Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Yani wanachosha wakat wao ndo waharibifu wakubwa
nani analawiti watoto?
Nani anaongoza Kwa kutoka nje ya ndoa?
Nani huwa wanalawit wanaume wenzao?
Nani analawiti wanawake?
Nani anakuza biashara ya ukahaba Kwa kuwa wanunuaji mahiri?
Walichotuzidi ni uhodari wa kulalamika na kuona wanaonewa watupumzishe kwanza
Umeng'aka

Mahusiano ni fumbo full stop
 
Sio TU mwanamke. Isipokuwa ni binadamu yoyote ni vigumu kumtabiri. Mimi siku nikichepuka basi hiyo ndio siku ambayo nikirudi nyumbani ni lazima nimpande, Tena kumpanda Kule Kwa kukera Ili asiwaze chochote. Same to them siku akiliwa ndio siku atakayokuonyesha kuwa na minyege.
Foolish, hujaelewa vizuri
 
Nawakumbusha mwanamke alitoka kwenye mwili wa mwanaume, sasa Mungu alimpa usingizi mwanaume akalala fofofo ndio baadae akafanya uumbaji wa mwanamke, kwahiyo mwanamke akakamilika akiwa ameona kila kitu pale ndio mwanaume akaamshwa akakuta kuna mtu pembeni, sasa pale jamaa alipokua amelala hauwezi kujua yule mwanamke alipanga nini muda ule ili kujinufaisha kwanza ndio mambo yalianzia hapo
Nakukumbusha pia kuwa Ke ni kambavu kamoja tu tokana na Me.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Angalia hapa:
Adamu aliponzwa na mwanamke
Samson aliponzwa na mwanamke
Rutu aliponzwa na mwanamke
Mfalme suleiman aliponzwa na mwanamke
Dola ya rumi chanzo cha kuanguka ni mwanamke

Ndio maana vitabu vitakatifu vikawaasa wanaume muishi nao kwa akili sana maana anaweza kua analia usoni kumbe moyoni anacheka tu na anaweza kua anacheka kumbe usoni analia ni vyema kua makini sana .mwanamke sio kiumbe dhaifu kama wengi mnavodhani, kama aliweza kupanga mipango na nyoka unadhani atashindwa kupanga nini huyu kiumbe
 
Wanawake na wanaume wote ni WA ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume

Unatongoza mke wa mtu had unampa mimba nani ni muharibifu?
Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili
Hii umeandika tu hujakutana na wazee hizo mambo mwenyewe utarudisha mpira kwa kipa. Kuna mabaharia wakiamua hata mwaka wanautenga ili wakupige mambo. Nataka nikwambie jambo moja mtu yeyote akishaingia kwenye ndoa concentration ya mambo ya mapenzi inapungua, iwe mwanamke au mwanaume na wengi tunajikita kwenye issue ya maisha, kama kutafuta hela, kujenga na kusomesha watoto.
Hapa ndo mabaharia huingia na niwaombe samahani kwa kutoa siri za kambi. Hapa baharia atatenga muda ili tu akuvue nguo atahakikisha kwa siku anakujulia hali hata mara nne, yaani asubuhi, mchana, alasiri na jioni.
Huambatana na vijizawadi vidogo vidogo tu ambavyo havilingani thamani na vile alivokupatia mmeo. ( Wanawake wa kileo mtaanza kumwita baharia ROMANTIC) hahaha yaani ngoja nicheke. Ghafla utajikuta mwenyewe unampangia ratiba ya muda gani mzuri wa kuwasiliana na wewe.

Mzee baba akirudi nyumbani ana stress, watoto wanataka ada, chuo boom halijatoka, mara mzigo umekwama bandarini, gari imegonga nk. Akijitahidi anagonga kimoja na hana story analala usingizi. Baharia akija kwa sababu akili yake ameiandaa kwa ajili ya hayo mambo nawe umejiandaa kwa ajili hizo mambo, mechi inakuwa finali kila mmoja anaonyesha uwezo wa kumili dimba.
 
Na Huyo mwanamke Alikuwa na Mwanaume. Yaani hakuna Mwanamke bila mwanaume, yaani hakuna Kosa la Mwanamke Mwanaume Hajahusika!

Hila nitatizo la wote sio kutwa mwanamke mwanamke
Mwanaume yeye Ruksa.
Shida hujui mwanamke ni kwa ajili ya mume na mume si kwa ajili ya mke
 
Hahaha! Mi naona thamani ya mwanamke ni kunizalia watoto tu mengine sioni cha maana. Ni wenzetu lakini ni watu wenye njama za ajabu ajabu sana.

Nb: usitambe mbele ya jamii eti wewe una mke bora ( inawezekana watu wote wanajua mkeo ni malaya kasoro wewe tu ndiyo hujui, utachekwa)
WAnawake yafaa wadhibitiwe
 
Angalia hapa:
Adamu aliponzwa na mwanamke
Samson aliponzwa na mwanamke
Rutu aliponzwa na mwanamke
Mfalme suleiman aliponzwa na mwanamke
Dola ya rumi chanzo cha kuanguka ni mwanamke

Ndio maana vitabu vitakatifu vikawaasa wanaume muishi nao kwa akili sana maana anaweza kua analia usoni kumbe moyoni anacheka tu na anaweza kua anacheka kumbe usoni analia ni vyema kua makini sana .mwanamke sio kiumbe dhaifu kama wengi mnavodhani, kama aliweza kupanga mipango na nyoka unadhani atashindwa kupanga nini huyu kiumbe
Je Yusufu na Ayubu nao waliponzwa na nani?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sio TU mwanamke. Isipokuwa ni binadamu yoyote ni vigumu kumtabiri. Mimi siku nikichepuka basi hiyo ndio siku ambayo nikirudi nyumbani ni lazima nimpande, Tena kumpanda Kule Kwa kukera Ili asiwaze chochote. Same to them siku akiliwa ndio siku atakayokuonyesha kuwa na minyege.
Nimecheka sana.
Ndio maana siku ambayo unaona mpenzi wako ana vibe sana ndio siku ya kuitilia shaka.
 
Ugonjwa ni siri ya Daktari na Mgonjwa labda mgonjwa aamue yeye mwenyewe kusema hasa akiwa na fahamu zake anajitambua. Ni kosa kama Daktari alimsema, kumzodoa , au kumshutumu ameitoa makusudi hata kama amegundua ni hivyo. Labda yeye mwenyewe mgonjwa aseme wazi kuwa ameitoa na awaambie ndugu na jamaa na marafiki
 
Back
Top Bottom