Sijaongelea habari za asset elewa comment tatizo mawazo yote yamelenga kuangalia habari za hela ,mimi sipo huko.Your house is not an asset, ni liability ambayo ukiacha kufanya kazi inakutumikisha
Achana nao hao watu ni wanafiki tu
Mkuu, muda wa kubishana kwa kweli sina. Kila mtu abaki na anachokiamini au vipi?Sijaongelea habari za asset elewa comment tatizo mawazo yote yamelenga kuangalia habari za hela ,mimi sipo huko.
kuhusu comment yako ukiwa na nyumba yako utakua na uhakika na pa kulala hata ukiacha kufanya kazi ,matengenezo mengine ya nyumba ni madogo madogo hayafikirishi sana,lakini kama umepanga jua utatolewa vitu nje mapema sana endapo utakoma kazi au biashara itayumba.
Kujenga ni asset .. wazee wa finance wananielewa .. iwe kampuni ama Mtu binafsi.Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Siku akikosa kibarua na mwenye nyumba anataka Kodi yake ndio atajua kuwa kujenga ni kuzika hela au ni upumbavu Gani.Kwa hiyo mwenye nyumba wako alizika pesa?
Mambo mengine yasikie tu nyuma ya keyboard. Nilinunua viwanja sehemu fulani. Sina mpango wa kujenga kwa sababu ni nje ya mji na majirani hawajajenga bado. Kila mwaka nalipia kodi. Ni upotevu wa pesa zangu. Kama una pesa weka benki ama fanya biashara. mambo ya kununua viwanja eti vitapanda bei ni biashara kichaa.
Pia Jesus hakujengathe way, Jesus alienda kutuandalia makao mbinguni kwa baba.
Tena kwa nyumba yenye uwekezaji usiozidi million ishirini (25,000,000)unapata kodi ya shilling zaidi ya laki tano kwa mweziHuyo jamaa niliamua kumuacha tu baada ya kumuona anaona maajabu kusikia kuna nyumba kodi laki 5.
Yaani hajui kuna nyumba hadi milioni 2 na zaidi kwa nwezi.
Unaposema frem unamaanisha kuwa so nyumba au ?Nikanunue Nyumba?
Labda niwe na hela za kuchezea.
Wewe unaongea tu. Nyumba zinanunuliwa na zunapigwa greda everyday.
Nyumba inaleta heshima kwa mtu, siyo faida ya kifedha.
Labda fremu.
Siyo Nyumba. Siyo kila jengo ni Nyumba Ila kila Nyumba ni jengo.Unaposema frem unamaanisha kuwa so nyumba au ?
Hakuna ulichoeleza hapa nisichokua nacho, wewe ndo unajidanganyajidanganye kujenga hakujawahi kuwa rahisi kama mawazo yako ukumbuke utajenga kutokana na faida unayopata kwenye biashara yako.
Je? biashara itaenda kama unavyotaka.
Je? hakuna changamoto zitakazojitokeza
Ukumbuke wakat unafanya hyo biashara unalipa na kodi kuanzia kwenye biashara mpka pango la mwenye nyumba sasa piga hesabu zako unambie utajenga kwa urahisi kama unavyowaza.
kama umejenga mshukuru sana mumgu kwakua utapambana na utasimama kwenye biashara na utaangalia nyuma na kusema asante mungu ulinipa uwezo nikajenga now nawaza biashara na kodi zake hata nikiwa sina hela nina amani hakuna wakuja kuniuliza hela ya nyumba.
Napenda sana watu wazike hela zao kwenye majumba kwakua mwisho wa siku mtu anaheshimika
unadema demaHakuna ulichoeleza hapa nisichokua nacho, wewe ndo unajidanganya
Uko sahihi sanaMkuu si kweli thamani ya nyumba inapanda kila siku Bali ile ardhi iliyobeba nyumba ndo hupanda kila siku.! Kadiri muda unavyokwenda nyumba huchoka na design yake hupitwa na wakati
Mkuu nyumba si ipo kwenye ardhi? Kama ardhi inaongezeka thamani na nyumba pia huongezeka thamani au kuna kitu sijakupata, usifikirie nyumba in terms ya kupanga tu, fikiria kuuza.....Mimi naongea facts, siongei blah blah.
Nimerithi nyumba na ardhi. Nyumba ni headache na nimekatazwa na ukoo kuiuza.
Nyumba inaleta heshima kwa utamaduni wetu.
Kama heshima kwa jamii ingeweza kuwekwa thamani yake kifedha labda.
Ila huwezi.
Viwanja vina thamani inayokua. Hata by looking at the population increase. Mapori mengi ya miaka 15 iliyopita Sasa ni miji.
Nyumba haiongezeki thamani. Huo ni ukweli wa kimahesabu siyo hadithi njoo .
Huwezi kupigiana hesabu za nyumba ukanipa faida above interest rate ya Benki kuu.
Ukitaka tupigiane mahesabu hapa.