Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Narudia na nitaendelea kurudia tena, japo ni wake zetu,mama zetu,dada zetu,watoto wetu ila hawa hawa ndio wakala wa shetani hapa duniani.

Wanatuingiza kwenye matatizo na dhambi hapa duniani.

Kama unabisha,chunguza sana utakuja kuelewa.
Ni kweli 100% , usimuamini hata Mama YAKO MZAZI.
 
Uzi wenye machungu na comments zenye kububujikwa hasira kali toka kwa kaka zetu na waume zetu...kazi iendelee
 
I laugh when Men say they cannot understand women..

How can you understand something which was created when you were sleeping?
 
Kuna hadithi moja niliwahi kusimuliwa miaka ya nyuma siikumbuki vizuri ila kiini chake ni hiki;

Kijana mmoja alimuuliza babu yake mwanamke ni nani ? Babu akajibu , kuna bwana mmoja alikuwa ameoa katika kijiji fulani. Mwanamke alikuwa ana mahusiano na mwanaume mwingine yule bwana akaambiwa kuwa mkeo anaenda na mwanaume mwingine. Basi yule bwana akasema ataweka mtego, siku moja yule bwana akaambiwa kuwa mkewe ameonekana na mwanaume wanaenda kisimani. Yule bwana akaenda kisimani kufika, mwanamke akaanza kupga yowe huku analia kama alitaka kudhurika. Mumewe akamuuliza huyu nani ? Akasema huyu bwana uliyemkuta hapa ndiye msamaria kamuokoa asibakwe.

Mwisho wa babu kumsimulia mjukuu hadithi kuhusu mwanamke.
 
Kuna hadithi moja niliwahi kusimuliwa miaka ya nyuma siikumbuki vizuri ila kiini chake ni hiki;

Kijana mmoja alimuuliza babu yake mwanamke ni nani ? Babu akajibu , kuna bwana mmoja alikuwa ameoa katika kijiji fulani. Mwanamke alikuwa ana mahusiano na mwanaume mwingine yule bwana akaambiwa kuwa mkeo anaenda na mwanaume mwingine. Basi yule bwana akasema ataweka mtego, siku moja yule bwana akaambiwa kuwa mkewe ameonekana na mwanaume wanaenda kisimani. Yule bwana akaenda kisimani kufika, mwanamke akaanza kupga yowe huku analia kama alitaka kudhurika. Mumewe akamuuliza huyu nani ? Akasema huyu bwana uliyemkuta hapa ndiye msamaria kamuokoa asibakwe.

Mwisho wa babu kumsimulia mjukuu hadithi kuhusu mwanamke.
Noma Sana[emoji23]
 
Kuna hadithi moja niliwahi kusimuliwa miaka ya nyuma siikumbuki vizuri ila kiini chake ni hiki;

Kijana mmoja alimuuliza babu yake mwanamke ni nani ? Babu akajibu , kuna bwana mmoja alikuwa ameoa katika kijiji fulani. Mwanamke alikuwa ana mahusiano na mwanaume mwingine yule bwana akaambiwa kuwa mkeo anaenda na mwanaume mwingine. Basi yule bwana akasema ataweka mtego, siku moja yule bwana akaambiwa kuwa mkewe ameonekana na mwanaume wanaenda kisimani. Yule bwana akaenda kisimani kufika, mwanamke akaanza kupga yowe huku analia kama alitaka kudhurika. Mumewe akamuuliza huyu nani ? Akasema huyu bwana uliyemkuta hapa ndiye msamaria kamuokoa asibakwe.

Mwisho wa babu kumsimulia mjukuu hadithi kuhusu mwanamke.
Mwanamke ana mbinu 1000 katumie 13 tu
 
Yani wanachosha wakat wao ndo waharibifu wakubwa
nani analawiti watoto?
Nani anaongoza Kwa kutoka nje ya ndoa?
Nani huwa wanalawit wanaume wenzao?
Nani analawiti wanawake?
Nani anakuza biashara ya ukahaba Kwa kuwa wanunuaji mahiri?
Walichotuzidi ni uhodari wa kulalamika na kuona wanaonewa watupumzishe kwanza
Haya lete papa nichakate
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
Babu yangu alitania...

"Ukimuona mwanamume anamuongelea sana mkewe(sifa zake ,mambo yake mazuri, watoto wake) mbele za wanaume wenzake ujue huyo ZOBA(yaani beta male)[emoji1787][emoji1787]

#EverydayIsALearningDay
 
Wanasema....mpaka ukimjua mkeo ana mchepuko(Malaya) basi ujue "ameoza kitabia" na kila anayekuzunguka,umuonaye anazijua tabia zake [emoji1787][emoji1787]
 
Sio TU mwanamke. Isipokuwa ni binadamu yoyote ni vigumu kumtabiri. Mimi siku nikichepuka basi hiyo ndio siku ambayo nikirudi nyumbani ni lazima nimpande, Tena kumpanda Kule Kwa kukera Ili asiwaze chochote. Same to them siku akiliwa ndio siku atakayokuonyesha kuwa na minyege.
[emoji106][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna workmate anajifanyaga anajua sana kum-handle mkewe, kutwa anashauri wengine wafanye kama yeye! But Kila nikimwangalia mkewe naona.....there is inside spark othat needs to be boosted...kizuri ni kwamba anaishi na watakatifu wengi!.....ndio salama yake ngosha. Pengine Angelia kama wengine na angeacha kukosoa wengine.
Lofa huyo...[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom