Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa 😅😅😅😅
 
Wanawake na wanaume wote ni wa ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume

Unatongoza mke wa mtu hadi unampa mimba nani ni muharibifu? Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili.
kuna kitu ambacho mwenye akili anaweza gundua dunia imebadilika c wajibu wa mwanamke tu kuwa muaminifu bali sote malalamiko mengi ya sisi wanaume yanakuwa ni hadithi za upande mmoja
Ila wazee Mimi mwenyewe huwa nadatishwa na tabia za wanawake so nimekaa kama mtazamaji kozi hii in vita ya watu wanaopelekwa kwa akili zao dhid ya wale wenye hisia za mioyo sasa hawa watu wanatakiwa waishi pamoja utasema nn pale mwenye akili anapoamini mawazo ya akili yake ni sahihi wakati huo huo yule mwenye hisia anatumia hisia zake hapa
 
Usiwaze na wala jamaa hajanikataa,tulipotezana tu after high school,tumekuja kuonana Tena akiwa kashaoa na mie Nina family tayari,so hanitumii,tunatumiana whenever necessary 🤣🏃 na siyo sex tu hata ishu nyingine za maisha tunasaidizana🙏🙏🙏
Sawa no problem.
 
😂😂😂😂Unajua Kuna malipo ajiulize yeye hajawahi kula mke wa mtu kweli 😀sema huenda kazidiwa mkew kapewa na mimba 😂😂
Lakini hawa watu ni walalamishi sana jamani tatizo anaecheka si tatizo ila namalizia kicheko ndio anaonekana nacheka sana, nasema mwanamke bila kuvurugwa si rahisi kuvuruga japo si wote lakini wengi wao anachokozwa baadae naona aah kama mbwai mbwai tu... qanaume pia wajitafakari.
 
Hahaha! Mi naona thamani ya mwanamke ni kunizalia watoto tu mengine sioni cha maana. Ni wenzetu lakini ni watu wenye njama za ajabu ajabu sana.

Nb: usitambe mbele ya jamii eti wewe una mke bora ( inawezekana watu wote wanajua mkeo ni malaya kasoro wewe tu ndiyo hujui, utachekwa)
Hata hapo kwenye kukuzalia watoto bado unaweza kupigwa kanyaboya......kwa hiyo ni majaliwa ya Mola tu.
 
Kama mwanamke si malaya kwa asili, hatma yake kimapenzi ipo mikononi mwa mumewe! Hawa ni viumbe ambao hata Mungu alituagiza tuishi nao kwa akili tu!

Narudia kama si malaya na akatoka nje ya ndoa tatizo linaanzia kwa mumewe kubali kataa! Pesa pekee haisaidii, kuwa fundi kitandani pekee haisaidii, kuwa navyo vyote pesa na fundi kitandani haisaidii! Akili tu!

Mfano mdogo unavyo vyote lakini mkeo kaokoka ni mtu wa watumishi huku wewe mlevi na bata, utashangaa siku hao hao watumishi wakipita nae sababu tu ya imani. Kwa ufupi una mke anapenda dini, kuwa baba yake kiroho, jua dini vizuri hadi appreciate na muongoze kule unakoamini sio anakoamini yeye.

Pesa, ufundi kitandani n.k ni muhimu lakini kuwa kiongozi, kuwa na majibu kwenye maswali/changamoto zake ( ikiwemo imani, kazi n.k) ni muhimu zaidi! Lazima awe na imani kama watoto wanavyoamini kuwa baba yupo hakuna kinachoweza kuharibika.

Sasa wanawake wengine kutoka nje ya ndoa ni tabia! Hata umpe nini akiona vitu vinavyompa ukichaa lazima achojoe! Hii huwezi kufanya lolote hadi akubwe na balaa ndio atapona.


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hao wote waliowataja ni wanaume tofauti na yumkini hata yeye kwa upande wa sifa zote za mke hana ila tu kama binadamu tunapaswa kuvumiliana na kubebeana mizigo. Akimpata mchannga Mungu atasema si fundi kitandani, akimpata fundi kitandani atakuwa hana hela, akiwa na hela atakuwa si romantic. Hiyo ndo hulka ya mwanadamu Hawa alikosa nini bustanini ili hali alimilikishwa kila kitu ispokuwa tu mti wa kujua mema na mabaya??/
 
Asilimia tisini wanawake sisi ndio tunawafanya wasieleweke kwa sababu wao wanatufuata sisi ,mara Leo tunapenda wenye tako na wao wanaishi humohumo ,mara Leo weupe na wao humo humo, ukiona mwanamke anachepuka tambua amesababisha mwanaume either mchepuko wake au mume wake , sio kwamba wanawake hawaeleweki ni sisi wanaume ndio hatuelewek ndio maana tunawayumbisha na wao , na mbaya zaadi wale tusioweza kuwayumbisha tunawaita feminist [emoji1787]
 
utasikia oooooh mimi hata nikiolewa sitaki tuachane, mara ooooh promise me nikiolewa hutaniacha, mara nataka nizae tu na wewe mtoto kama kumbukumbu...nk nk.

hayo ni maneno ya watoto wakike, sidhani kama kuna mwanaume anaongeage haya kwa mtoto wa kike.

Binafsi naamini Mwanamke ameumbwa kupenda na kuubwaga moyo na hiyo ni nature yake huwezi kuibadirisha, Mwanamme huwa anatamani nayo ni nature yake, ila mwanamume habwagi moyo..

Mwanamke akianza kuchepuka na kupenda huko alikochepuka lolote linaweza kutokea, Ni hatari zaidi kwa Mwanamke kuchepuka kuliko Mwanamume..
Mwanaume kuchepuka au kuwa na wake zaidi ya mmoja ni asili yake, ndo maana kuchepuka linakuwa tukio kubwa na la kushangaza kwa mwanamke kuliko mwanaume na hata madhara yatakayotokea endapo mwanamke atabainika kuchepuka ni makubwa zaidi kuliko akichepuka mwanaume.
 
Yaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Kiweke mkuu tujifunze

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni mimi atakuta talaka na mabegi yake mlangoni siwezi kuishi na mwanamke msaloti mimi huyo hana haki hata ya kutembelewa huko hospital inabidi utuambie kitakachoendelea
 
Mwanaume kuchepuka au kuwa na wake zaidi ya mmoja ni asili yake, ndo maana kuchepuka linakuwa tukio kubwa na la kushangaza kwa mwanamke kuliko mwanaume na hata madhara yatakayotokea endapo mwanamke atabainika kuchepuka ni makubwa zaidi kuliko akichepuka mwanaume.
Mwambie huyo jamaa
 
Asilimia tisini wanawake sisi ndio tunawafanya wasieleweke kwa sababu wao wanatufuata sisi ,mara Leo tunapenda wenye tako na wao wanaishi humohumo ,mara Leo weupe na wao humo humo, ukiona mwanamke anachepuka tambua amesababisha mwanaume either mchepuko wake au mume wake , sio kwamba wanawake hawaeleweki ni sisi wanaume ndio hatuelewek ndio maana tunawayumbisha na wao , na mbaya zaadi wale tusioweza kuwayumbisha tunawaita feminist [emoji1787]
Mwanaume kuchepuka ni nature, umewahi kujiuliza kwa nini mwanamke anatoa yai moja kwa mwezi ili hali mwanaume bao moja lina mbegu si chini ya milion 15 mpaka milion 200kutegemeana na afya ya mhusika. Mwanaume kwa maisha yake yote huweza kutoa mbegu 525 billion ili hali mwanamke hutoa mayai milion mbili tu. Unafikiri ni kwa nini iwe hivyo? nature inatutaka wanaume kumiliki jike zaidi ya mmoja. Mpaka sasa dunia inakadiliwa kuwa na watu bilion 8. Hivyo game ya siku moja ikiwa atapiga vitatu tayari amemaliza wanawake wa dunia nzima. Hahhahaaaaa ndo maana waislam wakaweka angalau wanne ili tuwapunguze. Na mkisema hii mambo ibaki kwa wenye ndoa kuna wanawake watakufa bila kuonja dushe.
 
Mwanaume kuchepuka ni nature, umewahi kujiuliza kwa nini mwanamke anatoa yai moja kwa mwezi ili hali mwanaume bao moja lina mbegu si chini ya milion 15 mpaka milion 200kutegemeana na afya ya mhusika. Mwanaume kwa maisha yake yote huweza kutoa mbegu 525 billion ili hali mwanamke hutoa mayai milion mbili tu. Unafikiri ni kwa nini iwe hivyo? nature inatutaka wanaume kumiliki jike zaidi ya mmoja. Mpaka sasa dunia inakadiliwa kuwa na watu bilion 8. Hivyo game ya siku moja ikiwa atapiga vitatu tayari amemaliza wanawake wa dunia nzima. Hahhahaaaaa ndo maana waislam wakaweka angalau wanne ili tuwapunguze. Na mkisema hii mambo ibaki kwa wenye ndoa kuna wanawake watakufa bila kuonja dushe.
Mbegu million 15 ni kwa dhumuni la kuzaliana mkuu , hyo nature unayosema ndio imebalance sasa hakuna mtu wenye watoto 500 ili kuendana na mahitaji.
 
Hahahaaa!
Ndo maana sitaki na wala sijawahi kamwe kuumiza mbongo yangu juu ya mwanamke...!

Nikiwa kama kidume niliyekamilika na namudu kumuhudumia mwanamke, ilinilazimu kuoa na kuishi na hawa viumbe kwa maana ya kujenga familia na kubalance mahusiano...!

Tuishi nao tu watulelee wanetu make nasi tulizaliwa tukalelewa na wazazizi wote ila ukitaka amani itamalaki kwenye mji wako, always don't take it personal. Mlikutana ukubwani tu, usijifanye kama umemfinyanga wewe yule ni kiumbe mwenye akili na utashi wake. Ana uwezo wa kuenenda na njia impasayo mwenyewe.
 
Hahaha! Mi naona thamani ya mwanamke ni kunizalia watoto tu mengine sioni cha maana. Ni wenzetu lakini ni watu wenye njama za ajabu ajabu sana.

Nb: usitambe mbele ya jamii eti wewe una mke bora ( inawezekana watu wote wanajua mkeo ni malaya kasoro wewe tu ndiyo hujui, utachekwa)
Unajua sio tu mwanmke haieleweki.. Wanadamu wote hawaeleweki.. Yaani mme au ke... Hata mwanmke asijidai mume wangu mwaminifu... Yaani kama sifa jipe mwenyewe maana unajijua... Tukumbuke hatufanani ndio maana hata finger print inaonyesha wazi kwamba kila mtu ni tofauti... Hata mkiwa pacha... Kwa hiyo tusiwalaumu tu wanawake... Maana unaweza jiuliza hilo dume Lililompa mimba mke wa mtu Hana mke kweli? Ha kuogopa kufanya jambo hilo kwa mke wa mwenzie? Binadamu wote ni complex being... Tusiaminiane tu😁😁😁
 
Back
Top Bottom