Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kabisa tungeanza na chanzo cha hii habari mimi nafikiri waliokwenye ndoa wazee na waubwa wetu wangetuonesha hiyo katika miaka hii mmomonyoko wa maadili kuanzia kwa wazee hao waliooa mpaka kwetu vijana ndio imesababisha watu waliowengi kuona ndoa haina maana...mfanoKumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.
Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.
Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
Mtoto wa mchepuko pita kuleeee nyooo huna faida
chanzo cha kukataa kuoa kuolewa chanzo ni ukirisito paulo akuoa alikuwa hanithi papa padiri hawaoi kazi kuwa ingilia watoto wa kiume kinyume cha maumbile hao vijana wasio taka kuoa hiyo ndio tabia yao ushoga na kusagana viongozi wao hawa hapo chini wakiabudu sanamuKumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.
Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.
Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
kiongozi wao huyu hapa [emoji116][emoji116]Kupinga ndoa ni kampeni ya wanaosapoti mapenzi ya jinsia moja.
NB. Kama Baba yangu alimuoa mama yangu, nipinge ndoa mimi ni nani?
Hawa ni mawakala wa shetani hakuna namna.Hivi mtu utokee kwenye familia yenye upendo unapata wapi nguvu ya kuandika kataa ndoa[emoji51]
Kupinga ndoa ni kampeni ya wanaosapoti mapenzi ya jinsia moja.
NB. Kama Baba yangu alimuoa mama yangu, nipinge ndoa mimi ni nani?
Well said👏👏
Yeah wametoka kwenye broken family
Mtu wanawake wamemshinda anaanza kampeni ya kupangia wengine wasioe.
Hivi mtu utokee kwenye familia yenye upendo unapata wapi nguvu ya kuandika kataa ndoa😬
Mwanaume unapo andika kataa ndoa una maanisha unataka kuolewa ama🤷🏼♀️
Hawa ni mawakala wa shetani hakuna namna.
Umetisha mzee eti nakala waione kwenye jaladaHaya, nimewakusanya wotee ili niwaambie "Nyie tukaneni, kebehini, ropokeni" yaani andikeni lolote ila HATUOI HATUOI HATUOI.
Anyway:- Karibu gheto tusikilize song la zuena la mkali mwenzetu MOND A.K.A mkaa ndoa A.K.A baba Tiffah.
Nasubiri matusi yoteee
Nasubiri kejeli zotee
.... Ila YATAPITAAAAAAAA
Nakala:-
dronedrake
Mafian cartel
Waione kwenye jalada.
#YNWA
🤣🤣🤣Haya, nimewakusanya wotee ili niwaambie "Nyie tukaneni, kebehini, ropokeni" yaani andikeni lolote ila HATUOI HATUOI HATUOI.
Anyway:- Karibu gheto tusikilize song la zuena la mkali mwenzetu MOND A.K.A mkataa ndoa A.K.A baba Tiffah.
Nasubiri matusi yoteee
Nasubiri kejeli zotee
.... Ila YATAPITAAAAAAAA
Nakala:-
dronedrake
Mafian cartel
Waione kwenye jalada.
#YNWA
usilaumu familia wakulaumiwa huyu hapa[emoji116]Mwanaume anaye andika eti “kataa ndoa”huwa namuona hana maadili na ametokea katika familia ya ajabu mno.
Oshey mr [emoji383]Haya, nimewakusanya wotee ili niwaambie "Nyie tukaneni, kebehini, ropokeni" yaani andikeni lolote ila HATUOI HATUOI HATUOI.
Anyway:- Karibu gheto tusikilize song la zuena la mkali mwenzetu MOND A.K.A mkataa ndoa A.K.A baba Tiffah.
Nasubiri matusi yoteee
Nasubiri kejeli zotee
.... Ila YATAPITAAAAAAAA
Nakala:-
dronedrake
Mafian cartel
Waione kwenye jalada.
#YNWA
Wengi wanaokataa kuoa ukiwauliza watakwambia wanawake hawajatulia, kwa jibu hilo inasadiki kwamba wengi wameshuhudia au kusimuliwa matitizo ya ndoa fulani ndiyo maana wakawa na msimamo huo.Protector
""Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.""
Kwakuwa hatuamini unachoamini basi TUNAMATATIZO YA SAIKOLOJIA.
Hey man, mbona Kuna mengi watu wanafanya wewe hufanyi, KWA KUWA HUFANYI, HUNA MATATIZO YA AKILI KWELI?
Mwamba achia kila mtu Aishi style yake ya maisha.
#YNWA
wanaiga hili kundi kwani huwa linaoa?[emoji116]kiongozi wao huyu hapa [emoji116][emoji116]View attachment 2511660
huya kiongozi wa kikiristo kwani akuzaliwa na baba na mama je yeye kaoa? kazi yao kubwa kueneza ushoga na usagaji na kuabudu masanamuKama baba yako alikuwa mlevi upinge ulevi wewe nani?
Kama Ako alikuwa tapeli, upinge UTAPELI wewe nani?
Kama baba Ako alikuwa mwizi mwizi, upinge uwizi wewe?
Hey man, everybody has his/her path in life.
Choose yours, CHOOSE WISELY.
Nilizaliwa nikakuta baba kamuoa mama, ila Mimi kuoa HAPANA.
That's my life, is my choice.
#YNWA
huyu mkuu aliowanaiga hili kundi kwani huwa linaoa?[emoji116]