Wanaosema kujenga ni kuzika pesa

Wanaosema kujenga ni kuzika pesa

Ardhi ya kuiuza unamaanisha nini?
Ardhi ni asset kama zilivyo assets nyingine.
Hata Nondo (steel) ni asset kubwa sana, Shaba, aluminium etc...
Ndiyo maana maskini anauza skrepa, tajiri ananunua.
Ardhi ya kuiuza ikiisha maana yake wewe una hela.
Usipotaka kupangisha, Bei itashuka.
Ucjisahaulishe kuna suala la overpopulation ambalo linapelekea ardi kuwa limited... Ref. Mfano wang eg Kenya .... Kwa ufup ardhi si biashara endelevu (sustainable business)
 
Ucjisahaulishe kuna suala la overpopulation ambalo linapelekea ardi kuwa limited... Ref. Mfano wang eg Kenya .... Kwa ufup ardhi si biashara endelevu (sustainable business)
Only that, you have a chance to acquire a piece of land, a colony of some sort.
Instead, you spend time and all your money building a dwelling.
Get land, as much as you can then build yourself and your family a house. Not vice versa.
Labda kama mwenzetu ni Mkenya, nenda kanunue mashamba ungali kijana.
 
Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?

Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Kinachopanda thamani ni Ardhi sio nyumba, Hao wanaonunua hio nyumba Kariakoo kwa Bil 5 wataivunja kisha watajenga ya kisasa zaidi.

Kujenga ni kuzika pesa
 
Kinachopanda thamani ni Ardhi sio nyumba, Hao wanaonunua hio nyumba Kariakoo kwa Bil 5 wataivunja kisha watajenga ya kisasa zaidi.

Kujenga ni kuzika pesa

Nyumba(makazi) ndio ynapandisha thamani kiwanja! Kiwanja kisichozungukwa na makazi hakina thamani! So hata ukinunua ardhi kama majirani awajajenga miaka mia hiyo ardhi aipandi thamani! So waliochagua kujenga waheshimiwe pia.
 
Na ndio sababu hata hao wanaonunua nyumba za kariakoo huzivunja na kujenga nyumba mpya
Technically wananunua ardhi
Aaaah aah! Kwa hiyo unakili hata wanaonunua nyumba mbovu kariakoo, hubomoa na “KUJENGA NYUMBA NYINGINE” na siyo kutunza kiwanja! so also technically wanaaamini katika kujenga kama yule wa kwanza alivyojenga!
 
Mkuu si kweli thamani ya nyumba inapanda kila siku Bali ile ardhi iliyobeba nyumba ndo hupanda kila siku.! Kadiri muda unavyokwenda nyumba huchoka na design yake hupitwa na wakati
inategemea umejenga nyumba ya uimara gani. Ulaya hadi leo kuna nyumba zina miaka 100-500. hizo nyumba zime"appreciate". Ardhi na ina"appreciate".
 
Nakwambia wewe huna property.
Nyumba ina maintainances zinazotakiwa kwa muda fulani based on matumizi fulani ili ziishi muda mrefu.
Asilimia 90 ya nyumba za Dar es salaam zilizojengwa mwaka 2000 zimetitia. Baraza lipo level moja na ardhi.
Kisa, ni watu wenye mawazo kama yako.
Unaishi miaka hii bado unaongea maneno kama hayo ?
Siwezi bishana na jamaa alierithi

Hujui lolote kwenye investment unatupigis kelele na sentiments zako humu
 
Sisi ambao tumeshagota 40+ Mpaka sasa bado tunapanga hatujui hata bei ya tofali unataka tuongee nn sasa!
 
Kwa milioni 30 za kujenga nyumba, bora uwe na viwanja 10.
Chukulia mkopo viwili, halafu anza kujenga.
Hakuna taasisi iko tayari kukukopesha kwa kutumia kiwanja ambacho hakijaendelezwa. Hata hawa microfinance institutions huwa hawakubali You must develop it

ILA Development maana yake hata ukijenga chumba kimoja tayari ushafanya Development

Mjini hapa mambo magumuu halafu mepesi saana
 
Anyway it's a healthier discussion, wa Tz sasa tunaamka na wengi tunaanza kupata ufahamu wa msingi wa Mambo ya fedha(Financial Literacy)

Kuna sehemu kwenye Biblia(nadhani ni maneno ya King Solomon)inasema
''Jenga shamba lako kabla ya Nyumba yako''

Uzuri wa kanuni hizi huwa hazipitwi na wakati hata maelfu ya karne yapite

Kuna Indicators kama unatathmini investment ipi inalipa na ipi hailipi inabidi uzifanye
Kama
1. Return on Investment
2. Payback Period
3. Break Even Point
4. Internal Rate of Return

Wengine watakuja kuzielezea zaidi
Al muhimu ni kwamba hizo Indicators zote hapo juu ukifanyia tathmini biashara ya nyumba inalipa kwa spidi ya Konokono ukilinganisha na Investments nyingine hivyo kufanya nyumba kuwa kimbilio kwa wawekezaji waoga
Nyumba yenye thamani ya Tshs 50m - 60m kwa Dsm kupata kodi ya Tsha 300k kwa mwezi ni bahati utahitaji miaka 15+ KURUDISHA pesa yako, hapo bado hujapata FAIDA. Kwa taratibu za kifedha hiyo tunaiita biashara kichaa

Try to imagine mtu ambaye amejenga nyumba Kibada au Kitunda yenye thamani ya Tshs 50m miaka 15 iliyopita. Linganisha na mtu aliyetumia tshs 50m kununua viwanja tuu miaka15 iliyopita, nani yuko kwenye position ya kupiga pesa nyingi zaidi ?
Kuna jamaa yangu amenunua Sqm 5,000 maeneo ya Kitunda mwaka 2007 kwa Tshs 5m tu. Hivi sasa watu wanafika mpaka Tshs 300m jamaa anakataa. Jee kibanda cha Tshs 5m ambacho let say kiko kwenye eneo lenye Sqm 300 sasa hivi lingekuwa na thamani gani ?
Kwa hapa Tz Wajanja wetu ni Wahindi na Waarabu ndio wanaoshikilia biashara kubwa za nchi hii, hebu tujifunze basi ktk lifestyles zao. Wao wamejichomeka mijini unakuta mtu ana Capital ya Tshs 200m. Angalia best Schools zote zimejaa watoto wao lakini hana hata kibanda (wanafuata ushauri wa King Solomon kuliko hata sisi wenye Biblia yetu)
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kuna vitu vimetufikisha katika hali hii;
1.Utamaduni na Kasumba
Ukikutana na WaTz wengi mojawapo ya vitu ambavyo tunatathmini maendeleo ya mtu ni kujenga. Utaskia mtu anakuuliza umeishaowa ? Ushajenga ?
Bila kujali umejenga wapi ?
Nyumba ya ubora gani ?
Nyumba ya thamani gani ?
Gharama kiasi gani unapata kutoka na kwenda kazini ?

2. Displini ya Fedha
Wengi wetu hatuna financial discipline hivyo kwa kuogopa kupoteza Tunakimbilia kuwekeza kwenye nyumba. Hili ni KIMBILIO LA WAWEKEZAJI WAOGA

3.Elimu hafifu ya uwekezaji
(Haiitaji maelezo)

4. Migogoro ya Kifamilia
Ukiwa na Nyumba na una watoto wadogo hata ukifa una hakika watoto unawaacha kwenye position nzuri kiasi ukilinganisha na taratibu nyingine za uwekezaji

5. Urahisi wa Kujenga
Tz wewe na mkeo na watoto wenu mnaweza kuwa City Planners/Architectures, Electricians, Surveyors na kadhaalika mpaka mnasimamisha mjengo wenu. Baada ya miaka 20 nyumba imeishatitia mpaka kwenye mkanda wa dirisha

6. Uchache wa Taasisi za Uwekezaji na Uwezeshaji
Ni hivi karibuni tu ndio tunaanza kuona mifuko jumuishi ya uwekezaji kama UTT, DSE na kadhaalika. Nchi za wenzetu kuna utitiri wa Taasisi kama hizi. Of course na suala la Confidence ya Wananchi ktk taasisi hizi nayo ni jambo la muhimu
 
Anyway it's a healthier discussion, wa Tz sasa tunaamka na wengi tunaanza kupata ufahamu wa msingi wa Mambo ya fedha(Financial Literacy)

Kuna sehemu kwenye Biblia(nadhani ni maneno ya King Solomon)inasema
''Jenga shamba lako kabla ya Nyumba yako''

Uzuri wa kanuni hizi huwa hazipitwi na wakati hata maelfu ya karne yapite

Kuna Indicators kama unatathmini investment ipi inalipa na ipi hailipi inabidi uzifanye
Kama
1. Return on Investment
2. Payback Period
3. Break Even Point
4. Internal Rate of Return

Wengine watakuja kuzielezea zaidi
Al muhimu ni kwamba hizo Indicators zote hapo juu ukifanyia tathmini biashara ya nyumba inalipa kwa spidi ya Konokono ukilinganisha na Investments nyingine hivyo kufanya nyumba kuwa kimbilio kwa wawekezaji waoga
Nyumba yenye thamani ya Tshs 50m - 60m kwa Dsm kupata kodi ya Tsha 300k kwa mwezi ni bahati utahitaji miaka 15+ KURUDISHA pesa yako, hapo bado hujapata FAIDA. Kwa taratibu za kifedha hiyo tunaiita biashara kichaa

Try to imagine mtu ambaye amejenga nyumba Kibada au Kitunda yenye thamani ya Tshs 50m miaka 15 iliyopita. Linganisha na mtu aliyetumia tshs 50m kununua viwanja tuu miaka15 iliyopita, nani yuko kwenye position ya kupiga pesa nyingi zaidi ?
Kuna jamaa yangu amenunua Sqm 5,000 maeneo ya Kitunda mwaka 2007 kwa Tshs 5m tu. Hivi sasa watu wanafika mpaka Tshs 300m jamaa anakataa. Jee kibanda cha Tshs 5m ambacho let say kiko kwenye eneo lenye Sqm 300 sasa hivi lingekuwa na thamani gani ?
Kwa hapa Tz Wajanja wetu ni Wahindi na Waarabu ndio wanaoshikilia biashara kubwa za nchi hii, hebu tujifunze basi ktk lifestyles zao. Wao wamejichomeka mijini unakuta mtu ana Capital ya Tshs 200m. Angalia best Schools zote zimejaa watoto wao lakini hana hata kibanda (wanafuata ushauri wa King Solomon kuliko hata sisi wenye Biblia yetu)
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kuna vitu vimetufikisha katika hali hii;
1.Utamaduni na Kasumba
Ukikutana na WaTz wengi mojawapo ya vitu ambavyo tunatathmini maendeleo ya mtu ni kujenga. Utaskia mtu anakuuliza umeishaowa ? Ushajenga ?
Bila kujali umejenga wapi ?
Nyumba ya ubora gani ?
Nyumba ya thamani gani ?
Gharama kiasi gani unapata kutoka na kwenda kazini ?

2. Displini ya Fedha
Wengi wetu hatuna financial discipline hivyo kwa kuogopa kupoteza Tunakimbilia kuwekeza kwenye nyumba. Hili ni KIMBILIO LA WAWEKEZAJI WAOGA

3.Elimu hafifu ya uwekezaji
(Haiitaji maelezo)

4. Migogoro ya Kifamilia
Ukiwa na Nyumba na una watoto wadogo hata ukifa una hakika watoto unawaacha kwenye position nzuri kiasi ukilinganisha na taratibu nyingine za uwekezaji

5. Urahisi wa Kujenga
Tz wewe na mkeo na watoto wenu mnaweza kuwa City Planners/Architectures, Electricians, Surveyors na kadhaalika mpaka mnasimamisha mjengo wenu. Baada ya miaka 20 nyumba imeishatitia mpaka kwenye mkanda wa dirisha

6. Uchache wa Taasisi za Uwekezaji na Uwezeshaji
Ni hivi karibuni tu ndio tunaanza kuona mifuko jumuishi ya uwekezaji kama UTT, DSE na kadhaalika. Nchi za wenzetu kuna utitiri wa Taasisi kama hizi. Of course na suala la Confidence ya Wananchi ktk taasisi hizi nayo ni jambo la muhimu
Biashara siyo kitu cha kuendea kichwa kichwa. Anayejenga nyumba ya 100m ana uhakika wa return hata kama itachukua muda mrefu kuliko wewe unayeanza kuinvest kwenye biashara. Biashara inahitaji commitment zaidi, na ni bahati pia maana kupoteza hiyo 100m kwenye biashara ni suala la kugusa tu, utaanza kuongea peke yako barabarani, utabaki kusimulia uliwahi kushika pesa nyingi.
 
Mkuu si kweli thamani ya nyumba inapanda kila siku Bali ile ardhi iliyobeba nyumba ndo hupanda kila siku.! Kadiri muda unavyokwenda nyumba huchoka na design yake hupitwa na wakati
Hivi mkuu kama thamani ya nyumba hazipandi,

Hivi gharama za ujenzi za mwaka 1960 utafananisha na 2022?

Thamani ya nyumba inapanda siku hadi siku
 
Kodi kubwa ni kutokana na location, ila nyumba hiyo hiyo ingekuwa Bagamoyo ingekuwa robo ya hiyo kodi, point ya Kobello ni chenye thamani ni kiwanja, thamani yake inaongezeka, ila jengo thamani yake inapungua. Kama utashindwa kuelewa bado basi omba watoto wako wawe wamechukua akili za upande wa mama.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom