Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Mwanamke analaumiwa sababu bila yeye kuruhusu hilo tukio mwanaume hawezi fanikisha. Kwani hakuna mwanaume anabaka mke wa mtu!
Yeye ndo mwezeshaji, alafu mwanaume anatongoza lkn mwanamke hutongozwa.,PIN na codes zote anazo yeye
 
Rel

Relax 🤔 Kama umeoa afu uka.t.mbewa that's your problem 🙏 stress zako usizihamishie kwa watu usowajua mitandaoni🤣🤣🤣 don't quote me please,am done with you,seems you have marital problems 🤣🏃
No sina marital problems hata moja.
Nimeweka malengo mbele kuliko papuchi ila nakuwaga bored tu na vitu hivi, naonaga washkaji wanalalamika sana kumbe chanzo ni mmekataa kumove on.
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
Mwanamke ni mbinafsi kuliko Mwanaume.
 
Yaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Weka hiko kisa tujifunze asee,,,madhara ndio mafunzo yenyewe sasa,,hakuna madhara yanayokosa funzoo/mafunzo ndani yake
 
hahahaha, Mke wa mtu huko barabarani ana alama gani?.... Mwenye mamlaka ya kusema Ndio au hapana ni mwanamke mwenye Shimo, either aligawe au abaki nalo.
Alama anayo maana Huwa wanasema ila wanaume tunalazimisha
 
Nampongeza mwanamke mwenzangu kwa KUNIWAKILISHA VYEMA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmezoea mnafanyaga nyie tu tukifanya sie mnakuja kulilia huku[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
 
Yaani siku hizi wako na gubu hata shetani anaogopa. Isitokee mwanamke kafanya jambo tu, baaasi watalishikia bangooo hatari wakati wana matukio hayaelezeki 🙆🙆🙆

Ila hii kampeni ya kumchafua mwanamke sii bure, kuna kitu nyuma yake.

Basi oaneni wenyewe mridhike.
Tukioana wenye bado napo mnalalamika🤣🤣🤣
 
Kama mwanamke si malaya kwa asili, hatma yake kimapenzi ipo mikononi mwa mumewe! Hawa ni viumbe ambao hata Mungu alituagiza tuishi nao kwa akili tu!

Narudia kama si malaya na akatoka nje ya ndoa tatizo linaanzia kwa mumewe kubali kataa! Pesa pekee haisaidii, kuwa fundi kitandani pekee haisaidii, kuwa navyo vyote pesa na fundi kitandani haisaidii! Akili tu!

Mfano mdogo unavyo vyote lakini mkeo kaokoka ni mtu wa watumishi huku wewe mlevi na bata, utashangaa siku hao hao watumishi wakipita nae sababu tu ya imani. Kwa ufupi una mke anapenda dini, kuwa baba yake kiroho, jua dini vizuri hadi appreciate na muongoze kule unakoamini sio anakoamini yeye.

Pesa, ufundi kitandani n.k ni muhimu lakini kuwa kiongozi, kuwa na majibu kwenye maswali/changamoto zake ( ikiwemo imani, kazi n.k) ni muhimu zaidi! Lazima awe na imani kama watoto wanavyoamini kuwa baba yupo hakuna kinachoweza kuharibika.

Sasa wanawake wengine kutoka nje ya ndoa ni tabia! Hata umpe nini akiona vitu vinavyompa ukichaa lazima achojoe! Hii huwezi kufanya lolote hadi akubwe na balaa ndio atapona.


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Hamna sijawa upset sema nimefikiria , kwanza are you married or?
Maana nawaza mtu atakayejilengesha kwako na umekataa kumsahau mtu wako ambaye ashaoa.
It's time to protect your dignity, sio utumike tu na mtu ambaye ashakukataa kukuoa but still unampa k. Ni mawazo yangu, you can take it or ignore it.
Usiwaze na wala jamaa hajanikataa,tulipotezana tu after high school,tumekuja kuonana Tena akiwa kashaoa na mie Nina family tayari,so hanitumii,tunatumiana whenever necessary 🤣🏃 na siyo sex tu hata ishu nyingine za maisha tunasaidizana🙏🙏🙏
 
Nampongeza mwanamke mwenzangu kwa KUNIWAKILISHA VYEMA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmezoea mnafanyaga nyie tu tukifanya sie mnakuja kulilia huku[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Hahahah so ngoma droo?🤣
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa

Kumjua mwanamke kupindukia lengo linakuwa ni nini?
 
Yaani siku hizi wako na gubu hata shetani anaogopa. Isitokee mwanamke kafanya jambo tu, baaasi watalishikia bangooo hatari wakati wana matukio hayaelezeki [emoji134][emoji134][emoji134]

Ila hii kampeni ya kumchafua mwanamke sii bure, kuna kitu nyuma yake.

Basi oaneni wenyewe mridhike.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani eti wanaume wanajiona watakatifu jamani! Aliyefanya huo ujinga na mwanaume yumo.
 
utasikia oooooh mimi hata nikiolewa sitaki tuachane, mara ooooh promise me nikiolewa hutaniacha, mara nataka nizae tu na wewe mtoto kama kumbukumbu...nk nk.

hayo ni maneno ya watoto wakike, sidhani kama kuna mwanaume anaongeage haya kwa mtoto wa kike.

Binafsi naamini Mwanamke ameumbwa kupenda na kuubwaga moyo na hiyo ni nature yake huwezi kuibadirisha, Mwanamme huwa anatamani nayo ni nature yake, ila mwanamume habwagi moyo..

Mwanamke akianza kuchepuka na kupenda huko alikochepuka lolote linaweza kutokea, Ni hatari zaidi kwa Mwanamke kuchepuka kuliko Mwanamume..
 
Back
Top Bottom