Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Post #32 nishakujibu.huya kiongozi wa kikiristo kwani akuzaliwa na baba na mama je yeye kaoa? kazi yao kubwa kueneza ushoga na usagaji na kuabudu masanamuView attachment 2511707
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Post #32 nishakujibu.huya kiongozi wa kikiristo kwani akuzaliwa na baba na mama je yeye kaoa? kazi yao kubwa kueneza ushoga na usagaji na kuabudu masanamuView attachment 2511707
kiongozi wa wasioa huyu hapa tena anakundi kubwa sana wakirisito ni wafasi wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mtu yoyote anae ***** hawezi kuoa mfano huyo hapo chini kazeeka bila mke na kundi lakeWengi wanaokataa kuoa ukiwauliza watakwambia wanawake hawajatulia, kwa jibu hilo inasadiki kwamba wengi wameshuhudia au kusimuliwa matitizo ya ndoa fulani ndiyo maana wakawa na msimamo huo.
#YNWA
Achana na kutokuoa yani Huyu hakuwa hata na geto ila wafuasi wlikuwa naokiongozi wa wasioa huyu hapa tena anakundi kubwa sana wakirisito ni wafasi wake View attachment 2511709
Wametendwa hao, hivyo wanatafuta pa kuponea, wanaangalia mifano michache ya wenyewe hela wakichapiwa, wakiomba talaka, wakilalamika maswaibu yao, na wao wanaconclude kuwa wasioe. Ndoa inahitaj mwanaume na mwanamke waliopevuka vizuri kiakili na Wana Nia ya dhati kuishi pamoja. Ndoa sio tendo la ndoa, ukiendana akili hii utakwama maana si kila wakat utalipata Hilo tendon kwa viwango unavyotaka, ukienda kwenye ndoa ukawa unawaza pesa lazima utundike daruga mapema tuu. Waache waendelee kujipa moyo lakini ndoa ni tamuKumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.
Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.
Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
Kwa kweli ndoa ni tamu sana asikwambie mtu tuachane na maneno ya mtaani. Ingia ujionee mwenyeweWametendwa hao, hivyo wanatafuta pa kuponea, wanaangalia mifano michache ya wenyewe hela wakichapiwa, wakiomba talaka, wakilalamika maswaibu yao, na wao wanaconclude kuwa wasioe. Ndoa inahitaj mwanaume na mwanamke waliopevuka vizuri kiakili na Wana Nia ya dhati kuishi pamoja. Ndoa sio tendo la ndoa, ukiendana akili hii utakwama maana si kila wakat utalipata Hilo tendon kwa viwango unavyotaka, ukienda kwenye ndoa ukawa unawaza pesa lazima utundike daruga mapema tuu. Waache waendelee kujipa moyo lakini ndoa ni tamu
Kama nawe ni mmoja wa wanaopinga kuoa basi jitambue tu kuwa unahitaji msaada wa kisaikolojia. Ukikaa sawa utakubali tu na utaenjoi ndoa yakoWewe ndiye mwenye matatizo ya akili kabisa. Kama unajivunia ndoa ni huna akili.
KATAA NDOA KWA AFYA YAKO KIAKILI, KIMWILI NA KIROHO.
Kama hao wapiga nyeto unategemea watakuwa na uwezo wa lolote?dronedrake Liverpool VPN mnaitwa huku
Ni mwendo wa kula tunda kimasihara hakuna kuoaHaya, nimewakusanya wotee ili niwaambie "Nyie tukaneni, kebehini, ropokeni" yaani andikeni lolote ila HATUOI HATUOI HATUOI.
Anyway:- Karibu gheto tusikilize song la zuena la mkali mwenzetu MOND A.K.A mkataa ndoa A.K.A baba Tiffah.
Nasubiri matusi yoteee
Nasubiri kejeli zotee
.... Ila YATAPITAAAAAAAA
Nakala:-
dronedrake
Mafian cartel
Waione kwenye jalada.
#YNWA
Mkioa nyinyi inatosha mkuu[emoji23]Sio broken family tu
Wengi wao hasa wakiume, ni wasio na uwezo wa kusimamisha
Wasio weza kuzalisha.
Wagonjwa wa ukimwi
Wanatumia hiyo mbinu kujiweka kando ili wasiaibike
Kumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.
Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.
Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
Pambana na hali yako kwa uburu. Most married men don't cares about your status, wanawaza ada, chakula bima za afya n.k.Haya, nimewakusanya wotee ili niwaambie "Nyie tukaneni, kebehini, ropokeni" yaani andikeni lolote ila HATUOI HATUOI HATUOI.
Anyway:- Karibu gheto tusikilize song la zuena la mkali mwenzetu MOND A.K.A mkataa ndoa A.K.A baba Tiffah.
Nasubiri matusi yoteee
Nasubiri kejeli zotee
.... Ila YATAPITAAAAAAAA
Nakala:-
dronedrake
Mafian cartel
Waione kwenye jalada.
#YNWA