Wanaomkosoa sana Samia sasa hivi ndio watakaomkumbuka siku Mwigulu au Makonda ndio Rais wa Tanzania

Wanaomkosoa sana Samia sasa hivi ndio watakaomkumbuka siku Mwigulu au Makonda ndio Rais wa Tanzania

Tanzania ina matatizo mengi, na Samia anastahili lawama kwa baadhi ya matatizo yanayoikabiki Tanzania kwa sasa kama hili la mgao wa umeme n.k

Lakini kama wewe unaamini kama mimi kuwa maendeleo ya watu yanapaswa kuendana na uhuru, umoja na mshikamano wa taifa yafaa tukumbuke tulikotoka na ku appreciate machache Samia aliyoyafanya, na sio kumdhihaki kila siku kwa vigezo vya asili yake, jinsia au kutweza heshima yake

Ama tutakuja kumkumbuka sana siku amestaafu na Mwigulu Nchemba (Savimbi) ama Daudi Albert Badhite ndio rais wa nchi hii

Eddo Kumwembe ni kati ya watu wachache ambao genuinely wana appreciate machache aliyoyafanya Samia ambayo hatuna uhakika kama tutaendelea kuwa nayo siku akiondoka madarakani

View attachment 2856454
Hili bomu Mimi hata Sina cha ku appreciate. Yaani uniambie kaleta demokrasia na kufungua nchi ndiyo kafanya makubwa.? RUSHWA,ufisadi,utapeli na manyanyaso kwa raia,nauli kupanda mara 2,ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi hamuoni? wananchi wenye kipato cha chini hawana mtetezi Tena. Who is edo? Ni bomu ni bomu Tena la kienyeji. No vote from me just praying for bad deeds. God of mercy take..........!
 
Hili bomu Mimi hata Sina cha ku appreciate. Yaani uniambie kaleta demokrasia na kufungua nchi ndiyo kafanya makubwa.? RUSHWA,ufisadi,utapeli na manyanyaso kwa raia,nauli kupanda mara 2,ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi hamuoni? wananchi wenye kipato cha chini hawana mtetezi Tena. Who is edo? Ni bomu ni bomu Tena la kienyeji. No vote from me just praying for bad deeds. God of mercy take..........!
Enzi za Magufuli kulikuwa na rushwa mara dufu ya kipindi hiki
 
Achaña na ndoto za mchana dogo.
Mwigulu na makonda hawawezi kuongoza nchi hii.
Hata huyo kipara anayeandaliwa, hawezi KWASABABU wote hawana uwezo wa kuongoza hata vikao vya familia zao.
 
Tanzania ina matatizo mengi, na Samia anastahili lawama kwa baadhi ya matatizo yanayoikabiki Tanzania kwa sasa kama hili la mgao wa umeme n.k

Lakini kama wewe unaamini kama mimi kuwa maendeleo ya watu yanapaswa kuendana na uhuru, umoja na mshikamano wa taifa yafaa tukumbuke tulikotoka na ku appreciate machache Samia aliyoyafanya, na sio kumdhihaki kila siku kwa vigezo vya asili yake, jinsia au kutweza heshima yake

Ama tutakuja kumkumbuka sana siku amestaafu na Mwigulu Nchemba (Savimbi) ama Daudi Albert Badhite ndio rais wa nchi hii

Eddo Kumwembe ni kati ya watu wachache ambao genuinely wana appreciate machache aliyoyafanya Samia ambayo hatuna uhakika kama tutaendelea kuwa nayo siku akiondoka madarakani

View attachment 2856454

Ofcourse watanzania ndio tulivyo but kusema mwigulu na makonda wawe presidential hiyo ni big hell no
 
Achaña na ndoto za mchana dogo.
Mwigulu na makonda hawawezi kuongoza nchi hii.
Hata huyo kipara anayeandaliwa, hawezi KWASABABU wote hawana uwezo wa kuongoza hata vikao vya familia zao.
Anayefaa ni nani...
 
Back
Top Bottom