Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Kuchapiwa si kitu cha kawaida, usiruhusu ubongo wako kukubali huu ujinga.

Ndoa za kikristo ni ngumu kutowa talaka lakini kwa kosa la uzinzi Mkristo ameruhusiwa na Biblia kutowa talaka, na mwanaume yeyote atakayemuowa mwanamke huyo basi anazini.

Hana tofauti na anayechukuwa Malaya corner bar au wavuvi camp.
Bora uujenge ubongo wako kuelewa hivyo siku itakusaidia ukigongewa, husije kufanya maamuzi ya ajabu na ukaishangaza dunia ndio points yangu,lkn ukisema eti akilini mwako na kwa kujiamini ukasena eti "mimi siwezi gongewa.........",siku ya siku lazima utadata au utafanya maamuzi ya ajabu.

Hivi vitu siku hizi vimekuwa vingi sana na huwezi kumchunga mtu mzima kwani hujamkuta bikra so wewe jiandae tu kisaikolojia. Mimi nawakubaligi wale wanao gongewa ambao wanamove on bila kusababisha madhara yoyote na kama kuna mali wanagawana maisha yana endelea,ukimwona mtu anafanya maamuzi kama hayo jua alishaiandaa akili yake vizuri kuhusu tukio la kugongewa.
 
Mwanamke anatongozwa habakwi, mwenye hiari ya kukubali au kukataa ni yeye. sasa anajua ni mke wa mtu na akatongozwa akakubali nakuanza kuliwa mpaka mimba, tunaanzaje hapa kulauma mwanaume?, Inawezekana hata huyo mwanaume hajui kama huyo Ke ni mke wa mtu.
Ili Hilo jambo lisiwezekane wa kwanza anatakiwa kuwa mwanaume asitongoze Mke wa mtu au kuwe na Sheria Kali za Kulinda ndoa na adhabu Kwa wahusika ila Kwa uhuru ulivyo ni kubinjuana tuu,kwani wewe ulimkuta bikira?
 
Yaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Unabadili mahali pa tukio na majina ya wahusika... Mfano, kama ilikuwa Dar, waweza sema Mtwara, etc
 
Unaona sasa utetezi wao
Utetezi upi.
Wanaume wa sasa ni kama hamna malezi ya kiume yani hamna maneno ya kiume.
Mwanaume na akili zake timamu hawezi kuja kuongea ongea hapa kuhusu mwanamke.

Wanawake ni wavumilivu sana ukiona amefikia maamuzi ya kufanya chchte kwa ajili ya furaha yake ilopotea basi hujue amepitia mengi sana.

Alaf kingine ww mtoa mada OKW BOBAN SUNZU huyo rfk ako aejifaraghua alikwambia yeye alikua akimtreat vip mke wake.
Msipende lawama wanawake wabaya mnawatengeneza wenyewe hawatengenezwi
 
Wanaume ndio wanaongoza kwa michepuko.
 
H
napewa mimba na mchepuko anaitoa na bado unamhudumia hospital?? Huo ni uzuzu
Hapana,unaitwa uungwana,baada ya hapo akikaa sawa talaka kwa sisi waislam,wale ambao ndoa zimeunganishwa na mungu hivyo hawapaswi kuzivunja basi wanaendelea na ndoa zao
 
😅😅 Sisi wenyewe wanawake hatujijui vizuri,sasa huyo anayejiona anatujua nje ndani,arudi darasani 😅😅btw huyo mwanamke anampenda mchepuko kuliko mumewe😅 funny enough,bt iko hivo hata mie Kuna boyfriend wangu wa high school nampenda till today,sema alishaoa🙅
Kupenda ni ujinga
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
Pole sana mkuu. Vumilia tu!
 
Hizi zote changamoto za kawaida tu sioni geni kwenye hili,,,

Mi mwaka huu nahtaji chombo moja inayojielewa niweke ndani,,,

1.Mkristu
2.Age 18-28
3.form4- university
4.awe na kazi ama hana fresh tu japo akiwa nesi au Mwalimu itafaa sana.
 
😅😅 Sisi wenyewe wanawake hatujijui vizuri,sasa huyo anayejiona anatujua nje ndani,arudi darasani 😅😅btw huyo mwanamke anampenda mchepuko kuliko mumewe😅 funny enough,bt iko hivo hata mie Kuna boyfriend wangu wa high school nampenda till today,sema alishaoa🙅
Atakayekuoa ana kazi.
Ila Mungu ni Mungu utashangaa huolewi na mcha Mungu ila utaolewa na WA kufanana naye ambaye hakuwa na option nyingine.
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa

Huwezi ukaishi Kwa Akili na kitu au na MTU usiyemjua wala kumuelewa.

Unapomzungumzia Akili unazungumzia ufahamu, Uelewa, utambuzi, kumbukumbu, maarifa, ujuzi, kuchambua na kuchanganua.

Kitendo cha kushindwa kumjua au kumuelewa Mwanamke unayeishi naye kinamaanisha huna Akili ya kuishi naye, yaani huwezi kuishi naye.

Mapungufu ya Wanawake hasa ya kitabia kama kutokuwa waaminifu au kuwa Wanafiki, ni mapungufu ambayo hata wanaume wengi tunayo.
Ungemuuliza huyo Rafiki yako yeye hachepuki?
Au Kwa vile Sisi wanaume hatubebi mimba?
Mwanamke kuchepuka haimfanyi yeye awe kiumbe kisichoeleweka.

Kosa kubwa Watu wengi wanalolifanya ni kum-term Mwanamke as if sio binadamu kama tulivyo Sisi Wanaume.

MWANAMKE ni binadamu kama alivyomwanaume, anatamaa ya mwili, naye anatamani wanaume wengine zaidi ya Mume aliyemuoa kama ilivyo Sisi Wanaume tunavyotamani Wanawake.
Stara na aibu ya Mwanamke kujifanya ni wastaarabu Hali inayowafanya Wanawake kuwa pretenders ndio kunawachanganya Watu wengi na kudhani wao hawapo kama Sisi. 😂😂

Jinsi unavyojiona mwanaume ulivyo ndivyo hivyohivyo Mwanamke alivyo, tofauti iliyopo haizidi 10%
 
Ili Hilo jambo lisiwezekane wa kwanza anatakiwa kuwa mwanaume asitongoze Mke wa mtu au kuwe na Sheria Kali za Kulinda ndoa na adhabu Kwa wahusika ila Kwa uhuru ulivyo ni kubinjuana tuu,kwani wewe ulimkuta bikira?

hahahaha, Mke wa mtu huko barabarani ana alama gani?.... Mwenye mamlaka ya kusema Ndio au hapana ni mwanamke mwenye Shimo, either aligawe au abaki nalo.
 
Back
Top Bottom