Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

[emoji1787][emoji1787]
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano[emoji446][emoji441][emoji441][emoji441][emoji441]
Kwani kuongea maovu ya wanawake+wanaume ndio kukataa ndoa?!!!! [emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787]
 
Wanawake na wanaume wote ni wa ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume

Unatongoza mke wa mtu hadi unampa mimba nani ni muharibifu? Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili.
Sasa wewe mke wa mtu mwenye kiapo mbele za Mungu ukichepuka 75% ya makosa ni yako....mwanamke ni mlinzi na msiri...unauzaje Siri za kambi?!!! Askari gani aliyeko lindo yuko hivyo?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanamke sio kiumbe cha kuaminika (baadhi) lakini sio wote,waaminifu na wenye utii, ucha mungu, ukweli, ni 2/100.
 
Huo UPUMBAVU ndiyo tulionao siku hizi Me kwa kuiga iga mila zisizo zetu za kupitia tamthilia za Wafilipino.

Maisha ni wewe mwenyewe na kupanga ni kuchagua.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wale wafilipino waliberali?!!!
Mimi nimepiga marufuku kwangu....mwendo ni OTTOMAN tu [emoji1787][emoji1787]
 
Ukiwatoa watoto(wanaowafanya ni wachache)...

Wasingekuwepo hao wanaolawitiwa kwa hiyari/makahaba hiyo michezo michafu ISINGEKUWEPO......[emoji1787][emoji1787]
 
Inasemwa "ametokea ubavu wa kushoto"....

Hebu chukua jiwe urushe na mkono wa kushoto uone litakwenda umbali gani kufananisha na la mkono wa kulia[emoji1787]

Basi ujue ukiweza kurusha mbali kwa mkono wa kushoto(ujue mko wachache) na hivyohivyo wanawake WEMA na WAELEWA ni wachache sana [emoji1787][emoji1787]
 
Wanawake ndio watu wabaya sana, yani unampa mmeo na kondom alafu mchepuko kavu duh inasikitisha sana.
Kipindi anatongozwa kwa nini asiseme mimi ni mke wa mtu sitaki, singizia basi unaukimwi[emoji23][emoji23]
Kama hakuogopa mimba ataogopa UKIMWI?!!! [emoji1787][emoji1787]

Wengi wanaogopa mimba zaidi ya HIV.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua Kuna malipo ajiulize yeye hajawahi kula mke wa mtu kweli [emoji3]sema huenda kazidiwa mkew kapewa na mimba [emoji23][emoji23]
".....na mtu alalaye na mwanamke nje ya ndoa hana akili...."

#YetzerHatov[emoji120]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usipaniki dada...sasa wakioana wenyewe si ndio ANGAMIZO la Sodoma....kwani kuna mtu amesema mwanamke hana maana na thamani duniani?!!!

Bila ya mwanamke na mwanaume tutazalianaje sasa?!!! [emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani ufanye kazi kwa nguvu....
Yaani uipe familia maisha CLASS...
Yaani ucheze na watoto.....

Halafu upige "mechi za kibaharia" kila panapokuwa na "mechi"?!!! [emoji1787][emoji1787]Aaaaa blaza uongooo huo [emoji1787]
 
Jamaa yangu ameniita juzi na kunieleza haya yafuatayo.....

Japo naye ana makosa kwa hatua aliyochukua ila hebu fuatilia haya niyajuayo.......

Alikuwa na ugomvi na mke yapata miaka 2 iliyopita...hawakuweza kusuluhishwa na wazazi+ viongozi wa dini...jamaa akaamua amrudishe kwao lakini akienda kumpa matumizi ya chakula na vitu vidogovidogo....alibaki nyumbani na watoto 3(miaka 12,7,5) pamoja na housegirl.....aliendelea kuichakata mbususu siku mojamoja lakini si kwake.....aliacha kuichakata mbususu yapata mwaka 1 uliopita baada ya bibiye kuendeleza matukio ya "kugawa" hukohuko kwao [emoji1787][emoji1787]

Sasa kisa cha kulitoa la moyoni ni kuwa bibie ni mjamzito wa miezi saba na mwamba aliacha kuisigina mbususu yapata mwaka na kidogo [emoji1787][emoji1787]
Mwamba anatia huruma kwa kweli......
 
Kumbe shida ni nyie kuwa busy na maisha kwaiyo kutenga muda hata weekend na mkeo hamna Sasa mnatarajia Nini alafu mnalalamika
Banaa weeee siku 6 tuko bize kulala mida ya wanga kuamka majogoo unadhani hiyo siku moja ya kupumzika+kucheza na watoto+ kazi za bustani(hobby kwetu wengine) ,asubuhi kufanya mazoezi ,kwenda kunywa kahawa+other men's talk,kurudi kwenu kuchat nanyi...halafu tuichakate mbususu ukweli wa kuichakata mpaka mridhike na msitake michepuko(mabaharia) halafu majogoo ya siku inayofuata tuamkie katika "cycle" ya kila wiki?!!! Mmmmh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha tupate pa kupumulia humu....mmmh hii dunia hii....wacha tu tuendelee kuwahudumia ninyi na kuwatafutia maisha bora vitoto vyetu.....
 
Omba yasikukute tuu, wakati mwingine divorce, kuendelea naye au kutoa kipigo sio solution
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…