Wanaosema kujenga ni kuzika pesa

Wanaosema kujenga ni kuzika pesa

Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?

Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Kujenga ni kuzika hela kama huna lengo la kuwekeza katika mzunguko wa biashara. Hata kuweka akiba benki ni kuzika hela pia.
 
Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?

Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
huyo aliyejenga nyumba 1970 yupo? na kama yupo anazitumia hizo hela vizuri au wanatumia wajukuu zake?
 
Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?

Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Kujenga nyumba ya kuishi bila kua na kitu cha kuingiza pesa endelevu ni kweli huko ni kuzika pesa, binafsi hilo limeniathili maendeleo yangu na sasa ninademadema sana, lakini nikiwaza pesa niliyotumia kwenye ujenzi na biashara ninayoijua ambayo kama Ile pesa ningewekeza huko, kwa sasa ningejenga kama vile nashuka Sekenke au Kitonga, huku nikipiga mluzi
 
Kujenga nyumba ya kuishi bila kua na kitu cha kuingiza pesa endelevu ni kweli huko ni kuzika pesa, binafsi hilo limeniathili maendeleo yangu na sasa ninademadema sana, lakini nikiwaza pesa niliyotumia kwenye ujenzi na biashara ninayoijua ambayo kama Ile pesa ningewekeza huko, kwa sasa ningejenga kama vile nashuka Sekenke au Kitonga, huku nikipiga mluzi
Uza tu hiyo nyumba
 
Nadhan nshachangiaga huko juu, nasabahi uzi tu,

Nilisema jengea faida ya biashara (investment) usijengee mtaji
By summary biashara kwanza, nyumba baada ya biashara kusimama.
 
Shida sio kujenga nyumba ya kupanga kwa sababu hiyo inaleta cash flow, ukijenga nyumba ya kwako ya kuishi inaingizaje pesa?
hauingizi pesa,ila hata usingejenga bado hio pesa ungetumia kulipia kodi,watoa hoja naona mmebase sana kwenye suala la hela,kiufupi mimi najenga nipate amani,asikuambie mtu kupanga kuna kero ,mara uibiwe nguo ukianika,bado hapo hamjagombana kwenye kulipa bill za maji ,bado hujagombana na jirani yako watoto wake wakikwangua gari yako na kisoda aisee ,bado mwenye nyumba hajakwambia utengeneze kitasa umeharibu wakati alinnunua mwenyewe mchina ,Mungu nisimamie nyumba yangu ikamilike 2024 nihamie kwangu.
 
Sasa wengi wao wanaojenga hua hawana biashata yoyote ile ya maana ndo maana wanaambiwa wanazika hela...unakuta watu wanaina uchungu kulipa kodi ya 200,000-300,000 kwa mwezi kwa mwenye nyumba...hivi unasikiaje uchungu wakati nyumba unaishi mwenyewe...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata ndege wana kwao
 
Kujenga nyumba ya kuishi bila kua na kitu cha kuingiza pesa endelevu ni kweli huko ni kuzika pesa, binafsi hilo limeniathili maendeleo yangu na sasa ninademadema sana, lakini nikiwaza pesa niliyotumia kwenye ujenzi na biashara ninayoijua ambayo kama Ile pesa ningewekeza huko, kwa sasa ningejenga kama vile nashuka Sekenke au Kitonga, huku nikipiga mluzi
jidanganye kujenga hakujawahi kuwa rahisi kama mawazo yako ukumbuke utajenga kutokana na faida unayopata kwenye biashara yako.
Je? biashara itaenda kama unavyotaka.
Je? hakuna changamoto zitakazojitokeza
Ukumbuke wakat unafanya hyo biashara unalipa na kodi kuanzia kwenye biashara mpka pango la mwenye nyumba sasa piga hesabu zako unambie utajenga kwa urahisi kama unavyowaza.
kama umejenga mshukuru sana mumgu kwakua utapambana na utasimama kwenye biashara na utaangalia nyuma na kusema asante mungu ulinipa uwezo nikajenga now nawaza biashara na kodi zake hata nikiwa sina hela nina amani hakuna wakuja kuniuliza hela ya nyumba.
Napenda sana watu wazike hela zao kwenye majumba kwakua mwisho wa siku mtu anaheshimika
 
hauingizi pesa,ila hata usingejenga bado hio pesa ungetumia kulipia kodi,watoa hoja naona mmebase sana kwenye suala la hela,kiufupi mimi najenga nipate amani,asikuambie mtu kupanga kuna kero ,mara uibiwe nguo ukianika,bado hapo hamjagombana kwenye kulipa bill za maji ,bado hujagombana na jirani yako watoto wake wakikwangua gari yako na kisoda aisee ,bado mwenye nyumba hajakwambia utengeneze kitasa umeharibu wakati alinnunua mwenyewe mchina ,Mungu nisimamie nyumba yangu ikamilike 2024 nihamie kwangu.
Your house is not an asset, ni liability ambayo ukiacha kufanya kazi inakutumikisha
 
Back
Top Bottom