johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Lete ukweli!Acha uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete ukweli!Acha uongo
Unamaanisha siasa na wizi umo na finally unauita sayansi. Hii sayansi ya ccm Basi ni balaa. Wizi ni sayansiSiasa ni sayansi.
Waacheni ACT wazalendo wachape kazi Zanzibar!
Mimi nimehoji tu bwashee.Nani kayatambua?
Wameyatambua wao hao
Chadema haijatambua uchaguzi wowote
Ni maajabu wewe kusema CDM wametambua matokeo wakati hawajatoa tamko lolote kukubali huo upumbavu
Mtoa ruzuku yeye ajenge hiyo ruzuku kutokana na hesabu zake kichwani mwake..hata akiamua kusema CDM haikupata kura hata moja hivyo hawana ruzuku yeyote ni sawa kivyake
We do no care mzee
Na ni kodi zetu kwani hata sisi Wanachadema tunalipa kodi.Sio kupokea bali wameingiziwa ,sasa ukiingiziwa hela utazikataa? Mimi siyakubali matoke0 na hata ukiniingizia hela nazila tu maana cha Mlevi huliwa na Mgema.
Ana stress huyo anaona wapinzani wanakula teuzi yeye anasugua matako tu hapo kwa buku saba.Badala ya kuleta ushahidi wa CHADEMA kupokea hiyo ruzuku, unataka sisi ndio tutafute ukweli ili hali wewe ndio umeleta hii habari!
Hata hivyo, hilo likitokea sitashangaa kwani niliwahi tabiri jambo kama hilo kufanywa.
Hahahaaaa...... Zitto Kabwe yuko SUK!Ana stress huyo anaona wapinzani wanakula teuzi yeye anasugua matako tu hapo kwa buku saba.
Uchaguzi mkuu ulikuwa Huru na Haki!Na ni kodi zetu kwani hata sisi Wanachadema tunalipa kodi.
Nikiangalia siasa za hovyo za wanasiasa wetu,natamani Kama wangeangalia mahojiano yaliyofsnywa na mtangazaji wa citizen,Sam,yenye title"UHURUTO MAZE"na waliokuwa viongozi wa Jubilee part,Isaac Mwaura,Aden Duale,na Kipchumba Murkomen,Nimeshuhudia humu mitandaoni makamanda wakimshambulia sana Zitto Kabwe kufuatia chama chake kujiunga na SUK huko visiwani Zanzibar.
Kigezo ni kwamba Chadema na ACT wazalendo hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu na wao wanaita "uchafuzi"
Wanachosahau makamanda wa Chadema ni kuwahoji viongozi wao kama hawajapokea ruzuku ya mwezi November kutoka serikalini.
Ikumbukwe kuwa ruzuku ni zao la kura na idadi ya wabunge na madiwani ambao chama kimepata kwenye uchaguzi mkuu.
Natumai Matola na Salary slip mtauhoji uongozi kwa niaba yetu.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema hawaheshimu akina mama by Spika Job Ndugai!
Nimeshuhudia humu mitandaoni makamanda wakimshambulia sana Zitto Kabwe kufuatia chama chake kujiunga na SUK huko visiwani Zanzibar. Kigezo ni kwamba Chadema na ACT wazalendo hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu na wao wanaita "uchafuzi" Wanachosahau makamanda wa Chadema ni kuwahoji viongozi wao kama hawajapokea ruzuku ya mwezi November kutoka serikalini. Ikumbukwe kuwa ruzuku ni zao la kura na idadi ya wabunge na madiwani ambao chama kimepata kwenye uchaguzi mkuu. Natumai Matola na Salary slip mtauhoji uongozi kwa niaba yetu. Maendeleo hayana vyama!
Zile hazikuwa ruzuku bwashee!Kamuamshe marehemu Sita au mfuate mama Samia wao ndio walikuwa maspika wa bunge la katiba, wawaulize zile pesa ambazo wabunge wa ukawa walitoka bungeni walizipeleka wapi?
Politics is"who,gets where and how"Nimeshuhudia humu mitandaoni makamanda wakimshambulia sana Zitto Kabwe kufuatia chama chake kujiunga na SUK huko visiwani Zanzibar.
Kigezo ni kwamba Chadema na ACT wazalendo hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu na wao wanaita "uchafuzi"
Wanachosahau makamanda wa Chadema ni kuwahoji viongozi wao kama hawajapokea ruzuku ya mwezi November kutoka serikalini.
Ikumbukwe kuwa ruzuku ni zao la kura na idadi ya wabunge na madiwani ambao chama kimepata kwenye uchaguzi mkuu.
Natumai Matola na Salary slip mtauhoji uongozi kwa niaba yetu.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa....... Nipe tofauti ya kushiriki SUK na Kupokea ruzuku!masikini mataga.
Hahahaaaa.........!Baniani mbaya kiatu cha dawa.
hili swali muulize mtoto wa dada ako wa darasa la 3 atakujibu kwa kukucheka sana aisee.Hahahaaaa....... Nipe tofauti ya kushiriki SUK na Kupokea ruzuku!
Kwamba hakuna tofauti....... Hahahaaaa!hili swali muulize mtoto wa dada ako wa darasa la 3 atakujibu kwa kukucheka sana aisee.