Wanaofanya haya, mwisho wa maisha yao utakuwa mzuri au mbaya?

Wewe unahukumu kama nani? Utakuta yote uliyoandika hufanyi ila unao Uzinzi, unafiki, umbea, unafitini watu je utaenda mbinguni? Usijihesabie haki mkuu
 
Namba 9 tu ndo inanitoaga nje ya reli
 
Mimi niulize tu,we ulijuaje kuwa hizo wanazosikiliza ni nyimbo za kidunia?
Basi hata wewe unatiketi namba 1 pale karibu na dereva mpo msafara wa kuelekea huko ukujuako!
 
Wazungu wenyewe waliotuletea dini wanatembea uchi, ni mashoga wewe unajifanya kuijua fini kuliko wao
 
Msabato bogus

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani unataka usikilizwe wewe tuuu?? Mtu akipinga ana sababu wewe pia msikilize...acha udikiteta wa kizamani huo........
Kumbuka Musa aliimba wimbo wa aina yake kuwakomboa wana wa israel.....imeandikwa usihukumu usije hukumiwa...ukitamani mtu aliye vaa nguo fupi umesha zini naye moyoni..... Ukiona mtu hakusikilizi weye ndo una dhambi....hata shetani anaijua Biblia tena kuliko weye.....wapi uliona Yesu anamtukana shetani??? Hata shetani ni mwana wa Mungu sana tu....tena wanapiga stori kuliko weye.. rejea kisa cha ayubu.... Wenzako wale wanajuana kuliko unavodhani...ivi nakuuliza mungu akimsamehe shetani si utajiua weye???...pia mie siyo lazima nimjue mungu wako wkt simjui.....Biblia imetaja miungu weeeeengi sana.. hata yesu ni mzungu sasa weye mtu mweusi wapi na wapi na yesu mkoloni??...atakufungia nje siku ya kiama wkt wazungu wanaingia bure paradiso. Labda uwe na hela...lkn vinginevyo kumuona yesu mzungu!!! muuza watumwa yule kazi iko....nasema utanitafuta..kwa mbinde siku ya kiama hayyyaaa...
 
Kufall in love na Msabato heri nidondokee islamic 😒


Nyie ndugu zetu Mbingu ni yenu,, kaeni hapo msubiri bus la kuwapeleka huko.
Loool baby love!! Uko sahihi kabisa..... njoo kwangu utaenda mbinguni tu nakuhakikishia....usiiepuuze neema hii ya sauti ikuitayo nyikani......mda ni sasa usije juta!
 
Ukienda tubali na fiji utashangaa sana. Wanaume wote wanavaa sketi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…