DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Basi endeleeni kufurahia Maisha ya NdoaUmeona kwa bi mkubwa nini? Au dada zako nyumbani? Sio makosa yako bali ni mazingira uliyokulia ndo yanakupelekea kudhani wanawake wote ni kama wa huko kwenu.
Acha marijali watunze ndoa zao
Asilimia %85.5 ya wanaume humu wameshaoa na %zilizobaki kurimia mia moja ni vijana ambao hawana ramani na wengine wapo chuo bado wanasoma.,,,,ukiona mtu anasema kataa ndoa ujue bado anaishi kwao au hana ramani.Afu hao ndo waoaji wazuri kabisa,sema humu wanaleta mdomomdomo tu
Umekariri,Real wife ni wabaya wa sura na umbo au waliojikatia tamaa ya maisha yani nioe uchafu kisa wana tabia nzuri ? Sipo hapa kuoa ili kuonea huruma viumbe mkuu , bila ndoa nakula mbususu ninayo taka mkitaka tuoe waambieni dada zenu wabane mabaja
Msamehe,jf imejaa vivulana bado vipo shule na havina ramani ya maisha, mwanaume timamu hawezi kuandika huo upupu.Umekariri,
Ni vile hatujuani laiti ungeniona mimi ungefuta hii msg[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kukataa ndoa tafsiri yake NI kukataa kushinda mahaka Mani,kukataa kuumia,kuuwa,au kuu Wawa,
Na kchagua kuishi kwa hakili na PESA badara ya mwanamke
Tunaanza na ndoa. tunakuja na Katiba mpya ili kuivunja Haki.Wengne ni Wale " bahati mbaya"
USIPOOA UTAOLEWA.Mwanaume unapo andika kataa ndoa una maanisha unataka kuolewa ama🤷🏼♀️
Wanauume una miaka above 40 nn kitakupa furaha zaidi ya kurudi kutoka kwenye mihangaiko ukapoķelewa na mke na watoto wako? Ukirudi nyumbani unafanya nn? Weekend bila watoto wa kuwaelekeza shughuli za nyumbani kama kusafisha mabanda, kuogesha mbwa n.k mbadala unakuwa ni nn?Kataa ndoa hii kampeni ipo moyon mwa kla mwanaume , hakuna mwanaume anahamasisha kufunga ndoa ,ndoa nyingi unakuta wadada ndo wamezipigania , ebu ishi na mwanaume usigusie swala la ndoa uone kma ataangaika kufunga ,kiufupi tunazikataa cze wadada wa sasa wanaztumia kma fimbo kwa ss wanaume wapambanaji , hakuna mwanaume mwenye pesa amezipata mwenyewe ataomba kuingia kwenye mtego wa ndoa labda ukute anataka asaidiane na mwanamke kupata uchumi au wale Mario mnaowapenda.
Mwanaume haolewi, Anaoa.
furaha ni kuwa na Pesa, siyo kutegemea kiumbe ulichonunua kwa Pesa akupe furaha, huo ni UjuhaWanauume una miaka above 40 nn kitakupa furaha zaidi ya kurudi kutoka kwenye mihangaiko ukapoķelewa na mke na watoto wako? Ukirudi nyumbani unafanya nn? Weekend bila watoto wa kuwaelekeza shughuli za nyumbani mbadala unakuwa ni nn?
Kumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.
Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.
Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
Tena wengine ni mawaziri na viongozi wakubwakusingekua na michepuko kuna vizazi visingekuwepo so kuwa makini na maneno unayorusha
Furaha ni ridhiko la nafsi na umaturity wako kuhusu nature.furaha ni kuwa na Pesa, siyo kutegemea kiumbe ulichonunua kwa Pesa akupe furaha, huo ni Ujuha
kutegemea kiumbe uliyemnunua kwa Pesa akupe furaha, huo ni uteja zaidi, tena ni upumbavu,Furaha ni ridhiko la nafsi na umaturity wako kuhusu nature.
Furaha haitokani na pesa bali uwezo wako wa kuyatawala mazingira yako.
Kutegemea pesa au mapenzi ndio yakupe furaha huo ni uteja.
Hatuwezi kufanana, Binafsi, raha ya pesa ni kuitumia na familia yangu otherwise sioni kazi ya pesa nyingi.furaha ni kuwa na Pesa, siyo kutegemea kiumbe ukichonunua kwa Pesa akupe furaha, huo ni Ujuha
umenunua kiumbe kwa Pesa, aje kukamua vyanzo vyako unaita furaha, izo akili au matope ? mnakwama wapi?Hatuwezi kufanana, Binafsi, raha ya pesa ni kuitumia na familia yangu otherwise sioni kazi ya pesa nyingi.
Unawafundisha wakikua wisioe wala kuolewa watombane tombane kimasihara?Ninao.
#YNWA
Sijanunua kiumbe kwa pesa. Nimeoa nikabarikiwa watoto, wale watoto kuwahudumia na mama yao ndiyo furaha yangu. Una tatizo na hayo maamuzi ambayo mm yananipa furaha?umenunua kiumbe kwa Pesa, aje kukamua vyanzo vyako unaita furaha, izo akili au matope ? mnakwama wapi?