Bikirajohola
JF-Expert Member
- Jun 11, 2022
- 356
- 634
Ni bank gani hiyo wanaruhusu kukopea alteza?Tunarudi kule kule kumbe kujenga nyumba ni dili maana unaenda kukopea,Kwa nini usiende kukopea alteza yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bank gani hiyo wanaruhusu kukopea alteza?Tunarudi kule kule kumbe kujenga nyumba ni dili maana unaenda kukopea,Kwa nini usiende kukopea alteza yako?
Elewa muktadha wa maelezo yangu na niliyekuwa namjibu.Ni bank gani hiyo wanaruhusu kukopea alteza?
SijaelewaElewa muktadha wa maelezo yangu na niliyekuwa namjibu.
Maendeleo hayana chama ,,Wacha nichekee[emoji1787][emoji1787]Acheni mawazo ya kijinga, hivi mtu unajengaje njiani wakati duniani tunapita..!!
By the way, Jesus alienda kutuandalia makao mbinguni kwa baba.
Hata Iringa?Musoma inachoka aiseee
Huyu boya anatupotosha watu tusijenge kisa yeye karidhi nyumba baba yake asingejenga angeongea ujinga huuSisi ambao tumeshagota 40+ Mpaka sasa bado tunapanga hatujui hata bei ya tofali unataka tuongee nn sasa!
Ebu nipe akili uwezaje kuweka hela mpaka ukajenga? Mie ikifika million tuu basi shetani atampitisha mwanamke mwenye tako nitaishia kuhongaMimi nilipanga 300k kwa mwezi, nyumba yenyewe ni vyumba 2, sebule na jiko. Halafu haina matengenezo. Full kero. Nikaona ni ujinga huu. Nikajenga na sasa niko kwangu, full kujiachia. Watu
Kaa mbali nao, yaani waone kama wa kawaida sana. Hao wznawake watakufilisi na kukutia nuksi. Jiwekee malengo ya kusave . Kila mwaka uwe na lengo la kufanikisha kitu fulani. Kama huna kiwanja save kwa ajili hiyo kwanza, halafu unaanza ujenzi kidogo kdogoEbu nipe akili uwezaje kuweka hela mpaka ukajenga? Mie ikifika million tuu basi shetani atampitisha mwanamke mwenye tako nitaishia kuhonga
Hehehehee na siku hizi hawakataiEbu nipe akili uwezaje kuweka hela mpaka ukajenga? Mie ikifika million tuu basi shetani atampitisha mwanamke mwenye tako nitaishia kuhonga
Ata ukutaka double double unalewa tuuHehehehee na siku hizi hawakatai
Like Elon musk Hana nyumba Ila ndiye tajiri no 1 in this planetFanya unachoona sahihi, miluzi mingi humpoteza mbwa.
Sawa, lakini haiwezi fika 5B..!! yaani laki 1 ya 70's value yake iwe sawasawa na 5B ya mwaka 2022..!?? No wayLaki 1 ya mwaka 70 sio laki 1 ya mwaka 2022. Angalia ktu inaitwa "money value" au "purchasing power" ya hela
Hiyo nyumba unayoijenga, haipo kwenye ardhi ambayo unaisema ni asset? Au ipo juu ya maji? Wakati una-argue uwe unafikiria kwa mapana yake. Kama ardhi ni asset (Nakubaliana na hili), sawa kuwa na nyumba juu ya ardhi ambayo ni asset, si ni sawa na kuwa na double asset? AU nyumba inapunguza thamani ardhi ilipojengwa?Kuwa halisi haimaanishi kufuata mkumbo.
Katika kipindi hicho cha miaka kumi, badala ya kujenga, nunua viwanja.
Nyumba kama Jengo siyo asset.
Ardhi ni asset.
Nyumba ya milioni 30 utapangisha kwa laki mbili kwa mwezi ambayo ni milioni mbili kwa mwaka (maintanance laki nne ambayo ni ndogo najua).
Itachukua miaka 15 ku break even.
Baada ya hapo utakuwa unachukua mshahara wa laki mbili kwa mwezi.
Buy land, then wait.
Hao wanaonunua nyumba na kubomoa kwa madai yako wanataka viwanja tu, je wanajenga? Jibu ni ndiyo wanajenga.Nikanunue Nyumba?
Labda niwe na hela za kuchezea.
Wewe unaongea tu. Nyumba zinanunuliwa na zunapigwa greda everyday.
Nyumba inaleta heshima kwa mtu, siyo faida ya kifedha.
Labda fremu.