Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Wengi wamefanya kama sifa.
Kuna jamaa wanashindana eti leo nimekimbia km 40.

Mtu mwembamba huna shida yoyote unakimbia km 40 ili iweje.

Kuna kadada hadi sura umekuwa kama mbibi. Wakati alikuwa beautiful lady. Hajui kwa nini anafanya hayo.
 
Kweli, na za brand nyingine. Ila wa kwetu wanakimbia kazi za nje, za kufyeka, kulima bustani, gardening, kufagia na usafi wa nje kwa ujumla...
 
Nikifanyaga jogging napata matokeo chanya ya moja kwa moja. Hata shemeji yenu akiona performance imeanza kupungua hunihimiza nirudi kwenye jogging.
mazoezi nayaheshimu sana performance ilkuwa ovyo ila toka nianze squats pushaps na mengine mepes mepesi dah yaani napiga mashine mpaka najishangaa afu sichoki

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Mwili unahitaji mazoezi kidogo na kula chakula kistaarabu kwa kiwango,kuepuka alaji wa vyakula vya mafuta na wanga na unywaji wa vinywaji vya sukari kama soda,kuepuka kula vyakula ambavyo mmeng'e nyo wake unachelewa mfano nyama na kujikita kula mboga za majani na matunda.
NB
USIPOKULA CHAKULA KAMA DAWA UTAKULA DAWA KAMA CHAKULA.
 
Hata kuna doctor mmoja kule USA alisema breakfast ni scam iliwekwa na wauza soseji na madaktari lakini anasema kiafya hakuna madhara yoyote ku skip breakfast wazungu wanajua waafrika mazuzu wanaiga kila kitu.
Inawezekana breakfast ikawa scam kweli kwa sababu unalala tu unaamka na kuanza kula!
 
Kama kuna ulazima. Kwa mfano wakati wa tambiko la kimila kwenye kabila letu huwa tunakunywa hiyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hicho kitu siwezi labda kutumia mafuta yake kwa matambiko ila kula mkia wa kondoo thubutu
 
Kabisa prof janabi alisema kobe hafanyi mazoezi kabisa anaishi miaka miasaba, jogging zinaleta magonjwa nyemelezi
 
kama kuvaa hereni kwa wanaume,wazungu walifanya hivyo kujulisha nani shoga unaetafuta shoga usipate tabu, tanzania sisi tumeiga tumeona kujiremba mzungu akija akiona mwanaume ana hereni anahamu nae mwafrica unakunja ngumi
 
Huyo mzungu yupo sahihi, tatizo watu wanapenda kufanya mambo kwa kufuata mkumbo na kudhani ni fasheni. Kiasili mwili wa binadamu ni kwa ajili ya ku-sprint ma siyo Ku-jogg. Zoezi zuri ninla kutembea na ku-sprint mara moja moja.
 
You have been brainwashed to believe so, nenda kasome tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…