DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mimi siwezi kuacha kula wake za watu hivyo Mimi sihitaji ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akupe hitaji la moyo wakoKubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
It's funny how some people will spend the rest of their lives with people they don’t even love, suffering every day, just because their parents got them married.Kupinga ndoa ni kampeni ya wanaosapoti mapenzi ya jinsia moja.
NB. Kama Baba yangu alimuoa mama yangu, nipinge ndoa mimi ni nani?
Marriage cannot guarantee a loveHivi mtu utokee kwenye familia yenye upendo unapata wapi nguvu ya kuandika kataa ndoa😬
Daa wale panzi wenyewe walishapotea hasa wale wadogo wadogoWakati wenzake wanajifunza kusoma na kuandika shule ya msingi yeye alikua anawinda panzi
Point makin sana hii, Ndoa ni kutokujiamin ni kuforce umiliki/relation pindi ambapo upendo utaisha.Marriage cannot guarantee a love
Unaweza kuwa na furaha pasipo ndoa
Na watu wanaokupenda kiukweli will stay by your side without any declaration.
Huhitaji ndoa just to be sure your partner is never going to leave you.
Kama hakupendi hakupendi tu, haijalishi kuna ndoa au lah
EwaaaMarriage cannot guarantee a love
Unaweza kuwa na furaha pasipo ndoa
Na watu wanaokupenda kiukweli will stay by your side without any declaration.
Huhitaji ndoa just to be sure your partner is never going to leave you.
Kama hakupendi hakupendi tu, haijalishi kuna ndoa au lah
Wapo vijijini hukooo ndani ndaniDaa wale panzi wenyewe walishapotea hasa wale wadogo wadogo
a.aaaaa.mrembo nawawewe unavuta?Ni mashoga.Wanakazwa mgongoni.Subiri waje.Nistue nimetoka kidogo navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi kwenye kichuguu kile paleee!
SawaMarriage cannot guarantee a love
Unaweza kuwa na furaha pasipo ndoa
Na watu wanaokupenda kiukweli will stay by your side without any declaration.
Huhitaji ndoa just to be sure your partner is never going to leave you.
Kama hakupendi hakupendi tu, haijalishi kuna ndoa au lah
Wengine ni mashoga na wasagaji wasitupotezee muda.Kumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.
Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.
Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
Wengne ni Wale " bahati mbaya"Mwanaume anaye andika eti “kataa ndoa”huwa namuona hana maadili na ametokea katika familia ya ajabu mno.
You have covered verything.Wengi wao ni
Wazazi wao walikwepa majukumu ya malezi bora eg Mume kuendekeza michepuko na kusahau familia,Mke kuwekeza kumlisha limbwata Mume na kusahau kujaza upendo kwa watoto
Watoto waliotelekezwa kwa ndugu
Watoto wa michepuko
Mimba zisizo tarajiwa kisha zikakanwa
Waliopatikana kwa matokeo ya ubakaji. Mabazazi yanayobaka yalaaniwe yanatuharibia jamii
Waliokacha shule na kukimbilia kuvuta vijiweni,dating za kipuuzi,kula kimasihara
Waliopatikana vilabu vya matapu tapu
etc etc etc
Na je kwanz ungezaliwa?Kupinga ndoa ni kampeni ya wanaosapoti mapenzi ya jinsia moja.
NB. Kama Baba yangu alimuoa mama yangu, nipinge ndoa mimi ni nani?
Upumbavu umekujaaKupinga ndoa ni kampeni ya wanaosapoti mapenzi ya jinsia moja.
NB. Kama Baba yangu alimuoa mama yangu, nipinge ndoa mimi ni nani?