Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Umemaliza yote mkuu...uzi ufungweWatu badala ya kupeana mbinu za kutoboa haya maisha wanashauri watu waoe utalawalisha hao watoto nn? Utawasomesha na nn? Lazima ufikirie haya kama kipato chako ni Cha kusuasua, usichukulie advantage ya mababu zetu walikua wakilima hata robo Heka gunia 20 Leo hii mvua hakuna, shamba bila mbolea havioti, pembejeo ghali, ukisoma ajira hakuna.
Labda mtuandikie mnayaendeshaje haya maisha? Mnafanya kazi gan?
Wale wanao enjoy national cake [emoji512][emoji512] labda wasiache kuoa.
Usiige kwa kua Fulani kafanya hivi na ww ufanye kama hujui njia anazopita, don't apply the same way even if you know where s/he passes through....
Oa kwa ajili ya kujenga kizazi Bora sio uzalishe watoto wa mitaani au umtese mtoto wa mtu ( mke). Usioe kwa ajili ya ngono tu. Ndoa ni taasisi kubwa Sana kwa ambao hawajui Siri.
Usipoa sio dhambi Bali ni pale utakapoa na kushindwa kutekeleza majukumu ya taasisi hio. Kamwe usitengeze laana na vizazi vya ajabu.
Kama unawezo wa kutunza familia oa mapema kwa sababu utatengeza kizazi Bora, mtoto apate elimu nzuri, matibabu, afya njema kwa ajili ya kizazi cha baadae. Create the best generation, the grateful children who will not blame their parents that they make them in bad situation.
The children who will not cry because of poverty. Create the way for them to enjoy the life of this world [emoji288][emoji288].
Alisikika mzazi mmoja akisema "acha tu wakikua watajitafutia" wamekua kuku wa kienyeji?
Hao wanaosema Wanaokataa ndoa ni mashoga wao ndio wanazalisha mashoga kwa sababu ya kutowaandilia watoto maisha Bora japokua ushoga wakati mwingine inasababishwa hormone.