Wanaoibeba Tanga ni Wadigo na wabondei

Waliobakia kama Wasambaa na Wazigua ni watu washamba tu na kazi ngumu

Ni kweli wasambaa wameji define walivyo ushahidi ni babu wa asali toka bumbuli
Hao wengine ukweli ni kwamba tabia yao weka n kati ya i na g
 
Zumbe umshambaa kaibu lutindi
 
Wasambaa ndo kabila ambalo Lina wanawakee wanaongoza kwa kuolewa hawachagui mume Wala kabila Bora mtu kafata talatibu zao ata Mimi Niko mbioni kuoa msambaa wa rushoto
 
Wasambaa ndo kabila ambalo Lina wanawakee wanaongoza kwa kuolewa hawachagui mume Wala kabila Bora mtu kafata talatibu zao ata Mimi Niko mbioni kuoa msambaa wa rushoto
Mkuu una mawazo kama yangu,kile kuna vibinti vyeupe ee vina adabu na vichapakazi aswaa,nakosa tu pakuanzia ila wanawake walushoto ni wife material
 
Hivi Hawa wasambaa sindio wamepakana na wapare wa same
 
Hivi Makamba family ni kabila gani kati ya hao?
 
Nahisi ndio wenye milima tanga nzima [emoji3] ile milima ya usambaa
 
Wadigo wamechanganyikiwa maana Tanga yote ni Wasambaa 2025 madiwani wote tutachagua wasambaa ili mchanganyikiwe zaidi.Ss sio wavivu kama nyie.
 
Wadigo wamechanganyikiwa maana Tanga yote ni Wasambaa 2025 madiwani wote tutachagua wasambaa ili mchanganyikiwe zaidi.Ss sio wavivu kama nyie.

Wadigo wanawaita washamba ninyi komaeni tu mdogomdogo mmeshawashika hawana ujanja
 
Hata hata humu JF wasambaa tuko wengi na huyu mdigo mmoja tunaemlea halafu anatukashifu
 
Hivi Kuna mdigo profesa au hata daktari bingwa au hata afisa wa jeshi mwenye cheo Cha kanali?
Tangu dunia iumbwe kumesha wahi kua na waziri mdigo?
 
Mimi msambaa na napenda kazi balaa na ni sababu kwetu usambaani tumefundwa kazi tena mtu mvivu ananichoshaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…