Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuuliza si Ujinga , unaweza kuta kumbe ni ndugu wa RaisWewe ni mgeni kwenye hii nchi??
Kuna aina mbalimbali za chawa. Hawa nao ni chawa pro max ni kama walivyo akina Dotto Magari, Mwijaku, Joti nkNimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT , Msanii duni wa filamu , Jokate...
Kwani hii pia inakuhusu ufipa?tuletee ripoti ya makongamano ya mtwara hii itakufaa zaidi!Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT , Msanii duni wa filamu , Jokate...
Amekuletea alichokutana nacho.Unalazimisha habari ambazo haziuhusu uzi?Kazitafute mwenyewe.Kwani hii pia inakuhusu ufipa?tuletee ripoti ya makongamano ya mtwara hii itakufaa zaidi!
Nimesikitika kumwona jide naye kwenye huo mkumbo🤔Si umewaona wako wazi Mkuu, bongo movies na some bongo fleva.
Ni wale wale tulio wazoea miaka yote ikikatiria chaguzi na fursa mbalimbali.
Acha watekeleze jukumu lao la "usanii".
Mama yetu ...wewe na nani?nafikiri ni pongezi zao kwa mama yetu mpendwa