIA USHAURI HUU UTAWEZA KUFAHAMU KWELI ITAKAYO KUWEKA HURU.
TAFAKARI HAYO NA CHUKUA HATUA SAHIHI.
ASANTE NA NAKUTAKIA SIKU NJEMA