Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Hii umeandika tu hujakutana na wazee hizo mambo mwenyewe utarudisha mpira kwa kipa. Kuna mabaharia wakiamua hata mwaka wanautenga ili wakupige mambo. Nataka nikwambie jambo moja mtu yeyote akishaingia kwenye ndoa concentration ya mambo ya mapenzi inapungua, iwe mwanamke au mwanaume na wengi tunajikita kwenye issue ya maisha, kama kutafuta hela, kujenga na kusomesha watoto.
Hapa ndo mabaharia huingia na niwaombe samahani kwa kutoa siri za kambi. Hapa baharia atatenga muda ili tu akuvue nguo atahakikisha kwa siku anakujulia hali hata mara nne, yaani asubuhi, mchana, alasiri na jioni.
Huambatana na vijizawadi vidogo vidogo tu ambavyo havilingani thamani na vile alivokupatia mmeo. ( Wanawake wa kileo mtaanza kumwita baharia ROMANTIC) hahaha yaani ngoja nicheke. Ghafla utajikuta mwenyewe unampangia ratiba ya muda gani mzuri wa kuwasiliana na wewe.

Mzee baba akirudi nyumbani ana stress, watoto wanataka ada, chuo boom halijatoka, mara mzigo umekwama bandarini, gari imegonga nk. Akijitahidi anagonga kimoja na hana story analala usingizi. Baharia akija kwa sababu akili yake ameiandaa kwa ajili ya hayo mambo nawe umejiandaa kwa ajili hizo mambo, mechi inakuwa finali kila mmoja anaonyesha uwezo wa kumili dimba.
Nunua v8 car dealer naja lipa, 👌
 
Wanawake na wanaume wote ni wa ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume

Unatongoza mke wa mtu hadi unampa mimba nani ni muharibifu? Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili.
Sasa hiv wanawake mnasumbua sana, hapa nina Orodha wa wanawake wanasuburi niwaite,

Mwingine anakuambia mimi nakuelewa Sana shida ni wewe husomeki.

Wapo wa
Kanisani(kwaya mistress)
Wake za watu(kisa nilimsaidia jambo)

Ambao hamna ni wanafunz wa sekondari na primary tuu

Lkn hadi ma bar maid ninayo orodha wanachuo kibao
 
Hii umeandika tu hujakutana na wazee hizo mambo mwenyewe utarudisha mpira kwa kipa. Kuna mabaharia wakiamua hata mwaka wanautenga ili wakupige mambo. Nataka nikwambie jambo moja mtu yeyote akishaingia kwenye ndoa concentration ya mambo ya mapenzi inapungua, iwe mwanamke au mwanaume na wengi tunajikita kwenye issue ya maisha, kama kutafuta hela, kujenga na kusomesha watoto.
Hapa ndo mabaharia huingia na niwaombe samahani kwa kutoa siri za kambi. Hapa baharia atatenga muda ili tu akuvue nguo atahakikisha kwa siku anakujulia hali hata mara nne, yaani asubuhi, mchana, alasiri na jioni.
Huambatana na vijizawadi vidogo vidogo tu ambavyo havilingani thamani na vile alivokupatia mmeo. ( Wanawake wa kileo mtaanza kumwita baharia ROMANTIC) hahaha yaani ngoja nicheke. Ghafla utajikuta mwenyewe unampangia ratiba ya muda gani mzuri wa kuwasiliana na wewe.

Mzee baba akirudi nyumbani ana stress, watoto wanataka ada, chuo boom halijatoka, mara mzigo umekwama bandarini, gari imegonga nk. Akijitahidi anagonga kimoja na hana story analala usingizi. Baharia akija kwa sababu akili yake ameiandaa kwa ajili ya hayo mambo nawe umejiandaa kwa ajili hizo mambo, mechi inakuwa finali kila mmoja anaonyesha uwezo wa kumili dimba.
Kumbe shida ni nyie kuwa busy na maisha kwaiyo kutenga muda hata weekend na mkeo hamna Sasa mnatarajia Nini alafu mnalalamika
 
Hahahahahahaha wanaume bhana. Hapa wote mnaungana na mtoa mada vizuri tu kama vile wote mmepigwa matukio.

Vipi kwani, hamkuoa bikra? Maana kwenye nyuzi za bikra karibia wote mnasema hamuwezi kuoa asiye bikra. Kwamba mabikra wana tabia njema.

Vipi hamkuoa wenye wapo 25years and below? Maana kwenye mada za hivo wote mmeoa wenye wapo under 24 maana wana maadili.

Vipi sasa, mbona mnalia lia kama vile wote mmeoa single mothers ikiwa humu hamtaki kuoa single mothers? Au hao bikra na under 25 nao wanawapiga matukio?
 
Sasa hiv wanawake mnasumbua sana, hapa nina Orodha wa wanawake wanasuburi niwaite,

Mwingine anakuambia mimi nakuelewa Sana shida ni wewe hisomeki.

Wapo wa
Kanisani(kwaya mistress)
Wake za watu(kisa nilimsaidia jambo)

Ambao hamna ni wanafunz wa sekondari na primary tuu

Lkn hadi ma bar maid nina orodha.
Ndio ubinadamu huo usingefatwa ungetafuta waganga ukaondoe mikosi😀
 
Hii umeandika tu hujakutana na wazee hizo mambo mwenyewe utarudisha mpira kwa kipa. Kuna mabaharia wakiamua hata mwaka wanautenga ili wakupige mambo. Nataka nikwambie jambo moja mtu yeyote akishaingia kwenye ndoa concentration ya mambo ya mapenzi inapungua, iwe mwanamke au mwanaume na wengi tunajikita kwenye issue ya maisha, kama kutafuta hela, kujenga na kusomesha watoto.
Hapa ndo mabaharia huingia na niwaombe samahani kwa kutoa siri za kambi. Hapa baharia atatenga muda ili tu akuvue nguo atahakikisha kwa siku anakujulia hali hata mara nne, yaani asubuhi, mchana, alasiri na jioni.
Huambatana na vijizawadi vidogo vidogo tu ambavyo havilingani thamani na vile alivokupatia mmeo. ( Wanawake wa kileo mtaanza kumwita baharia ROMANTIC) hahaha yaani ngoja nicheke. Ghafla utajikuta mwenyewe unampangia ratiba ya muda gani mzuri wa kuwasiliana na wewe.

Mzee baba akirudi nyumbani ana stress, watoto wanataka ada, chuo boom halijatoka, mara mzigo umekwama bandarini, gari imegonga nk. Akijitahidi anagonga kimoja na hana story analala usingizi. Baharia akija kwa sababu akili yake ameiandaa kwa ajili ya hayo mambo nawe umejiandaa kwa ajili hizo mambo, mechi inakuwa finali kila mmoja anaonyesha uwezo wa kumili dimba.
Ni ujinga na uzumbukuku kumuona mjinga aliyekununulia gari ya million 15 na kumuona bora aliyekuwekea petrol ya elfu 15, ni upumbavu wa kiwango cha PhD.
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano🎹🎤🎤🎤🎤

Tumekujaaaa
Tumefikaaaa

""Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.""

#YNWA
 
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.

Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.

Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.

Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.

Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.

Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.

Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
😅😅 Sisi wenyewe wanawake hatujijui vizuri,sasa huyo anayejiona anatujua nje ndani,arudi darasani 😅😅btw huyo mwanamke anampenda mchepuko kuliko mumewe😅 funny enough,bt iko hivo hata mie Kuna boyfriend wangu wa high school nampenda till today,sema alishaoa🙅
 
Hahahahahahaha wanaume bhana. Hapa wote mnaungana na mtoa mada vizuri tu kama vile wote mmepigwa matukio.

Vipi kwani, hamkuoa bikra? Maana kwenye nyuzi za bikra karibia wote mnasema hamuwezi kuoa asiye bikra. Kwamba mabikra wana tabia njema.

Vipi hamkuoa wenye wapo 25years and below? Maana kwenye mada za hivo wote mmeoa wenye wapo under 24 maana wana maadili.

Vipi sasa, mbona mnalia lia kama vile wote mmeoa single mothers ikiwa humu hamtaki kuoa single mothers? Au hao bikra na under 25 nao wanawapiga matukio?
Bora umeuliza alafu hao wake zao hata hawako humu hawaoni chochote Bado watapigwa kama kawaida na wanaopiga ndio wachangiaji humu humu wakitoka hapa wnauliza bby unaendeleaje huyo lofa anasemaje 😂😂😂Wachaw ni wanaume wenzao
 
Ogopa sana, hats siku ukiletewa zawadi uipendayo kupitiliza[emoji23]
Furaha za ndoa nyingi sana zimeshikiliwa na michepuko. Kwa michepuko hali ikiwa shwari nyumbani furaha kama zote. Mizawadi, mahaba moto moto makiss hadi jikoni.

Kwa michepuko mambo yakienda ndivyo sivyo sasa makasiriko yanakuja hadi nyumbani nakwambia. Full kununa.
Wakiyasolve utashangaa mtu anaanza kucheka cheka tena na kuimba imba.

Wewe unajua mwenzako anakupenda na anafuraha na mahusiano yenu kumbe mambo yake kwa mchepuko yanaenda vizuri.
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano🎹🎤🎤🎤🎤
Women we run the world,they can't survive without us,so kutujadil it's a pie 🙅😅
 
😅😅 Sisi wenyewe wanawake hatujijui vizuri,sasa huyo anayejiona anatujua nje ndani,arudi darasani 😅😅btw huyo mwanamke anampenda mchepuko kuliko mumewe😅 funny enough,bt iko hivo hata mie Kuna boyfriend wangu wa high school nampenda till today,sema alishaoa🙅
😀😀Kwamba muda wowote Mnapasha kiporo
 
Furaha za ndoa nyingi sana zimeshikiliwa na michepuko. Kwa michepuko hali ikiwa shwari nyumbani furaha kama zote. Mizawadi, mahaba moto moto makiss hadi jikoni.

Kwa michepuko mambo yakienda ndivyo sivyo sasa makasiriko yanakuja hadi nyumbani nakwambia. Full kununa.
Wakiyasolve utashangaa mtu anaanza kucheka cheka tena na kuimba imba.

Wewe unajua mwenzako anakupenda na anafuraha na mahusiano yenu kumbe mambo yake kwa mchepuko yanaenda vizuri.
Tatizo ni kwenye sita kwa sita au matumizi nyumbani.

Na kama ni kwenye 6*6 mke anaridhishwa na mishindo mingapi
 
Kosa lake la kwanza ni kukubali kutumia kondom.... usiache mwanamke akuendeshe hata siku moja!
 
Bora umeuliza alafu hao wake zao hata hawako humu hawaoni chochote Bado watapigwa kama kawaida na wanaopiga ndio wachangiaji humu humu wakitoka hapa wnauliza bby unaendeleaje huyo lofa anasemaje [emoji23][emoji23][emoji23]Wachaw ni wanaume wenzao
Wanagongewa wake zao na wanaume wenzao halafu wanatusema sisi.

Kwanini kama wanaume wasiungane wakubaliane hamna kugonge mke wa mtu?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa hiv wanawake mnasumbua sana, hapa nina Orodha wa wanawake wanasuburi niwaite,

Mwingine anakuambia mimi nakuelewa Sana shida ni wewe hisomeki.

Wapo wa
Kanisani(kwaya mistress)
Wake za watu(kisa nilimsaidia jambo)

Ambao hamna ni wanafunz wa sekondari na primary tuu

Lkn hadi ma bar maid nina orodha.
Hongera kwa hiyo list ndefu mkuu😅 u deserve an award🏆🎖️🤣🤣
 
Tatizo ni kwenye sita kwa sita au matumizi nyumbani.

Na kama ni kwenye 6*6 mke anaridhishwa na mishindo mingapi
Si umesikia wakitoka kwa michepuko wakija nyumbani wana kamia gemu vizuri tu? Mikito ya kutosha hadi mke hagundui.
 
Back
Top Bottom