Wanaopinga ndoa wana matatizo au wamekulia kwenye familia zenye mgogoro

Wanaopinga ndoa wana matatizo au wamekulia kwenye familia zenye mgogoro

Kupinga ndoa ni kampeni ya wanaosapoti mapenzi ya jinsia moja.

NB. Kama Baba yangu alimuoa mama yangu, nipinge ndoa mimi ni nani?
It's funny how some people will spend the rest of their lives with people they don’t even love, suffering every day, just because their parents got them married.
 
Hivi mtu utokee kwenye familia yenye upendo unapata wapi nguvu ya kuandika kataa ndoa😬
Marriage cannot guarantee a love

Unaweza kuwa na furaha pasipo ndoa

Na watu wanaokupenda kiukweli will stay by your side without any declaration.

Huhitaji ndoa just to be sure your partner is never going to leave you.

Kama hakupendi hakupendi tu, haijalishi kuna ndoa au lah
 
Marriage cannot guarantee a love

Unaweza kuwa na furaha pasipo ndoa

Na watu wanaokupenda kiukweli will stay by your side without any declaration.

Huhitaji ndoa just to be sure your partner is never going to leave you.

Kama hakupendi hakupendi tu, haijalishi kuna ndoa au lah
Point makin sana hii, Ndoa ni kutokujiamin ni kuforce umiliki/relation pindi ambapo upendo utaisha.
 
Marriage cannot guarantee a love

Unaweza kuwa na furaha pasipo ndoa

Na watu wanaokupenda kiukweli will stay by your side without any declaration.

Huhitaji ndoa just to be sure your partner is never going to leave you.

Kama hakupendi hakupendi tu, haijalishi kuna ndoa au lah
Ewaaa
 
Marriage cannot guarantee a love

Unaweza kuwa na furaha pasipo ndoa

Na watu wanaokupenda kiukweli will stay by your side without any declaration.

Huhitaji ndoa just to be sure your partner is never going to leave you.

Kama hakupendi hakupendi tu, haijalishi kuna ndoa au lah
Sawa
 
Kumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.

Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.

Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.

Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
Wengine ni mashoga na wasagaji wasitupotezee muda.
 
Wengi wao ni

Wazazi wao walikwepa majukumu ya malezi bora eg Mume kuendekeza michepuko na kusahau familia,Mke kuwekeza kumlisha limbwata Mume na kusahau kujaza upendo kwa watoto

Watoto waliotelekezwa kwa ndugu

Watoto wa michepuko

Mimba zisizo tarajiwa kisha zikakanwa

Waliopatikana kwa matokeo ya ubakaji. Mabazazi yanayobaka yalaaniwe yanatuharibia jamii

Waliokacha shule na kukimbilia kuvuta vijiweni,dating za kipuuzi,kula kimasihara

Waliopatikana vilabu vya matapu tapu

etc etc etc
You have covered verything.

Hii ya kula mbususu then ukiambia Mimba unakimbia ndio chanzo kikubwa.

People dont feel responsible for their actions
 
Soma comments za dada zenu kuhusu sakata la dr mwaka ndo utajua kwa nini wajanja tunakataa ndoa
 
Back
Top Bottom