Wanaopinga mkataba wa DP World njooni hapa mseme mnataka nini?

Hoja zangu zimekuwa kaa la Moto kwako

USSR
 
Classified

Ussr
Mbona bandari ya Berbera bunge la nchi hiyo lilitangaza kuwa DPworld amepewa kuendesha bandari kwa miaka 35 ni kipi mnakifanya siri?

Au mnafurahia taharuki?
 
Mbona bandari ya Berbera bunge la nchi hiyo lilitangaza kuwa DPworld amepewa kuendesha bandari kwa miaka 35 ni kipi mnakifanya siri?

Au mnafurahia taharuki?
Yale yalikuwa MOU tu sio kila kilichoandikwa pale ni sheria

USSR
 
Nchi gani
Amejiondoa ufahamu na haya chini

Yaani huyu amechaguliwa Kuwa Murugenzi na hapo hapo kupewa madaraka ya kuwakilisha mfalme wa Dubai mahususi kwa ajili ya Mkataba. IGA?
Halafu kuna huyu

Waziri Mnyaa Mbarawa! Serikali kamili!
 
Hoja zangu zimekuwa kaa la Moto kwako

USSR
Farijika. Ukimbuke na Utafakari....Usinge leta hayo uliyayabandika kama vile mna utelezi na Ajenda yenu!

kama bwana Yohana mbatizaji asemayo...".Lala Mnono"
 
Mkuu USSR! Mi naomba uniletee page ambayo pande zote 2 za Serikali zilisain, yaani Serikali ya Tanzania pia Serikali ya Dubai iliposaini! Walioshuhudia utiaji sain uo kila upande pia wakiambatanishwa na majina yao wote na vyeo vyao.

USSR ukileta ili mi naunga mkono mkataba uendelee.
 
Kwi kwi kwi the teh teh

Majadiliano yepi tena? Unaota? Hayo mmbona yaliisha zamani baina ya nchi na nchi.

Hapa unapiga porojo na Watanzania, umelala?
Share zao Nasdaq zimeshanona. Jamaa wa wallstreet wanapiga cheers. The monopoly ya bandari ulimwenguni via Dubai by Jews.
 
CCM hawajawahi pungukiwa utapeli hizo % kila wakifanya jambo huwa wanapenda ziweka
 
Mkuu Tatizo Elimu Hasa Somo la Civics halikuwekewa Kipaumbele Toka malezi ya baba na Mama Familia hadi [emoji128] hadi shuleni na vyuoni!

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
tatizo ni kuwa wabongo wana chuki binafsi na waarabu
 

Kwani hii haiwezi Kuwa backdated???
Ikarekebishwa Mkuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…