Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Mke anapewa mimba na mchepuko anaitwa na bado unamhudumia hospital?? Huo ni uzuzu
Huo UPUMBAVU ndiyo tulionao siku hizi Me kwa kuiga iga mila zisizo zetu kupitia tamthilia za Wafilipino.

Maisha ni wewe mwenyewe na kupanga ni kuchagua.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo matata ta wa amapiano🎹🎤🎤🎤🎤
Yani wanachosha wakat wao ndo waharibifu wakubwa
nani analawiti watoto?
Nani anaongoza Kwa kutoka nje ya ndoa?
Nani huwa wanalawit wanaume wenzao?
Nani analawiti wanawake?
Nani anakuza biashara ya ukahaba Kwa kuwa wanunuaji mahiri?
Walichotuzidi ni uhodari wa kulalamika na kuona wanaonewa watupumzishe kwanza
 
Wanawake na wanaume wote ni WA ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume

Unatongoza mke wa mtu had unampa mimba nani ni muharibifu?
Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili
Sio wote ni wewe na wao.
 
Yaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Ole wako ufichue siri za Mke wangu alichonifanyia nitakuchakaza nimekaa pale [emoji117][emoji144]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano[emoji446][emoji441][emoji441][emoji441][emoji441]
Wameshtuka sasa hivi hawaweweseki baada ya kuwasema kuwa sera yao kuu ni USHOGA

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendeleq kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
Mwanamke ni kama tyre linazunguka mbele na nyuma
 
Nawakumbusha mwanamke alitoka kwenye mwili wa mwanaume, sasa Mungu alimpa usingizi mwanaume akalala fofofo ndio baadae akafanya uumbaji wa mwanamke, kwahiyo mwanamke akakamilika akiwa ameona kila kitu pale ndio mwanaume akaamshwa akakuta kuna mtu pembeni, sasa pale jamaa alipokua amelala hauwezi kujua yule mwanamke alipanga nini muda ule ili kujinufaisha kwanza ndio mambo yalianzia hapo
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendeleq kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
Mwanamke ni unpredictable ishi nae kama paka tuu , anazunguka weee anarudi home , huna cha kumfanya mwanamke atulie milele, atatulia mwaka mmoja , mwaka mwingine anaanza kukuru kakara
 
Wanawake na wanaume wote ni WA ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume

Unatongoza mke wa mtu had unampa mimba nani ni muharibifu?
Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili
Wanawake ndio watu wabaya sana, yani unampa mmeo na kondom alafu mchepuko kavu duh inasikitisha sana.
Kipindi anatongozwa kwa nini asiseme mimi ni mke wa mtu sitaki, singizia basi unaukimwi[emoji23][emoji23]
 
Wanawake ndio watu wabaya sana, yani unampa mmeo na kondom alafu mchepuko kavu duh inasikitisha sana.
Kipindi anatongozwa kwa nini asiseme mimi ni mke wa mtu sitaki, singizia basi unaukimwi[emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Unajua Kuna malipo ajiulize yeye hajawahi kula mke wa mtu kweli 😀sema huenda kazidiwa mkew kapewa na mimba 😂😂
 
Yani wanachosha wakat wao ndo waharibifu wakubwa
nani analawiti watoto?
Nani anaongoza Kwa kutoka nje ya ndoa?
Nani huwa wanalawit wanaume wenzao?
Nani analawiti wanawake?
Nani anakuza biashara ya ukahaba Kwa kuwa wanunuaji mahiri?
Walichotuzidi ni uhodari wa kulalamika na kuona wanaonewa watupumzishe kwanza
Miaka mitano sijachepuka, nilikutana na Me mwingine aliyenizidi rekodi mbali sana "23yrs" bila ya kuchepuka, Me bora tupo.

Ke unawajibikaje katika ndoa yako ili Me asichepuke?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yani wanachosha wakat wao ndo waharibifu wakubwa
nani analawiti watoto?
Nani anaongoza Kwa kutoka nje ya ndoa?
Nani huwa wanalawit wanaume wenzao?
Nani analawiti wanawake?
Nani anakuza biashara ya ukahaba Kwa kuwa wanunuaji mahiri?
Walichotuzidi ni uhodari wa kulalamika na kuona wanaonewa watupumzishe kwanza
Yaani siku hizi wako na gubu hata shetani anaogopa. Isitokee mwanamke kafanya jambo tu, baaasi watalishikia bangooo hatari wakati wana matukio hayaelezeki 🙆🙆🙆

Ila hii kampeni ya kumchafua mwanamke sii bure, kuna kitu nyuma yake.

Basi oaneni wenyewe mridhike.
 
Narudia na nitaendelea kurudia tena, japo ni wake zetu,mama zetu,dada zetu,watoto wetu ila hawa hawa ndio wakala wa shetani hapa duniani.

Wanatuingiza kwenye matatizo na dhambi hapa duniani.

Kama unabisha,chunguza sana utakuja kuelewa.
Kiumbe kilichoonana ana kwa ana na shetani wakaongea yao sio mchezo.
 
Yaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
We kilete ntakutumia 2000 ya vocha

I promise nataka moyo wangu uumie vilivyo

Ili niwe na courage ya kukataa ndoa vizuri 😁
 
Back
Top Bottom